Nilimaliza form six 2007, nikapata Dv II point 10 (HKL) Nina Bachelor ya Education. Natamani kusoma Law . Je Kwa mfumo wa vyuo naweza kudahiliwa mwaka huu kusoma Degree ya Sheria ?
Sasa gufuli ndo kaongea nini hapo?? Anaorodhesha tu mambo kama ilivyo destur yake ya kukariri vitu, alafu anaipinga serikali yake mwenyewe mwanzo mwisho, pimbi tu
Hakuna LOLOTE, vijijin ndiko mahali WAMEICHOKA na wanaichukia ccm kuliko mjini, na isitoshe hao unaowaona jangwani wengi si Wa dar, Bali wametoka pwani, Moro, tanga, Zanzibar, Lindi, na Mtwara hapo hakuna ushindi wowote kaka
Shida yako kaka hutaki kujikubali uhalisia Wa maisha yako, yani unataka usomeke kama upo matawi wakat life yako bado tait, Kwa stor hii wewe unamgogoro na nafsi yako na wewe ndo cio mstaarabu. Ktk maelezo yako yoote hakuna mahali panaonesha mchumba~mke wako eitha aliboreka au kukereka na hao...
Ni jambo LA kupongeza jamani
115064397978706872561"]ally SALUM[/URL][/FONT][/FONT] 0[/SIZE][/FONT][/COLOR]
Moja ya kazi za Dr maguful ni kesho ni uzinduzi wa magari yaendayo kasi kuanzia saa nne asbh tutapanda bure mpka kimara na kurudi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.