Recent content by buyazi

  1. B

    JamiiForums Tanzania Pete ya ndoa imepotea

    mmmhh!!! Utata kweli yani mtu kwenda kun***a ndo mpaka uvue pete? Basi kazi kama wanandoa wote wangekuwa wakiingia kukata gogo wanavua pete zao Lol!!!!
  2. B

    JamiiForums Tanzania mwanamke asiyezaa kabisa anahitajika kwa ndoa mara moja!

    kwa nini unatafuta asiyeweza kuzaa?
  3. B

    JamiiForums Tanzania Stori ya kweli kuhusu wadada wa JF

    kumbe ndo wewe uliyekuwa na mapozi ukachelewa steers kitu akajiiwahia classmate duh! Haya bana ndo mabo ya JF
  4. B

    JamiiForums Tanzania Kila ninaempata ananizidi kielimu.

    pole elimu siyo kipimo cha mapenzi, subiri wakati wako haujafika ukifika utampata mke mwema
  5. B

    JamiiForums Tanzania If you serious

    nakutakia kila la kheri
  6. B

    JamiiForums Tanzania Matured person (male)

    asante mpendwa kwa kunisaidia kumjibu, kaka naamini kuna watu wenye umri kama wangu wanatafuta wenza ndo mana nikapost hapa nikiamini nitapata anayelingana na mimi
  7. B

    JamiiForums Tanzania Matured person (male)

    umri wako mdogo kaka
  8. B

    JamiiForums Tanzania Matured person (male)

    THEDEALER;Kwenye kipato nipo nidisqualified.................vp unaweza kunipa probabation period ya kipato?????? ha ha ha!!!! Ya muda gani?
  9. B

    JamiiForums Tanzania Matured person (male)

    King'asti;Naweza kumuwakilisha kakangu? I mean kuingia mkataba kwa niaba yake? kwani yeye yuko wapi? Kwa nini asiwepo yeye binafsi nadhani hiyo haijakaa vizuri
  10. B

    JamiiForums Tanzania Matured person (male)

    Habari za muda huu wana JF? Poleni na shughuli na mihangaiko ya hapa na pale ya kutafuta riziki. Kwa muda mrefu nimekuwa nikitafuta partner wa maisha na leo nimeona nije humu nikiamini mume anapatikana popote pale, nina miaka 32 mkristo, naishi Dar. Natafuta mume ambaye anajitambua, mwenye...
  11. B

    JamiiForums Tanzania Shangazi yangu ananibaka kila mara, nifanye?

    Nicas Mtei; Unaitwa NASRA halafu shangazi anakubaka? Kiaje? Au shangazi yako ni mwanaume? Bora ushangae wewe mana na me nilikuwa najiuliza jinsia yake mana anasema mke wa mjomba wake ndo anambaka halaf anamwagia vitu fulani.........!!!!!!!!! Hapo sijaelewa bado najiuliza.........
  12. B

    JamiiForums Tanzania hello

    asante
  13. B

    JamiiForums Tanzania hello

    hodi humu ndani jamani? Mgeni wenu miye naombeni muongozo
Back
Top Bottom