Tatizo linakuja pale unapotaka fikra zako ziwe kwa watu WOTE, mtu alitoa mtazamo wake wake tofauti unaanza kusema itamgarimu kwani lowasa ndo alileta mafanikio ya diamond mpaka hapo alipo?
Vizuri pia boss me sipungukiwi Na kitu namaneno yako ya hovyo as long as nimeshamjazia ndg yangu basi nawewe komaa na hizo siku tatu za kuzingua kwa TCU wengine hatujazoea kujibizana Na maneno ya kipuuzi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.