Recent content by Buti la mkoloni

  1. Buti la mkoloni

    JamiiForums Tanzania Mtoto wa Rais Samia namsikitikia sana

    I'm very sorry for saying this ila wewe unaonekana una upumbavu wa miemko. Nimeuliza "kwani nyerere aliwezaje?" my stance was neither pro nor ant. Unakurupuka kwa mihemko yako pasipo kuelewa msingi wa swali na tayari ushanijua kuwa mm maskini🤣
  2. Buti la mkoloni

    JamiiForums Tanzania Mtoto wa Rais Samia namsikitikia sana

    Kwani nyerere aliwezaje kuitenga familia yake na Uraisi wake?
  3. Buti la mkoloni

    JamiiForums Tanzania Mkatae mkubali Makonda amezaliwa kuwa mwanasiasa ila Lissu kwenye siasa analazimisha

    Dear God I'm sorry for saying this... jamani kuna majitu mapumbavu ktk hii Dunia.
  4. Buti la mkoloni

    JamiiForums Tanzania Orodha ya Taasisi za Umma na Binafsi zenye 'njaa kali'

    Mungu awasaidie
  5. Buti la mkoloni

    JamiiForums Tanzania Orodha ya Taasisi za Umma na Binafsi zenye 'njaa kali'

    Mkuu kumbe sasa hivi mnara unasoma Halmashauri ulihama BOT?!!!
  6. Buti la mkoloni

    JamiiForums Tanzania Pendekezo la hii kodi linawafaa TRA?

    Hili hoja yako ieleweke vizuri ungesema tu serikali itafute vyanzo vingine vya mapato ili ku service huduma flani. Kutafuta mapato ya serikali kwenye kodi asa kodi itakayohusisha magari ni kufanya watu washindwe kuyanunua hayo magari coz gari zimekuwa imposed na kodi nyingi sana kama nilivyo...
  7. Buti la mkoloni

    JamiiForums Tanzania Pendekezo la hii kodi linawafaa TRA?

    Sasa nani kwambia hizo maintenance and service in general shoulde be served from tax revenues?!
  8. Buti la mkoloni

    JamiiForums Tanzania Pendekezo la hii kodi linawafaa TRA?

    Spectrum of government revenue should be set down from tax revenue?? Ndio mana nasema huna unachojua kuhusu kodi..
  9. Buti la mkoloni

    JamiiForums Tanzania Pendekezo la hii kodi linawafaa TRA?

    Rudi shule Boss...nenda kasome kodi atleast miaka mitatu hivi alaf ndio urudi kujadili kodi. Tax management inataka kichwa kizuri
  10. Buti la mkoloni

    JamiiForums Tanzania Pendekezo la hii kodi linawafaa TRA?

    Sina hasira ila muandiko wako unaonesha kodi haujui bado...tax discipline ni pana sana. Ata hoja uliyoleta inatokana na uelewa wako mdogo wa kodi..ipo hivi huwezi kujadili kodi juu ya kodi by default hiyo hoja itakuwa haijadiliki. Hoja za kisomi zinatokana na tafiti na sio kukurupuka tu Boss.
  11. Buti la mkoloni

    JamiiForums Tanzania Pendekezo la hii kodi linawafaa TRA?

    Hahahah!!!! kwani hoja za CAG zinaundwaje?.... Anyway kwani mapato ya serikali lazima yote yatokane na kodi...ndio mana kuna tax revenue and non tax revenue. Serikali bado inauwezo wa kutafuta vyanzo vingine vya mapato visivyotokana na kodi. Sifa mojawapo ya kodi yani tax trait kodi haipaswi...
  12. Buti la mkoloni

    JamiiForums Tanzania Pendekezo la hii kodi linawafaa TRA?

    Acha kukurupuka tafiti zinaonesha TRA wanakusanya only 30% capacity yao bado ipo chini sana kuna factors nyingi sana zinazopelekea hilo ikiwemo man power na bado kuna sectors nyingi bado hazijarasimishwa. Tukija kwenye kodi za magari..kumiliki tu gari lazima utalipa kodi either direct on...
  13. Buti la mkoloni

    JamiiForums Tanzania Sijawahi kuona Mmasai wala Mjaluo Muislamu na Sijawahi kuona Mpemba wala Mzaramo Mkristo, huyu Mungu na Allah mbona anabagua Makabila na jamii?

    Hivi nyinyi mnaishi Tanzania kweli au wenzetu mnaishi Somalia. Wachaga waislam wapo wengi saana, tembeeni muijue nchi na watu wake
  14. Buti la mkoloni

    JamiiForums Tanzania Pendekezo la hii kodi linawafaa TRA?

    Hapo itaongeza tu mrundikano wa kodi ambao ata usimamizi wake utakuwa mgumu na kuwapa mzigo mkubwa wananchi. Fikiria kwanza tax imposed on motorvehicles mpaka sasa.
  15. Buti la mkoloni

    JamiiForums Tanzania Sijawahi kuona Mmasai wala Mjaluo Muislamu na Sijawahi kuona Mpemba wala Mzaramo Mkristo, huyu Mungu na Allah mbona anabagua Makabila na jamii?

    Tena wengi wao ni catholic nimefika huko na kujionea kuna kanisa kubwa sana pale la mkoloni
Back
Top Bottom