Jibu ni rahisi sana, je anajiweza kiuchumi kama hajiwezi kiuchumi huyo anaitaji financial support tu kutoka kwako ili aweze kukidhi mahitaji yake. Na kama financially yupo Ok basi hapo awali wewe haukuwa sampuli ya wanaume aliokuwa anawahitaji so huko alipokuwa kapigwa na kitu kizito anaona...
Of course tatizo lipo kuna haja ya kupitiwa. Lakini kuna option ya huyu mfanyabiashara kujikadiria kodi, although kisheria threshold ya mfanyabiashara anayepaswa kujikadiria lazima ianzie 100m. Tatizo ni Elimu na hawa wafanyabiashara wanapenda njia za mkato.
Kwa hayo maelezo yake aliyotoa hayupo sahihi ata kidogo huwezi kuwa mtaalam wa fedha alaf ukakosa knowledge kwenye eneo la kodi. Hivi tunavyo viongelea hapa ni vitu basic sana kwenye kodi mtaalam wa fedha yeyote lazima awe conversant navyo. Utamshauri vipi mtu/kampuni kuhusu maswala ya Fedha...
Safi sana kiongozi nikupongeze sana wewe inaonesha kodi unaijua vizuri sana alaf sio mtu wa kujitweza na unapenda kujifunza. Hii rate ya 3.5% ni rate ya income tax inatozwa kwenye mauzo ghafi ya mfanyabiashara asa wale wanaotunza mauzo ya bidhaa zao. Lakini akitaka kujikadiria sheria zipo wazi...
Kwa haya maelezo uliyotoa hilo neno Mtaalam wa Fedha liondoe hakuna mtaalam wa fedha hasiyekuwa conversant na maswala ya Tax. Huna unachokijua kuhusu kodi rudi kajifunze tena na kujifunza sio ujinga. Soma Income tax Act na marejeo yake, kasome Tax administration Act na marejeo yake, kasome Vat act.
Umeeleza vizuri sana, lakin ata wewe bado hujafahamu aina za kodi ya mapato na rate zake. You should understand that administration ya kodi sio rahisi kabisa kidunia. Hakuna nchi isiyokuwa na migogoro ya kodi duniani tunatofautiana tu ktk Mamlaka za kikodi na usimamizi wake. Mfanyabiashara or...
Maoni yangu ni jumuishi kwa vigezo vyote ambavyo mleta mada amevianisha na ata vile ambavyo hajaviainisha kwa maana sijaona ubora wa Forester dhidi ya Tiguan(Maoni yangu) sasa kama wewe uliona Forester ina uafadhari ktk hayo maeneo itoshe kusema hayo ni maoni yako(based on your experience)na...
Kama hivi ndivyo ilivyo ulipata wapi guts za kukosoa mawazo yangu kwa kusema namdamganya mleta mada😀Nilichokisema/kuandika based on my experience kwa kuwa hizo gari zote tajwa nimeziendesha, kama na wewe umeziendesha zote na uka experience tofauti basi ungetoa tu maoni yako pasipo ku crush maoni...
Bro wewe ndio unaongea kwa hisia plus hear say za vijíweni na ndio shida kubwa ya sisi wabongo. Forester haina inachomshinda Tiguan when it comes to off roading, practically hyo forester nishawai kuwa nayo na nishaindesha off road na hiyo Tiguan nishawai kuindesha kwenye njia korofi although...
Off road propensity hizo gari zote zipo sawa. Nani kakwambia subaru forester ni gari ya off road, haina uwezo wowote wa kuhimili off-road kiasi cha kwamba Tiguan ikashindwa. Nishamiliki forester naijua vizuri huko off road yaitaji uibembeleza sana otherwise uhamue tu kujitoa ufaham ila athari...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.