Recent content by buthabutha

  1. buthabutha

    Rais Magufuli: Tunataka Tanzania ianze kutoa misaada hata kwa nchi za Ulaya

    Mkuu kwahyo hutaki na mimi niongee?
  2. buthabutha

    Rais Magufuli: Tunataka Tanzania ianze kutoa misaada hata kwa nchi za Ulaya

    Nawashangaa watu kupigwa risasi kweupe eti imekuwa gumzo, wangapi wameuawa mchana kweupe na wala hawajapiga kelele juu ya jambo hilo?? Lissu ndo ana value kuliko roho za waliouliwa kibiti?? Ngoja mda uende itajulikana wahusika na watu hawataamini.
  3. buthabutha

    Nape: Wananchi wanauliza Bomberdia ndio nini?Sisi wa vijijini tunafaidika nayo vipi?

    Huyo hana jipya ni kutaka kiki tu kama yule mshikaji wangu
  4. buthabutha

    Tatizo la maradhi haya ya ngozi

    Mkanda wa jeshi unatibika kwa wataalamu wa afya na hata wataalamu wa mitishamba,pole jaribu kuwaona madaktari hasa muhimbili au kcmc dogo atapona tu mama
  5. buthabutha

    Serikali yagoma kuwepo kwa uchunguzi huru juu ya Tundu Lissu, wadai kwani kibiti walikuja wazungu?

    Hata mm nashangaa, waje wachunguzi kutoka nje ya nchi ili iweje
  6. buthabutha

    Serikali iko tayari kugharamia matibabu ya Tundu Lissu popote Ulimwenguni

    Mmmh watanzania bhana ni watu wa kulaumu tu kila jambo, utaskia walikuwa wapiii walikuwa wapiiii sjuiii niniii daaa Ndivyo tulivyo,Allah atusaidie sana
  7. buthabutha

    Rais Magufuli azindua barabara ya KIA hadi mji wa Mererani, Awataka JWTZ kujenga Ukuta kuzunguka Machimbo ya Tanzanite

    Hyo kodi ya kujengea nani aliikusanya na kuiweka ktk miradi ya barabara, tatzo sie ndivyo tulivyo hatutabadilika
  8. buthabutha

    CHADEMA kujihusisha sana na Kenya mwisho wa siku mnatarajia kupata nini?

    Mkuu usemalo ni kweli, lkn kwann mawazo haya yasingeelekezwa kwa waliokufa kibiti?? Kumbuka lissu wetu yuko hai, mbona albadr hazikusomwa kwa wa kibiti? Lisu ana nn? Tuwe kitu kimoja na tukatae kutendewa baya na tupinge bila kujalisha amefanyiwa hivi wa chama flani,tuwe one unit ndio hata Allah...
  9. buthabutha

    Wanachokitengeneza CHADEMA ni siasa za "Appeal to Fear"

    Chadomo bhana [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
  10. buthabutha

    Wanachokitengeneza CHADEMA ni siasa za "Appeal to Fear"

    Daaa ila mkuu we ni noma,kwahyo hakuna lolote gvt inayotokana na ccm imefanya toka miaka yote hyo??
  11. buthabutha

    CCM itameguka mapande makubwa kabla ya uchaguzi

    Duuuuuu,kila mtu anao uhuru wa kunena
  12. buthabutha

    TCRA: Kwanini watanzania wana support matusi ya mitandaoni kwa Mh. Rais Dr John Magufuli?

    Kissu cha ngariba, najua ww ni mtu makini ila kwa hili la mange anavyotukana kule kidogo nimekushangaa mkuu kama unafrahia. geluka
  13. buthabutha

    Tuiachie Serikali itoe majibu ya nani anahusika na shambulio la Lissu, msituchanganye wananchi

    Watu kama wewe huwa napata amani sana napo ona pist zenu na huwa najiuliza kumbe watu walio na mawazo mazuri mpo,asante kaka Watanzania wasiliingize suara hili kisiasa, not to political gain,kama watalipeleka kisiasa basi watu wategemee majibu ya kisiasa kutoka gvt otherwise watu wakae kimya...
Back
Top Bottom