TCRA: Kwanini watanzania wana support matusi ya mitandaoni kwa Mh. Rais Dr John Magufuli?

TCRA: Kwanini watanzania wana support matusi ya mitandaoni kwa Mh. Rais Dr John Magufuli?

Huyu mwanamke katika watu wanaonikera duniani nafkiri yeye ni namba moja. Some potray her as a hero, but she ain't no hero. She is just a coward hiding behind her keyboard. Kwa mtanzania mzalendo na mwenye mapenzi mema na nchi huwezi kumtukana hadharani amiri jeshi mkuu wa majeshi ya ulinzi TANZANIA hadharani tena bila woga wowote. Sawa, anaweza akawa anafanya kazi nzuri ya kufichua maovu mbalimbali katik jamii lakini hii ya kumtukana mtukufu rais sasa ni kuvuka mipaka. Pumb.vu sana huyu mwanamke,sijui niongee nini kuonesha machungu na masikitiko yangu baada ya Mh.Rais kutukanwa

Sent using Jamii Forums mobile app
Mtukufu???? Dah watu mna PhD ya kujipendekeza hadi mnakufuru
 
Huyu mwanamke katika watu wanaonikera duniani nafkiri yeye ni namba moja. Some potray her as a hero, but she ain't no hero. She is just a coward hiding behind her keyboard. Kwa mtanzania mzalendo na mwenye mapenzi mema na nchi huwezi kumtukana hadharani amiri jeshi mkuu wa majeshi ya ulinzi TANZANIA hadharani tena bila woga wowote. Sawa, anaweza akawa anafanya kazi nzuri ya kufichua maovu mbalimbali katik jamii lakini hii ya kumtukana mtukufu rais sasa ni kuvuka mipaka. Pumb.vu sana huyu mwanamke,sijui niongee nini kuonesha machungu na masikitiko yangu baada ya Mh.Rais kutukanwa

Sent using Jamii Forums mobile app
Uko sahihi kuna wakati huwa najiuliza hivi watu wa usalama wa Nchi yetu wana mipaka? Kwanini huyu Mwanamke aendelee kuwepo?
hii ni dhihaka kwa kwa Nchi yetu na Taifa letu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mnaokwenda kuperuse kwenye wall yake mkakutana na matusi kwanini msimalizane nae hukohuko? Hivi hakuna namna ya kureport any post kama ni ya matusi?
 
Huyu mwanamke katika watu wanaonikera duniani nafkiri yeye ni namba moja. Some potray her as a hero, but she ain't no hero. She is just a coward hiding behind her keyboard. Kwa mtanzania mzalendo na mwenye mapenzi mema na nchi huwezi kumtukana hadharani amiri jeshi mkuu wa majeshi ya ulinzi TANZANIA hadharani tena bila woga wowote. Sawa, anaweza akawa anafanya kazi nzuri ya kufichua maovu mbalimbali katik jamii lakini hii ya kumtukana mtukufu rais sasa ni kuvuka mipaka. Pumb.vu sana huyu mwanamke,sijui niongee nini kuonesha machungu na masikitiko yangu baada ya Mh.Rais kutukanwa

Sent using Jamii Forums mobile app
Vipi na yeye hamna mpango naye?

Au?
 
Huyu mwanamke katika watu wanaonikera duniani nafkiri yeye ni namba moja. Some potray her as a hero, but she ain't no hero. She is just a coward hiding behind her keyboard. Kwa mtanzania mzalendo na mwenye mapenzi mema na nchi huwezi kumtukana hadharani amiri jeshi mkuu wa majeshi ya ulinzi TANZANIA hadharani tena bila woga wowote. Sawa, anaweza akawa anafanya kazi nzuri ya kufichua maovu mbalimbali katik jamii lakini hii ya kumtukana mtukufu rais sasa ni kuvuka mipaka. Pumb.vu sana huyu mwanamke,sijui niongee nini kuonesha machungu na masikitiko yangu baada ya Mh.Rais kutukanwa

Sent using Jamii Forums mobile app
Na bado wewe ni FOLLOWER wake!
 
Hawam-support sababu anamtukana rais bali wanam-support sababu anatukana.

The person who writes for fools is always sure of a large audience.

Hata kipindi anawatukana wale wengine akina Mamvi&Co people supported her.
 
Huyu mwanamke katika watu wanaonikera duniani nafkiri yeye ni namba moja. Some potray her as a hero, but she ain't no hero. She is just a coward hiding behind her keyboard. Kwa mtanzania mzalendo na mwenye mapenzi mema na nchi huwezi kumtukana hadharani amiri jeshi mkuu wa majeshi ya ulinzi TANZANIA hadharani tena bila woga wowote. Sawa, anaweza akawa anafanya kazi nzuri ya kufichua maovu mbalimbali katik jamii lakini hii ya kumtukana mtukufu rais sasa ni kuvuka mipaka. Pumb.vu sana huyu mwanamke,sijui niongee nini kuonesha machungu na masikitiko yangu baada ya Mh.Rais kutukanwa

Sent using Jamii Forums mobile app
Mm naona wewe ndio umejificha nyuma ya keyboard mwenzio anatumia jina lake na anajulikana wp yupo lkn wewe unatumia fake ID hapa JF unadhani nani atakujali.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Watanzania kupitia mitandao tofauti wanafurahia matusi ya Mange tena matusi mabaya sana dhidi ya Rais Dr Magufuli na TCRA mpo mnaangalia tu.

Kwanini tusijibishane HOJA kwa HOJA?

Kwanini tujibishane HOJA kwa MATUSI

TCRA kwanini Rais atukanwe na wanainchi wa support na nyie mpo tu?

Kazi ya TCRA ni nini?

Sheria ya cyber crime ni ya nini?

Kwanini watanzania wanafurahia hali hiyo?
Yaani ukisha kuwa na akili iliyo limited unaweza dhani ata Mungu anaweza chimbwa biti, kwa akili yako unahisi Tanzania inaishi nje dunia, kwamba hao TCRA ndiyo wanaamua dunia ifanye nini?? Binadamu amezaliwa akiwa huru hizi tawala za kipilato ni ujinga wa mazuzu fulani, jifikirishe kidogo yamkini wenda rais anatukanwa lakini kwa nini atukanwe yeye asitukanwe ata shekhe au Askofu kwanini mwenyewe ajiulizi inawezaje atukanwe???
 
Back
Top Bottom