CHADEMA kujihusisha sana na Kenya mwisho wa siku mnatarajia kupata nini?

CHADEMA kujihusisha sana na Kenya mwisho wa siku mnatarajia kupata nini?

Vijana mna kazi kweli. Kila siku mnaandika kuhusu upinzani lakini maandiko yenu ni ya ajabu ajabu tu. Hayana mambo ya msingi zaidi ya kuushambulia upinzani kwa hoja nyepesi. Ama kweli...
 
Toka chaguzi za Kenya zimeanza, CHADEMA kupitia mjumbe wake wa kamati kuu, wazi wazi aliamua kumuunga mkono mgombea mmoja wa tiketi ya Urais.

Baada ya hilo likaja hili la lisu, yupo kenya na kila mtu anayehusiana na CHADEMA nikimaanisha ile safu yote ya juu ya uongozi ipo Kenya.

Tumeona pia mahojiano ya wabunge wanaotokana na chama hicho na vyombo vya habari vya Kenya wakizungumzia hali ya kisiasa hapa nyumbani.

Ghafla wana CHADEMA wameamua kuisifia kenya kwa kila jambo na kujihusisha nayo kwa kila hali.

Sasa ningependa tu kujua, mwisho wa siku CHADEMA inalenga kitu gani kwa kujihusisha na hawa majirani wetu kwa kila jambo linalowahusu.
Mwambie bashite alete VYETI ache kurukaruka
 
Toka chaguzi za Kenya zimeanza, CHADEMA kupitia mjumbe wake wa kamati kuu, wazi wazi aliamua kumuunga mkono mgombea mmoja wa tiketi ya Urais.

Baada ya hilo likaja hili la lisu, yupo kenya na kila mtu anayehusiana na CHADEMA nikimaanisha ile safu yote ya juu ya uongozi ipo Kenya.

Tumeona pia mahojiano ya wabunge wanaotokana na chama hicho na vyombo vya habari vya Kenya wakizungumzia hali ya kisiasa hapa nyumbani.

Ghafla wana CHADEMA wameamua kuisifia kenya kwa kila jambo na kujihusisha nayo kwa kila hali.

Sasa ningependa tu kujua, mwisho wa siku CHADEMA inalenga kitu gani kwa kujihusisha na hawa majirani wetu kwa kila jambo linalowahusu.
Nyie mnavyojinasibu na Rwanda na Uganda mnapata faida gani?
 
Hapa ndo nimepata mashaka kuwaelewa ila sawa acha tuone
 
Hicho wanachokifanyia cdm Kenya kimesababishwa na siasa za mabavu za awamu hii ya 5. Siku zote utakapombana mtu bila sababu na ukatumia vyombo vya dola kukandamiza wapinzani wako ni dhahiri wataanzia mashambulizi kutoka nje. Na ikifika hapo ujue nchi itaingia matatizoni. Ndio maana tunawaambia wanaccm mkanyeni huyo mwenyekiti wenu anaharibu nchi nyie mnasifia ananyoosha.

JK mbali na mapungufu yake kwani naye alikuwa anawahujumu wapinzani kwa kutumia vyombo vya dola lakini alikuwa akiambiwa ukweli anakubali hata kama sio hadharani. Viongozi wa cdm wako Kenya kwa sababu ya shambulio la Lisu, ila wangesemea hayo wanayosema wakiwa hapa wangekutana na mkono wa dola. Tunaomba Kenyata ashinde na asiwe na mahusiano mazuri na magu ili wapinzani wapate mahali pa kupumulia. Ikibidi hata ugomvi ni sawa ili kama ni kukosa tukose wote kuliko kuoneana hapa kwetu. Kwa kumpiga Lissu risasi ni dhahiri mmevuka mipaka ya kisiasa mnageuka kuwa wanyama.
Mkuu usemalo ni kweli, lkn kwann mawazo haya yasingeelekezwa kwa waliokufa kibiti?? Kumbuka lissu wetu yuko hai, mbona albadr hazikusomwa kwa wa kibiti? Lisu ana nn? Tuwe kitu kimoja na tukatae kutendewa baya na tupinge bila kujalisha amefanyiwa hivi wa chama flani,tuwe one unit ndio hata Allah ataweka mikono yake
 
Toka chaguzi za Kenya zimeanza, CHADEMA kupitia mjumbe wake wa kamati kuu, wazi wazi aliamua kumuunga mkono mgombea mmoja wa tiketi ya Urais.

Baada ya hilo likaja hili la lisu, yupo kenya na kila mtu anayehusiana na CHADEMA nikimaanisha ile safu yote ya juu ya uongozi ipo Kenya.

Tumeona pia mahojiano ya wabunge wanaotokana na chama hicho na vyombo vya habari vya Kenya wakizungumzia hali ya kisiasa hapa nyumbani.

Ghafla wana CHADEMA wameamua kuisifia kenya kwa kila jambo na kujihusisha nayo kwa kila hali.

Sasa ningependa tu kujua, mwisho wa siku CHADEMA inalenga kitu gani kwa kujihusisha na hawa majirani wetu kwa kila jambo linalowahusu.

Vipi CCM na Rwanda...... ulitaka Lisu awe muhimbili? Mbona yule mwanajeshi aliyepigwa risasi inasemekana kapelekwa India?
 
Labda wakirudi "nchachi zitawachumuuuuu".
 
Toka chaguzi za Kenya zimeanza, CHADEMA kupitia mjumbe wake wa kamati kuu, wazi wazi aliamua kumuunga mkono mgombea mmoja wa tiketi ya Urais.

Baada ya hilo likaja hili la lisu, yupo kenya na kila mtu anayehusiana na CHADEMA nikimaanisha ile safu yote ya juu ya uongozi ipo Kenya.

Tumeona pia mahojiano ya wabunge wanaotokana na chama hicho na vyombo vya habari vya Kenya wakizungumzia hali ya kisiasa hapa nyumbani.

Ghafla wana CHADEMA wameamua kuisifia kenya kwa kila jambo na kujihusisha nayo kwa kila hali.

Sasa ningependa tu kujua, mwisho wa siku CHADEMA inalenga kitu gani kwa kujihusisha na hawa majirani wetu kwa kila jambo linalowahusu.
kwani baba kujihusisha sana na Rwanda anatusaidia nini Tanzania na ccm
 
Kinachonifurahisha ni kuwa Oding ni rafikibwa kwsli wa Lowsa huyu freedom ni kiwazuzua tu jamanii
 
Hicho wanachokifanyia cdm Kenya kimesababishwa na siasa za mabavu za awamu hii ya 5. Siku zote utakapombana mtu bila sababu na ukatumia vyombo vya dola kukandamiza wapinzani wako ni dhahiri wataanzia mashambulizi kutoka nje. Na ikifika hapo ujue nchi itaingia matatizoni. Ndio maana tunawaambia wanaccm mkanyeni huyo mwenyekiti wenu anaharibu nchi nyie mnasifia ananyoosha.

JK mbali na mapungufu yake kwani naye alikuwa anawahujumu wapinzani kwa kutumia vyombo vya dola lakini alikuwa akiambiwa ukweli anakubali hata kama sio hadharani. Viongozi wa cdm wako Kenya kwa sababu ya shambulio la Lisu, ila wangesemea hayo wanayosema wakiwa hapa wangekutana na mkono wa dola. Tunaomba Kenyata ashinde na asiwe na mahusiano mazuri na magu ili wapinzani wapate mahali pa kupumulia. Ikibidi hata ugomvi ni sawa ili kama ni kukosa tukose wote kuliko kuoneana hapa kwetu. Kwa kumpiga Lissu risasi ni dhahiri mmevuka mipaka ya kisiasa mnageuka kuwa wanyama.


Mmmmmmmh, pole sana, unachowaza ni Sawa na kuota kuwa jua leo halitazama .
 
Ccm kujihusisha sana na Kagame ama mungu mtu wenu /je mwisho wa siku mnatarajia kupata nini???
 
Mkuu usemalo ni kweli, lkn kwann mawazo haya yasingeelekezwa kwa waliokufa kibiti?? Kumbuka lissu wetu yuko hai, mbona albadr hazikusomwa kwa wa kibiti? Lisu ana nn? Tuwe kitu kimoja na tukatae kutendewa baya na tupinge bila kujalisha amefanyiwa hivi wa chama flani,tuwe one unit ndio hata Allah ataweka mikono yake

Mkuu ni lazima kuwalazimisha cdm kutetea mauaji ya kibiti? Wao wanatekeleza wajibu wao kwa kiongozi wao na kwa kipimo wanachoona wao. Lissu ni kiongozi wa cdm na anabeba hisia za watu wengi nyuma yake, hivyo wanaomuunga mkono Lissu lazima wataonyesha hisia zao. Tuje kwenye suala la kibiti, je hao waliouliwa walikuwa na kundi kubwa la watu wanawaunga mkono kwa lolote? Kuna waliojitokeza kuwatetea hao waliouliwa watu wakagomea wasionyeshe hisia zao. Ukiniambia mauaji ya kibiti kwamba hakujasomwa albadir, ni nani aliyekukataza wewe au nyinyi kusoma albadir kwenye hayo mauaji? Hata huyo Lissu kwani ni watanzania wote wanamsikitia, umeona watu wanalazimisha watu wamsikitie Lissu? Unaposema mauaji ya kibiti yalikuwa ni ya wanaccm, kwa hiyo hili lililompata Lissu ni kama kusawazisha mauaji ya kibiti?

Mwenye jukumu la kushughulikia mauaji ya kibiti ni polisi kwani ndio kazi wanayopatia mshahara wao. Sasa hapa kuwalazimisha cdm waonyeshe hisia zao na kusoma albadir ni jukumu lao?
 
Back
Top Bottom