Umeongea vema, kiukweli uku mitaani kila mtu kaishachoka ni vile hawana pa kusemea ila ukiongea na watu na wana uhakika wako salama na maongezi yao wanatoa ya moyoni sana na wakati huo wamevaa na zile picha za kupigia mwingi
Kwa apa ndugu umeongeza tatizo, watu hushauri kutokana na experience zao au utani utani tu ila wewe unazidi kuumia ...kaa na mkeo chini mlijadili uone kama ana mwelekeo wa kubadilika, mpe msimamo Yako ukiwa very serious, na unamwambia hii ni last chance akirudia ajue ndo mwisho wa mahusiano yenu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.