Recent content by Busybee Chimata

  1. Busybee Chimata

    JamiiForums Tanzania Huyu nabii Elisha Muliri ukipiga simu kabla haujamueleza shida yako yeye anakueleza mpaka nguo uliyovaa

    Piga nawewe tuone kama itapokelewa, jiongeze!!
  2. Busybee Chimata

    JamiiForums Tanzania Nimetapeliwa na mtu aliyejitambulisha kama afisa Mikopo Mo Dewji Foundation

    Hahaha, ila mna majibu mazuri, nafurahi
  3. Busybee Chimata

    JamiiForums Tanzania Nimetapeliwa na mtu aliyejitambulisha kama afisa Mikopo Mo Dewji Foundation

    Nimetapeliwa na mtu aliyedai ni afisa mikopo wa Mo Dewji Foundation kwa kunilaghai nikope mikopo nafuu Kwa riba ndogo, ila nitoke dhamana ya asilimia 10. Nilitoa shs 35,000 na kulipa katika namba 0789 223 590 (Khatibu Khamis) na kuahidiwa kupewa mkopo wa shs laki 3, ndani ya muda mfupi. Baada...
  4. Busybee Chimata

    JamiiForums Tanzania DAWASA Special thread: Tupe maoni, maswali, malalamiko na ushauri

    Kuna wafanyakazi wa Dawasa wanajihusisha na kufungia watu maii kwa njia ya wizi? Mitaa ya huku airport karakata, kuna mama anapita kukusanya majina ya watu wanaotaka maji na baadae huchukua hela na kumleta fundi wa dawassa kuunganisha maji. Mapungufu. 1.pomba ni la kuungaunga 2.mita inakaa...
  5. Busybee Chimata

    JamiiForums Tanzania KISUTU: Kizimbani kwa tuhuma za kulawiti na kusambaza picha za ngono

    Wapo kibao, za kina amba nimekaa kibao mbona wanadunda tu. Uoneve tu Sent using Jamii Forums mobile app
  6. Busybee Chimata

    JamiiForums Tanzania Kuna nini NSSF? Mafao hayatolewi kwa wakati

    Kuna rushwa NSSF. Wastaafu na waliopoteza ajira hawapati mafao yao kwa wakati, wengi wao wanaombwa rushwa eti ndiyo malipo yao yapatikane mapema. Hebu vyombo via habari, polisi na Takukuru fuatilieni hili mkasikilize malalamiko wa wananchi wanaofuatilizia mafao yao pale NSSF, kuna watu hawana...
  7. Busybee Chimata

    JamiiForums Tanzania Rais Magufuli, Uwaziri wa Fedha umeteuliwa na nani?

    mikoa ya nchi hii ni mingi mno, mheshimiwa atatembelea lini mikoa mingine??, kila siku simiyu, chato, mwanza!!!, huko sumbawanga, mtwara,katavi, mbeya,iringa ataenda lini?
Back
Top Bottom