dezdery nzyungu
Member
- Apr 7, 2016
- 5
- 3
Kuna rushwa NSSF. Wastaafu na waliopoteza ajira hawapati mafao yao kwa wakati, wengi wao wanaombwa rushwa eti ndiyo malipo yao yapatikane mapema.
Hebu vyombo via habari, polisi na Takukuru fuatilieni hili mkasikilize malalamiko wa wananchi wanaofuatilizia mafao yao pale NSSF, kuna watu hawana ajira kwa miaka zaidi ya miwili, madai yao ni milioni 1 tu, lakini mpaka kesho hakuna mafao.
Hebu saidieni haki za watu zipatikane.
Hebu vyombo via habari, polisi na Takukuru fuatilieni hili mkasikilize malalamiko wa wananchi wanaofuatilizia mafao yao pale NSSF, kuna watu hawana ajira kwa miaka zaidi ya miwili, madai yao ni milioni 1 tu, lakini mpaka kesho hakuna mafao.
Hebu saidieni haki za watu zipatikane.