Recent content by busura zaidi

  1. B

    Jinsi ya kufanya mpenzi wako asijue kama una mchepuko mwingine

    Kumjua Mungu kunasaidia sana sio kwa mateso hayo khaàaaa
  2. B

    Happy Sabath JF

    Yeah, happy Sabbath too my members
  3. B

    Pishi la Keki ya Chocolate

    Asante mpendwa
  4. B

    Ushauri: Mume wangu karudi safari, baada ya kukaa miezi 4, amekuwa tofauti kitandani

    Asante kwa matusi Sent using Jamii Forums mobile app
  5. B

    Ushauri: Mume wangu karudi safari, baada ya kukaa miezi 4, amekuwa tofauti kitandani

    Nahisi hivyo pia Sent using Jamii Forums mobile app
  6. B

    Ushauri: Mume wangu karudi safari, baada ya kukaa miezi 4, amekuwa tofauti kitandani

    Hakuna alichosikia kibaya na ananiamin sana na binafs sipo hivo Sent using Jamii Forums mobile app
  7. B

    Ushauri: Mume wangu karudi safari, baada ya kukaa miezi 4, amekuwa tofauti kitandani

    Asante kwa ushaur mzur Sent using Jamii Forums mobile app
  8. B

    Ushauri: Mume wangu karudi safari, baada ya kukaa miezi 4, amekuwa tofauti kitandani

    Naomba usinitukane cjasema nakimbilia nje nmesema naanza pata mawazo ya kutafuta MTU,na pia hapa naomba ushaur sio mtakachosema lazima nifanye Mimi sio mjinga kuna kupata mawazo yenu, Sent using Jamii Forums mobile app
  9. B

    Ushauri: Mume wangu karudi safari, baada ya kukaa miezi 4, amekuwa tofauti kitandani

    Sina nia ya kuchepuka lkn najikuta nampa mwili wang as if hauna thaman kwake Sent using Jamii Forums mobile app
  10. B

    Ushauri: Mume wangu karudi safari, baada ya kukaa miezi 4, amekuwa tofauti kitandani

    Nina ndoa ya miaka 5, nina watoto 2, mume wangu yuko mkoa mwingine kimasomo, namjua vizuri kunako majomboz hakurudi nyumbani kama miezi 3 au 4 hivi kutokana na ubusy wa chuo na pia pesa haikua vizuri aliporudi nikiwa na hamu nae nimejikuta mi ndo nahitaji penzi yeye kama anajifosi yaani kana...
  11. B

    Kusaidia ukweni ni hiyari, sio lazima

    Km kusaidia ukweni especially kwa mkeo unaona tabu mbona ndugu WA kiume wanatuomba pesa wake zenu km vile walinipa niwatunzie ???au mi ni halal nisaidie kwenu afu we usisaidie kwetu?cha muhimu ni maelewano yenu na tabia zenu ila usije hapa kudai upande WA like wanaomba msada mbona ndugu zenu...
  12. B

    Mada: Fahamu mbinu mbalimbali zinazoweza kukuwezesha kupata mtoto wa kiume

    Mungu akusaidie unakosa furaha ya moyo kisa una wadada???habar gan kwa wasio na uwezo WA kuzaa?wanaomba Mungu watoto he hao ulionao wakifa utapata furaha ya moyo ???? Ndugu omba rehema Mungu akusamehe ,Huyo mwanamke unamzalisha watoto utakaorizika nao weww kesho unamtukana unamtukana maziwa...
Back
Top Bottom