Naomba usinitukane cjasema nakimbilia nje nmesema naanza pata mawazo ya kutafuta MTU,na pia hapa naomba ushaur sio mtakachosema lazima nifanye Mimi sio mjinga kuna kupata mawazo yenu,
Sent using Jamii Forums mobile app
Nina ndoa ya miaka 5, nina watoto 2, mume wangu yuko mkoa mwingine kimasomo, namjua vizuri kunako majomboz hakurudi nyumbani kama miezi 3 au 4 hivi kutokana na ubusy wa chuo na pia pesa haikua vizuri aliporudi nikiwa na hamu nae nimejikuta mi ndo nahitaji penzi yeye kama anajifosi yaani kana...
Km kusaidia ukweni especially kwa mkeo unaona tabu mbona ndugu WA kiume wanatuomba pesa wake zenu km vile walinipa niwatunzie ???au mi ni halal nisaidie kwenu afu we usisaidie kwetu?cha muhimu ni maelewano yenu na tabia zenu ila usije hapa kudai upande WA like wanaomba msada mbona ndugu zenu...
Mungu akusaidie unakosa furaha ya moyo kisa una wadada???habar gan kwa wasio na uwezo WA kuzaa?wanaomba Mungu watoto he hao ulionao wakifa utapata furaha ya moyo ???? Ndugu omba rehema Mungu akusamehe ,Huyo mwanamke unamzalisha watoto utakaorizika nao weww kesho unamtukana unamtukana maziwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.