busura zaidi
Senior Member
- Aug 24, 2016
- 111
- 151
Nina ndoa ya miaka 5, nina watoto 2, mume wangu yuko mkoa mwingine kimasomo, namjua vizuri kunako majomboz hakurudi nyumbani kama miezi 3 au 4 hivi kutokana na ubusy wa chuo na pia pesa haikua vizuri aliporudi nikiwa na hamu nae nimejikuta mi ndo nahitaji penzi yeye kama anajifosi yaani kana kwamba haitaji penzi.
Nikamuuliza mbona uko hivo na hatujaonana muda akajibu yuko sawa, alinipa penzi lakini tangu anaanza shughuli hadi anamaliza tunachukua kama dk 45 au saa1, kiukwel huwa ananirizisha vya kutosha kilichonistua yuko kimya najaribu kuongea nae kimahaba jinsi nilivyommiss na jinsi anavyonichezea lakini hajibu kitu yuko kimya anapiga tu mzigo, naita jina lake haitiki ambavyo hayuko hivo huwa anaitika ananijibu tunaongea, nilipomaliza nikamuuliza una shida gani mume wangu akajibu hana shida.
Tumeenda hivo hivo sasa ana wiki 3 amekuwa bubu, na kawaida akimaliza namwambia asante hapo ndo atajibu, sasa nimejikuta hamu ya kusex imeniishia na nimejikuta siongei tena jinsi navyofili tukifanya mapenzi nakuwa kama bubu nami, akaja niuliza mbona umebadilika nikamjibu wewe ndo umenifanya hadi nakosa hamu kutokana na kubadilika kwako hakunijibu akalala.
Niko njiapanda nampenda sana mume wangu naridhika na shuguli yake lakini nimejikuta nawaza kutafuta mtu nje kitu ambacho sikipendi sababu ya hofu ya Mungu niliyonayo, je hiyo ni hali ya kawaida kwa mwanaume kuwa bubu mwanzo mwisho? Ilihali hakuwa hivo?
Sent using Jamii Forums mobile app
Nikamuuliza mbona uko hivo na hatujaonana muda akajibu yuko sawa, alinipa penzi lakini tangu anaanza shughuli hadi anamaliza tunachukua kama dk 45 au saa1, kiukwel huwa ananirizisha vya kutosha kilichonistua yuko kimya najaribu kuongea nae kimahaba jinsi nilivyommiss na jinsi anavyonichezea lakini hajibu kitu yuko kimya anapiga tu mzigo, naita jina lake haitiki ambavyo hayuko hivo huwa anaitika ananijibu tunaongea, nilipomaliza nikamuuliza una shida gani mume wangu akajibu hana shida.
Tumeenda hivo hivo sasa ana wiki 3 amekuwa bubu, na kawaida akimaliza namwambia asante hapo ndo atajibu, sasa nimejikuta hamu ya kusex imeniishia na nimejikuta siongei tena jinsi navyofili tukifanya mapenzi nakuwa kama bubu nami, akaja niuliza mbona umebadilika nikamjibu wewe ndo umenifanya hadi nakosa hamu kutokana na kubadilika kwako hakunijibu akalala.
Niko njiapanda nampenda sana mume wangu naridhika na shuguli yake lakini nimejikuta nawaza kutafuta mtu nje kitu ambacho sikipendi sababu ya hofu ya Mungu niliyonayo, je hiyo ni hali ya kawaida kwa mwanaume kuwa bubu mwanzo mwisho? Ilihali hakuwa hivo?
Sent using Jamii Forums mobile app