Recent content by businezz_oligarch

  1. B

    Baada ya kuangalia mawazo ya watu mbalimbali humu JamiiForums, nimeona nianze hivi

    aisee nimeipenda hii,,niko njiani kufuata nyayo zako,now najipanga kuwatafuta wadau wenye ujuzi wa miti ili nipate mawili matatu kabla ya kuanza,lakini kabla ya mwaka huu kuisha nitakuwa na la kusimulia kama wewe hapo mkuu...kwakweli mafanikio yapo karibu kuliko tunavyodhani,kama tukiwa na jicho...
  2. B

    Mtaji wa Milioni 5-10 (TZS): Biashara gani unaweza kufanya?

    aisee nimesoma mwanzo wa hii kitu 2009 mpaka 2013,sasa ni utekelezaji tu,malila lazima nikutafute kuhusu miti na mazao...i wish watanzania tungekuwa na mtazamo wa kijasiliamali zaidi,
  3. B

    Natafuta lain yenye tigo pesa nijiajili ntafika bei kwa mwenye nayo:

    We umewai kutafuta hizo line???au unaongea tu?risky katika kutumia line ya mwingine zipo lakini hapa kinachoongelewa ni upatikanaji wake sasa hivi....usione mtu anakuja kuulizia humu mwenye nazo amuuzie yuko tayari kulipia,ukiona hivyo huko unaposema aende kashaenda na kaambulia patupu...kama...
  4. B

    Natafuta lain yenye tigo pesa nijiajili ntafika bei kwa mwenye nayo:

    Hao si ndo wale wale wanaotizama mpira alaf wanajiona wao wanajua kuliko hata mchezaji,anaishia kusema tu aah angepiga shoot lingekuwa goli,
  5. B

    sheria inasema kuhusu hili swala?

    Sio mimi ndo muhusika,ni jambo ambalo nimeshuhudia tu,nilikuwa nataka kujua sheria inasemaje...
  6. B

    sheria inasema kuhusu hili swala?

    wanasheria naombeni mnisaidie katika hili,kwa mfano bank inamdai mtu,na kama taratibu zote zimefanyika za kumpa mteja barua zote za kumkumbusha alipe,lakini mpaka siku ya kufilisiwa inafika hajalipa,siku ya tukio la kufilisi mteja anakataa kufungua mlango ili assets zake alizoweka...
  7. B

    Nimeshuhudia muujiza wa ajabu nchini Germany!

    How Is This Man Floating in the Air? Levitating Street Performer | Mighty Optical Illusions
  8. B

    Hii ndio Lamborghini ya kwanza kuingia bongo

    Truuuuuuueeeee...ni sawa na kufananisha mtu anayekaa kule tandale kwenye nyumba ya mbavu za mbwa(samahani kwa wanaokaa huko nimetoa mfano tu,unaoendana na ukweli) na mtu anayekaa kwenye bangaloo kule mbezi beach,wote wapo kwenye nyumba hizo kutokana na financial posstion zao,na mwenye kibanda...
  9. B

    HoneyWay International "The Splendid Car dealer in Town" Lipia 60% upate gari lako; 40% kwa awamu!

    aisee kama hii kitu sio ujanja ujanja ni bonge la idea..2nahitaji feedbacks kwa walio au watakao agiza magari kupitia huu mpango kwa hawa jamaa....kwasababu kwangu kuweka 7.8mil alaf nkaziona zinapea na upepo kirahisi naweza kuchanganyikiwa,
  10. B

    iPhone 4/4S vs Samsung Galaxy S2 .....msaada

    Ok poa...na vp kuhusu s3 vs 4s???
  11. B

    binary...kwa wanaojua hii kitu

    Oooh huyo ndo mtaaram wa binary??aje tu aisee.
  12. B

    binary...kwa wanaojua hii kitu

    kwa wanaojua jinsi ya kuchange binary into ASCII plz help me katika hii..
  13. B

    ni pozi la picha tu au lina maana...????

    This looks interesting...ndo yumo kule kwa wale jamaa wa \G/ au ni mapozi tu ya kupiga picha..
Back
Top Bottom