Recent content by busiba

  1. busiba

    JamiiForums Tanzania Lissu ameshamshinda Mbowe!!

    Bwanabwana ,umeasahau ile picha ya liidude likubwa kabiisa? Sema LISU ni kiboko ya mbambamba.
  2. busiba

    JamiiForums Tanzania Leo nimeamini kuwa chadema ni CHAMA cha Mbowe.

    Itafikia hatua tuchunguze uwepo wa utitiri wa vyama,maana hili la Mbowe linaleta picha ya watu kutotaka mabadiliko. Wanataka maslahi sio dola. Nashangaa,Lisu kugombea tu ndio chama kiwe cha mbowe? Nashangaa sana
  3. busiba

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Sababu tano za wanachama wengi kumhitaji Tundu Lissu kuliko Mbowe

    Jamani hivi wapiga kura ni wapi ? Maana wasije kuwa mamluki wakapotosha lengo la upinzani.
  4. busiba

    JamiiForums Tanzania Lissu: Hakuna Katiba Mpya, hakuna uchaguzi

    Wakati mwingine huwa nawaza,kama ccm wanao ratibu mchakato wa katiba,wakachezea mmchakato tena,haki ya wanannchi kupata viongozi kupitia uchaguzi si ndio basi? Tumeshuhudia kususia kwa chadema mara nyingi,na ccm wakiendelea tu. Tuwafikirie wataanzania kwanza. Tutumie mifano ya Zambia.
  5. busiba

    JamiiForums Tanzania Yanayojiri vita ya Israel dhidi ya Palestina na Hamas

    Mi nafikiri israel nao waolodheshwe ka magaidi. Nafikiri.
  6. busiba

    JamiiForums Tanzania TANESCO watoa ufafanuzi kuhusu Bwawa la kufua umeme la Mwl. Nyerere kuwa na nyufa

    Hapa nishati pana shida. Tatizo likiibuliwa na wananchi linakanushwa vikali na wanaojifanya kutokuona shida zilizopo. Rejea uhaba wa mafuta,baada ya siku bei ikapanda. Umeme kukosekana,baada ya siku mgao. Hizi nyufa nazo nazipa siku.
  7. busiba

    JamiiForums Tanzania DOKEZO Kuna mazingira ya rushwa kwa Askari wanaoomba kwenda Kozi

    Kumbe na wao wanachukia rushwa, ajabu sana! Atoe tu,akirudi atafidia. Si ndio kawaida.?
  8. busiba

    JamiiForums Tanzania Ushahidi CHADEMA inatumiwa na TICTS kukwamisha uboreshaji wa bandari

    Kwani hao ticts nao wamepeleka mkataba bungeni?
  9. busiba

    JamiiForums Tanzania Je, kuna haja ya kuwarudisha tena bungeni hawa wabunge wa Bunge la 12, 2025?

    Hujasikia viongozi wa dini wanasemaje? Wengi hawana hofu ya wananchi,wanajua hata tusipowachagua watakuwa wabunge. Ndio waliopiga makofi. Na zaidi wakamjadiri mtu badala ya kilichokuwa mbele yao. Shida nyingine ni spika,alitaka kila wazo liendane na yeye anavyotaka,na anafikiri ni sawa. Tunashida.
  10. busiba

    JamiiForums Tanzania Dodoma: Bunge lapitisha azimio la kuunga mkono mkataba wa Tanzania na DP World

    Hoja inahamia kwa Mbowe. He!
  11. busiba

    JamiiForums Tanzania Wabunge wa CCM walipitisha kuuzwa kwa gas yetu, tena kwa hatua ya dharura

    Kila kitu,iwe uwekezaji,ubinafsishaji n.k. Wahusika ni ccm. Kama hasara tunapata ni sababu ya ccm.Hiyo inaeleweka.
  12. busiba

    JamiiForums Tanzania Dodoma: Bunge lapitisha azimio la kuunga mkono mkataba wa Tanzania na DP World

    Kwa hiyo hofu yetu sio muhimu?
  13. busiba

    JamiiForums Tanzania Uchambuzi wa Mkataba wa kuendesha bandari ya Dar es Salaam kati ya Tanzania na Dubai

    Inawezekana kila awamu iliyopita walikuwa wanauza kilicho karibu,na wenda vimeisha,awamu hii wamefikiriii,wakaona bandari inafaa.
Back
Top Bottom