Itafikia hatua tuchunguze uwepo wa utitiri wa vyama,maana hili la Mbowe linaleta picha ya watu kutotaka mabadiliko.
Wanataka maslahi sio dola.
Nashangaa,Lisu kugombea tu ndio chama kiwe cha mbowe?
Nashangaa sana
Wakati mwingine huwa nawaza,kama ccm wanao ratibu mchakato wa katiba,wakachezea mmchakato tena,haki ya wanannchi kupata viongozi kupitia uchaguzi si ndio basi?
Tumeshuhudia kususia kwa chadema mara nyingi,na ccm wakiendelea tu.
Tuwafikirie wataanzania kwanza.
Tutumie mifano ya Zambia.
Hapa nishati pana shida.
Tatizo likiibuliwa na wananchi linakanushwa vikali na wanaojifanya kutokuona shida zilizopo.
Rejea uhaba wa mafuta,baada ya siku bei ikapanda.
Umeme kukosekana,baada ya siku mgao.
Hizi nyufa nazo nazipa siku.
Hujasikia viongozi wa dini wanasemaje?
Wengi hawana hofu ya wananchi,wanajua hata tusipowachagua watakuwa wabunge.
Ndio waliopiga makofi.
Na zaidi wakamjadiri mtu badala ya kilichokuwa mbele yao.
Shida nyingine ni spika,alitaka kila wazo liendane na yeye anavyotaka,na anafikiri ni sawa.
Tunashida.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.