mie mwenyewe simjui nimekuta watu wanamuulezea mandonga nikauliza kapigana na nan wananijibu awajui ila wanachojua kapigwa na bwana mdogo ila mandonga katawali mitandao yote
kuna miaka ya nyuma kidogo nilikiwa namiliki kibasi cha abiria simu ikipigwa usiku gari imearibika duu nishatoka na pensi la kulalia nakajikuta niko ubungo hapo ndio nilipoona umuhimu wa kuzima simu usiku napatatizo nayajua asubuhi tu
ukiona nyuzi zako zinapata wachangia wengi juwa ujumbe umewafikia walengwa ukipondwa jua ujumbe umewafikia pia ukisikifiwa juwa ujumbe umewafikia pia sababu kila mtu na akili yke ya kupembua mambo na kujua unaweza kuchukiwa na ndugu yako na unamsaidia kila kitu sembuse mtu asiekujua
Nimecheka kinoma Ndugu yangu umenikumbusha mbali sana kuna dogo aliliona tangazo akaenda akatoa hela ya foma halafu wanataka mzamini pia akapata Hadi wazamini alichokuja kukutana nacho alichoka
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.