Recent content by bushpat

  1. bushpat

    Mandonga ni fursa ya kufufua boxing, aangaliwe kwa jicho la kibiashara, anapromoti vizuri sana

    mie mwenyewe simjui nimekuta watu wanamuulezea mandonga nikauliza kapigana na nan wananijibu awajui ila wanachojua kapigwa na bwana mdogo ila mandonga katawali mitandao yote
  2. bushpat

    Graphic designer wa Yanga amesifiwa sana lakini kumbe anakopi na kupest

    mbona simba nao wameiga jaman
  3. bushpat

    Umuhimu wa kutozima Simu usiku

    kuna miaka ya nyuma kidogo nilikiwa namiliki kibasi cha abiria simu ikipigwa usiku gari imearibika duu nishatoka na pensi la kulalia nakajikuta niko ubungo hapo ndio nilipoona umuhimu wa kuzima simu usiku napatatizo nayajua asubuhi tu
  4. bushpat

    Watangazaji, Wachambuzi na Waandishi wa Hab mnarudia Kosa lile lile ambao litaigharimu Simba SC ikikutana na Orlando Pirates FC

    ukiona nyuzi zako zinapata wachangia wengi juwa ujumbe umewafikia walengwa ukipondwa jua ujumbe umewafikia pia ukisikifiwa juwa ujumbe umewafikia pia sababu kila mtu na akili yke ya kupembua mambo na kujua unaweza kuchukiwa na ndugu yako na unamsaidia kila kitu sembuse mtu asiekujua
  5. bushpat

    Umeshawahi kupotea Kariakoo? Juzi ilibaki nukta nipige mayowe

    Hahahaha hii sio chai mkuu maana umenifanya nicheke Kwa nguvu
  6. bushpat

    Mrithi wa CHAMA huyu hapa

    Kuna comment nyingine unaweza kulia
  7. bushpat

    Ukikuta Hili tangazo ujue unaenda kwenye mabeseni mitaani

    Nimecheka kinoma Ndugu yangu umenikumbusha mbali sana kuna dogo aliliona tangazo akaenda akatoa hela ya foma halafu wanataka mzamini pia akapata Hadi wazamini alichokuja kukutana nacho alichoka
  8. bushpat

    Njooni tumpongeze Mohammed Hussein Zimbwe 'Tshabalala' kwa kufunga ndoa

    Hii Sura ipo au chai ndugu yangu hahaha
  9. bushpat

    Njooni tumpongeze Mohammed Hussein Zimbwe 'Tshabalala' kwa kufunga ndoa

    Nimecheka mpaka watu wameniangalia duuuu
Back
Top Bottom