Recent content by BUSHMEN 88

  1. BUSHMEN 88

    Simba Bob Junior wa Serengeti apinduliwa na kuuawa

    Rest in Peace Simba vita umevipigana na mwendo umeumaliza.
  2. BUSHMEN 88

    Beer [emoji481] inaweza kukusaidia kwenye Oral interview??

    Dutch courage kwenye ubora wake. Chezea maji ya[emoji481][emoji481][emoji481] lazima ngeli ipande ata uwe kilaza namna gani.
  3. BUSHMEN 88

    Tanga, Korogwe: Ajali yaua 17 na kujeruhi 12

    RIP Mungu awatangulie, wote tupo njia moja atakalo mola alina makosa.
  4. BUSHMEN 88

    Kuna aliyefanikiwa kuapply kazi NMB za Direct sales

    Wapo ila kwa wengine ni kitendawili apply kuanzia mida ya saa sita usiku kukiwa hakuna watu wengi kwenye mtandao inaweza kukubali maana mimi kuna rafiki yangu kafanya hivyo imekubali.
  5. BUSHMEN 88

    Wanafunzi hawa waliopata zero wanaenda wap?

    Baadhi wakipata mitaji wanakuwa wafanyabiashara wakubwa wakati wengine wanaangaika kwenda form six na chuo kikuu kisha wanakuja kutuajiri wakati tutaangaika kuzunguka na bahasha mitaani kutafuta ajira. Maana wanakuwa ni watu wa uthubutu kwa kujua kwamba awana plan B kwa hiyo ni rahisi kwao...
  6. BUSHMEN 88

    NECTA yaacha Utaratibu wa Kutangaza Wanafunzi bora na Shule bora kwa Kidato cha 4

    Vizuri sana kwakutambua jambo hilo. Yajayo yanafurahisha kweli elimu sasa ni biashara.
  7. BUSHMEN 88

    Ufugaji bora wa sungura kwa ajili ya kukuza kipato

    Tatizo la sungura kula watoto linaweza sababisha sungura kupungukiwa na baadhi ya madini mwilini baada ya kuzaa kwa hiyo anakula ili kurudisha madini yaliyopotea mwilini pia ukosefu wa chakula cha kutosha pamoja na maji vinachangia sungura kula watoto. Pia kama banda alipo vizuri yani linauwazi...
  8. BUSHMEN 88

    Waliotapeliwa Scatec waungana ili kuongeza nguvu kupambania haki zao

    Easy come, Easy go maisha ni kombolela No Free Lunch.
  9. BUSHMEN 88

    Kwa hospitali za hapa Tanzania mtu aliyevunjika mguu njia nzuri ni kuwekewa chuma au muogo ili apone haraka?

    Habarin wanajukwaa Naomba niende moja kwa moja kwenye mada yapata mwezi mmoja na nusu uliopita nilipata ajali ya bodaboda na kuvunjika mguu wa kushoto mara mbili yani mfupa wa nyuma na mbele na daktari niliyeonana baada ya kumuonyesha picha ya mionzi akanishauri ili mguu uweze kukaa sawa ni...
  10. BUSHMEN 88

    Je, ni kweli tumepashindwa kabisa Inyala mpaka itumike nguvu ya maombi?

    Kwa mtazamo wa haraka ajali zinaweza kusababishwa na mambo mengi ila tukizingatia yafuatayo tunaweza kuepusha ajali : 1 Ubovu wa chombo cha moto 2 Miundombinu mibaya na mibovu eg.mteremko mkali, kona kali na utelezi 3 Chombo chenyewe mfn kufeli kwa breki, kupasuka kwa matairi 4 Kutokuwa na...
  11. BUSHMEN 88

    Kwanini pale mtu anapofariki huwa wanatoa nguo zake zote na kuzigawa?

    Mambo hayo ni tamaduni na mila tu za sehemu fulani lakin kwa upande mwingine mamb hayo yamepitwa na wakati na mtu yoyote yule pia anaweza pewa kama kumbukumbu kutumia vitu vilivyoachwa na marehemu.
  12. BUSHMEN 88

    Ufugaji bora wa sungura kwa ajili ya kukuza kipato

    Nafugia kwenye banda lilipo juu chakula nawapa majani makavu na mabichi, pumba yenye mchanganyiko wa mashudu, dagaa, uduvi na chokaa.
  13. BUSHMEN 88

    Ufugaji bora wa sungura kwa ajili ya kukuza kipato

    Habarini wanajukwaa natumai ni wazima wa afya tele na pia natanguliza shukrani zangu kwenu. Nimeanzisha mradi wa ufugaji wa sungura ili niweze kukuza kipato na kupambana na changamoto za maisha baada ya kuona ugumu wa maisha kila kukicha kheri ya jana. Hivyo basi niliamua kuanza kufuga na...
Back
Top Bottom