Wafanyakazi mmesahau kuwa mwaka huu ni uchaguzi wa serikali za mtaa na mwakani uchaguzi mkuu,Lazima a hadi zile nyingi ,mshahara mtasikilizia ,vikao Kati ya serikali na Tucta vitaanza baada ya bajeti halafu tunamalizia vikao October 30 2015,mcccm wakishaingia Majibu ni kuwa sungura kidogo,halafu...