Sema siku hizi kukataa kuoa hua ni hatua ya awali kuelekea mtu mwanamme kuanza kusema anavutiwa na wanaume wenzie kimapenzi.
Kwangu ushauri wa kifala ni ninapokuelezea changamoto nazopitia kimahusiano halafu ukaniambia nitafute hela as if wenye hela wote wana life perfect kimahusiano.
We jamaa hua ni punga sio bure. Kwanza kabisa USSR unayodai ilisaidiwa ilishaanguka miaka ya 90 pia sidhani kama hata hiyo USSR as we speak imeyavamia mataifa mengi ikilinganishwa na USA na washirika wake baada ya ya vita ya pili ya dunia. Una hoja nyingi za kipuuzi ila ya leo imevuka mipaka
Dah hawa jamaa wanachanganya sana. Kuna baadhi ya staff wao wanavaa ppe zimeandikwa orecorp, baadhi email zao zina @sottamining.com na wengine wana Perseus. Getini kuna bendera ya Perseus, Australia na Tanzania. Mambo ni mengi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.