Niliwahi kuuliza pia hapa kama wimbo wa kibamia wa kina Roma ulifungiwa, Nyegezi wa Diamond ukafungiwa kwa nini hiki kipindi kinaruhusiwa kurushwa. Basata walitumia vigezo gani kuzifungia hizo nyimbo na tcra wanatumia vigezo gani kukiacha hewani hiki kipindi?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.