Recent content by BUSH BIN LADEN

  1. BUSH BIN LADEN

    JamiiForums Tanzania Ati, "inategemea". 🤮

  2. BUSH BIN LADEN

    JamiiForums Tanzania Dalali hakumtonya mzee wangu kuwa mtu anayetaka chumba ni shoga

    Echolima1 njoo utoe uzoefu unaishi vp na mwenye nyumba wako kwa muda wa miongo kadhaa uliyoishi hapo
  3. BUSH BIN LADEN

    JamiiForums Tanzania Israel ilivyomuokoa Trump mikononi mwa mahasimu wao wa Iran ambapo Trump alikuwa auwawe

    Nyie nao hamueleweki. Si mnadai Iran mmeichakaza na haijiwezi tena ki vita how comes bado kuna watu ndani ya Iran wanaweza kupanga mipango ya kumuangamiza rais wa nchi kama marekani
  4. BUSH BIN LADEN

    JamiiForums Tanzania Elon Musk: China inavutia sana. Ninawahimiza sana watu kutembelea huko

    Ukifuatilia historia ya China kuanzia kwa Den Xiaoping na crew yake mfano huyu former premier aliefariki juzi kati unaona kabisa nchi ili iendelee inahitaji cream fulani ya viongozi wenye maono na uzalendo otherwise kama taifa mtapiga mark time tu.
  5. BUSH BIN LADEN

    JamiiForums Tanzania Elon Musk: China inavutia sana. Ninawahimiza sana watu kutembelea huko

    Umewajaribu hawa NTGD Pump Co., Ltd
  6. BUSH BIN LADEN

    JamiiForums Tanzania FT | Yanga SC 1-0 Simba SC | Ngao ya Jamii | New Amaan Complex | 12.08.2026 | Yanga mabingwa

    Doumbia ni mrefu sana hadi haoni chini
  7. BUSH BIN LADEN

    JamiiForums Tanzania Wizara ya Mawasiliano na Taasisi Serikali zihakikishe namba za Simu, Emails walizoziweka kwa tovuti zao zinafanya kazi, hii ni aibu!

    Unawatafuta wakupe taarifa za kusajili kampuni unashangaa mtu anakutafuta private ana kampuni ana agency ya kufanya hizo kazi kwa malipo
  8. BUSH BIN LADEN

    JamiiForums Tanzania Wizara ya Mawasiliano na Taasisi Serikali zihakikishe namba za Simu, Emails walizoziweka kwa tovuti zao zinafanya kazi, hii ni aibu!

    Namba ya simu ya OSHA mkoa wa Mwanza haijawahi kupokelewa hata kwa bahati mbaya, huu ni mwezi wa 3
  9. BUSH BIN LADEN

    JamiiForums Tanzania Rais Samia akutana na Viongozi wa TEC - Ikulu, Chamwino

    Unakosaje picha wakati zimewekwa kwenye uzi husika!
  10. BUSH BIN LADEN

    JamiiForums Tanzania Je kitaalam kipi kinahusika na kifo kati MOYO NA UBONGO AU ROHO NA AKILI?

    Baadhi ya hospitali huyo huyo daktari mtaalam anakwambia marehemu amekata roho saa fulani😄
  11. BUSH BIN LADEN

    JamiiForums Tanzania Civilian-Coin azindua mavazi rasmi yaitwayo "African map wear" au " Home boy gear"

    Mkuu hizo gears tunazipataje hapa jf
  12. BUSH BIN LADEN

    JamiiForums Tanzania Vituko mitandaoni. Tupia chako

  13. BUSH BIN LADEN

    JamiiForums Tanzania Kujifungua kwa operesheni kuna punguza uke wa mwanamke

    Mleta uzi kala k-vant
  14. BUSH BIN LADEN

    JamiiForums Tanzania Watanzania wengi wanaotumia ATM machine kutoa pesa bado hawajui huduma ya kugusa kadi (NFC Reader) kutoa pesa wamezoea njia ya kuchomeka kadi

    Wengi pia hawafahamu kwamba ndani ya herufi ATM tayari kuna neno mashine. Shukrani kwa elimu, ngoja nifatilie
  15. BUSH BIN LADEN

    JamiiForums Tanzania Mikao ya Kufanya Ngono Ili kupagawishana

    Bila picha umetupotezea muda
Back
Top Bottom