Recent content by BUSH BIN LADEN

  1. BUSH BIN LADEN

    LIVE Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

    Kuna concept ya Greater Europe kwa maana ya Ulaya moja kutoka Lisbon hadi Vladivostok. Mpango wa ushirikiano kati ya nchi za Ulaya na Urusi hua upo ila US ndo anaingilia kati kuuvuruga.
  2. BUSH BIN LADEN

    Rais Samia: Kero za Muungano 15 kati ya 18 zimeshatatuliwa

    Sijui mi naionaje, ni kama kadri wanavyotwambia kero za muungano zinatatuliwa ndivyo zanzibar inavyozidi kuoewa mamlaka na kuipoteza Tanganyika.
  3. BUSH BIN LADEN

    Preview ya Black Panther Wakanda Forever 2022

    Sijui ni ushamba umenijaa. Movie yoyote ambayo ni sci-fi au paranormal hua siiangalii, hata hii niliishia katikati nikaifuta kwenye pc. Movie ni uongo ila uongo wa hizi movie ni mkubwa mno, sipendi
  4. BUSH BIN LADEN

    Ushawahi jaribu kupika vitu vipya ukatoa boko?

    Niliwahi kujichanganya kupika pilau dah sijui nilizidisha nini maana kitu kilitoka boko, cheusi halafu kina harufu tatanishi sana
  5. BUSH BIN LADEN

    LIVE Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

    Dah mpaka saizi Ukraine tumeshapewa kiasi cha $178 Billion kutoka kwa washirika wetu kama US, EU, NATO, G7, Japan, South Korea, Australia nk ila kwa masikitiko makubwa tumeambulia kupoteza zaidi ya 20% ya ardhi yetu.
  6. BUSH BIN LADEN

    BASATA Na TCRA waache Double Standards

    Mbona walìufungia wimbo wa Kibamia, lilikuwa na shida gani? Au nao wana mawazo ya kishetani?
  7. BUSH BIN LADEN

    Special Thread: Wauza TV aina zote kwa bei nzuri tuuziane hapa

    Mkuu hivi hadi hizi ambazo ziko powered na VIDAA OS zina access ya Play Store!
  8. BUSH BIN LADEN

    Kinara wa demokrasia na haki za binadamu duniani anatumia nguvu kuzuia maandamano ya amani kupinga mauaji Gaza

    Kwani wamarekani ni watu gani exactly sio hao hao mchanganyiko wa races tofauti wenye uraia wa marekani?
  9. BUSH BIN LADEN

    BASATA Na TCRA waache Double Standards

    Mkuu kuna kipindi cha michezo Bongo Fm kinaanza saa 1-3 asubuhi kinaitwa Bao la asubuhi. Kwangu mimi naona hili jina lina ukakasi kama yalivokuwa Kibamia na NYEGEzi
  10. BUSH BIN LADEN

    BASATA Na TCRA waache Double Standards

    Je, sababu zilizotumika kuzifungia nyimbo kama Kibamia na Nyegezi hazipaswi kuwa hizo hizo kukifungia kipindi cha Bao la asubuhi cha Bongo Fm(TBC Fm ya zamani). Naomba tujadili.
  11. BUSH BIN LADEN

    LIVE Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

    Typing error. Ulipaswa uweke kiasi husika kuwasaidia wadau. Hatuko vitani jf.
  12. BUSH BIN LADEN

    LIVE Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

    Typing error. Ni kama trilion 1 ya kitanzania.
Back
Top Bottom