Kuna concept ya Greater Europe kwa maana ya Ulaya moja kutoka Lisbon hadi Vladivostok. Mpango wa ushirikiano kati ya nchi za Ulaya na Urusi hua upo ila US ndo anaingilia kati kuuvuruga.
Sijui ni ushamba umenijaa. Movie yoyote ambayo ni sci-fi au paranormal hua siiangalii, hata hii niliishia katikati nikaifuta kwenye pc. Movie ni uongo ila uongo wa hizi movie ni mkubwa mno, sipendi
Dah mpaka saizi Ukraine tumeshapewa kiasi cha $178 Billion kutoka kwa washirika wetu kama US, EU, NATO, G7, Japan, South Korea, Australia nk ila kwa masikitiko makubwa tumeambulia kupoteza zaidi ya 20% ya ardhi yetu.
Mkuu kuna kipindi cha michezo Bongo Fm kinaanza saa 1-3 asubuhi kinaitwa Bao la asubuhi. Kwangu mimi naona hili jina lina ukakasi kama yalivokuwa Kibamia na NYEGEzi
Je, sababu zilizotumika kuzifungia nyimbo kama Kibamia na Nyegezi hazipaswi kuwa hizo hizo kukifungia kipindi cha Bao la asubuhi cha Bongo Fm(TBC Fm ya zamani).
Naomba tujadili.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.