Recent content by BUSH BIN LADEN

  1. BUSH BIN LADEN

    Ni wimbo gani unaoutafuta sana bila mafanikio?

    Wa mongolia wenzangu hii ngoma najua mnaitafuta sana
  2. BUSH BIN LADEN

    Kihasibu: Hasara ya Milioni 400 usajili wa Aziz Ki kwenda Yanga

    OKW BOBAN SUNZU akili zake kama mapongo wa tz
  3. BUSH BIN LADEN

    Series (Special thread)

  4. BUSH BIN LADEN

    Ushauri gani ukipewa unaona ushauri wa kifala? Hascana

    Sema siku hizi kukataa kuoa hua ni hatua ya awali kuelekea mtu mwanamme kuanza kusema anavutiwa na wanaume wenzie kimapenzi. Kwangu ushauri wa kifala ni ninapokuelezea changamoto nazopitia kimahusiano halafu ukaniambia nitafute hela as if wenye hela wote wana life perfect kimahusiano.
  5. BUSH BIN LADEN

    Umbumbu ni tabu sana

    https://www.jamiiforums.com/threads/ni-ipi-siri-ya-wachaga-kuwa-kabila-lililoyaacha-makabila-mengine-mbali-mno-kwenye-mafanikio.2119494/post-54890542
  6. BUSH BIN LADEN

    Je, makaa ya mawe yanafaa kupikia Katika majiko ya majumbani kama mkaa wa kawaida unavyotumika?

    Niliwahi kusikia kuuna teknolojia ya kuuchanganya na udongo mfinyanzi kupunguza ukali wake. Sina uhakika na hili na linafanyika vipi
  7. BUSH BIN LADEN

    Kuoa Single Mama ni sawa na kunywa soda iliyofunguliwa na kuonjwa

    Kwani maana ya single mother ni nini kwa kiswahili?
  8. BUSH BIN LADEN

    Marekani na Uingereza walifanya kosa kubwa la kimkakati kuungana na USSR dhidi ya Hitler na Ujeruman yake

    We jamaa hua ni punga sio bure. Kwanza kabisa USSR unayodai ilisaidiwa ilishaanguka miaka ya 90 pia sidhani kama hata hiyo USSR as we speak imeyavamia mataifa mengi ikilinganishwa na USA na washirika wake baada ya ya vita ya pili ya dunia. Una hoja nyingi za kipuuzi ila ya leo imevuka mipaka
  9. BUSH BIN LADEN

    Baraka za Kaskazini, Hatimaye Makonda akiri jambo muhimu

    Hivi wamasai pia wanatokea kaskazini?
  10. BUSH BIN LADEN

    Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

    Hamna @kipanya44 sio mnazi wa Netanyahu na wenzie wenye masikio makubwa
  11. BUSH BIN LADEN

    Serikali yasaini mkataba Mgodi mkubwa wa Dhahabu wa Nyanzaga.Tanzania Kupata asilimia 20% vs 80% za Mwekezaji

    Dah hawa jamaa wanachanganya sana. Kuna baadhi ya staff wao wanavaa ppe zimeandikwa orecorp, baadhi email zao zina @sottamining.com na wengine wana Perseus. Getini kuna bendera ya Perseus, Australia na Tanzania. Mambo ni mengi
  12. BUSH BIN LADEN

    Serikali yasaini mkataba Mgodi mkubwa wa Dhahabu wa Nyanzaga.Tanzania Kupata asilimia 20% vs 80% za Mwekezaji

    Kwenye hili dili Nyanzaga mining ni nani, Sotta mining ni nani na Perseus mining ni nani? Anyways tuko pamoja katika ujenzi wa taifa la Australia.
Back
Top Bottom