Nchi nyingi na viongozi huwa wanashutumiwa kufanya mauaji ya watu na wengi inaeleweka ila sijawahi kuelewa Khamenei na Iran yake wamewahi kufanya mauaji ya level hiyo kwa nchi gani exactly. Nisicho kielewa ni namna gani Ayatollah anaitwa muuaji ila mtu kama Netanyahu hawekwi kwenye list ya wauaji.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.