Recent content by BUSH BIN LADEN

  1. BUSH BIN LADEN

    JamiiForums Tanzania Hivi Mbeya ni Tanzania? Nimekuta Vumbi la kutisha kama Jehanamu. Narudi Iringa

    Tunaomba picha na video za jehanam ili tulinganishe
  2. BUSH BIN LADEN

    JamiiForums Tanzania Post ya Lionel Messi instagram yazua gumzo akidai kuwa mjadala wa GOAT umetamatika

    Uko obsessed sana na huyu GOAT, what's up?
  3. BUSH BIN LADEN

    JamiiForums Tanzania Dalili za mwanaume maskini ni hizi

    Unaijua bilioni lakini?
  4. BUSH BIN LADEN

    JamiiForums Tanzania Nchimbi bado anaomboleza kufukuzwa kazi

  5. BUSH BIN LADEN

    JamiiForums Tanzania Mimi sili ugali

    Kwani mtu akisema hali ugali we unachukulia kasema kwa kuwa wanao kula ugali wana hali gani? Mimi mbona sili pizza, hii tuiiteje?
  6. BUSH BIN LADEN

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

    Nje ya mada kidogo
  7. BUSH BIN LADEN

    JamiiForums Tanzania Innovation Week Tanzania 2026: Baada ya Uzinduzi wa Jana JNICC, Je Tunavuka kutoka Mipango (Dira 2050) kwenda Utekelezaji?

    https://www.jamiiforums.com/threads/nampongeza-huyu-member-aitwaye-kwa-ubunifu-wa-kuja-na-username-hii.2465526/post-56702237
  8. BUSH BIN LADEN

    JamiiForums Tanzania Inawezekana Mungu alisahau kutuweka miguu iwe ina shika kitu kama nyani

    Mbona hujaomba akuumbe na lile kundu jekundu!
  9. BUSH BIN LADEN

    JamiiForums Tanzania Kero katika Misa Katoliki (kwa wakatoliki tu)

    Yaani kero uilete kwenye jukwaa la jamii halafu uchague wa kuichangia? Si ungeipeleka kigangini kwenu.
  10. BUSH BIN LADEN

    JamiiForums Tanzania Kwa nini wanaume wenye maisha duni ya kawaida wanajali sana bikira?

    Ndo mali wanayoweza kuimiliki kwa hali yao ya maisha
  11. BUSH BIN LADEN

    JamiiForums Tanzania Kuna watu kuzaliwa hapa duniani ilikuwa ni hasara kwa MUNGU na kwa binadamu. Watu kama Putin, Hiltler, Amin, Ayatollah nk hawakupaswa kuzaliwa

    Nchi nyingi na viongozi huwa wanashutumiwa kufanya mauaji ya watu na wengi inaeleweka ila sijawahi kuelewa Khamenei na Iran yake wamewahi kufanya mauaji ya level hiyo kwa nchi gani exactly. Nisicho kielewa ni namna gani Ayatollah anaitwa muuaji ila mtu kama Netanyahu hawekwi kwenye list ya wauaji.
  12. BUSH BIN LADEN

    JamiiForums Tanzania Kwa nini nyama choma nyingi bongo ni ngumu sana?

    Mbona nyama pori kwa kiasi kikubwa huwa ni laini. Wanayama wa kufugwa wanatembea kuliko wa porini?
Back
Top Bottom