Nyie nao hamueleweki. Si mnadai Iran mmeichakaza na haijiwezi tena ki vita how comes bado kuna watu ndani ya Iran wanaweza kupanga mipango ya kumuangamiza rais wa nchi kama marekani
Ukifuatilia historia ya China kuanzia kwa Den Xiaoping na crew yake mfano huyu former premier aliefariki juzi kati unaona kabisa nchi ili iendelee inahitaji cream fulani ya viongozi wenye maono na uzalendo otherwise kama taifa mtapiga mark time tu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.