Recent content by Busekela

  1. B

    Maonyesho ya Ubunifu UDSM yanafikirisha

    Teknolojia huibiwa,huboreshwa.
  2. B

    Natafuta wateja wa Uduvi

    Tun Tunaendelea kuletata kwa oda maalumu kwa wateja wa jumla.
  3. B

    Uzi maalumu; Machine zinazotengenezwa hapa nchini

    Je hizi machine zinatumia umeme au diesel?
  4. B

    Nahitaji Kiwanja

    Kipo Kibaha kwa Mfipa, umbali km 4 hivi kutoka Morogoro road. Ukubwa ni mita 40 kwa 15 na bei yake ni Tsh 2.5m fixed.
  5. B

    GE2020 Ni kichwa ngumu na uzalendo tu kwa CCM: Tundu Lissu anatikisa, smart na anapendwa

    TISS ndo wanaamua nani aongoze nchi sio tena wananchi kwenye sanduku la kura??
  6. B

    Natafuta wateja wa Uduvi

    Stock iyokuwepo imekwisha, nitawataarifu mzigo mpya ukiingia.
  7. B

    GE2020 Kutoka Lindi: Yaliyojiri uzinduzi wa Kampeni za Chama cha ACT-Wazalendo

    Ni mwanasiasa makini sana,,mtulivu na anajua namna ya kueleza mambo magumu kwa lugha rahisi.
  8. B

    Natafuta wateja wa Uduvi

    Nina uduvi peke yake,kuhusu kipi bora kati ya uduvi na vumbi la dagaa sina jibu la moja kwa moja,,nijuavyo vyote vinatumika kama chakura cha mifugo,kama kuna wafugaji hapa wanaweza kufafanua zaidi.
  9. B

    Natafuta wateja wa Uduvi

    Ukihitaji tunaweza kukutumia ingawa itabidi ulipie gharama za usafirishaji.
  10. B

    Natafuta wateja wa Uduvi

    Hapana karibu na shule ya msingi liwiti
  11. B

    Natafuta wateja wa Uduvi

    Asante kwa ushauri wako, tayari nimeweka picha.
Back
Top Bottom