Tunduma inafeed Zambia,Congo,Zambia na Malawi a achilia mbali wanatunduma wenyewe. Na hali ya hewa kama upo kwa Malikia Elizabeth... Tunduma ni fireeee
Kifupi kabisa Tunduma ni Robo Kariakooo. Biashara zote zipo pale na zote ni kubwa. Mji mpka saa 5 usiku umechangamka. Kuna Baridi hivyo bia hazinywewi nje. Wakinga na wanyakyusa ndio wameshika mji. Nia ajabu hakuna wahindi. Hii inaonyesha kuna magendo mengi..wahindi ni waoga wa magendo
Huko site ilipo ningetumia laki 4 kwa mafuta ya gari kwenda na kurudi ofisini kwa mwezi. Na muda almost 2 hrs x2 za usafiri kuupoteza barabarani. Now nastay 5km kutoka ofisini. Kwa ukaribu huu mara chache sana natumia gari kwenda ofisini .. 3 km wife tumefungua ofisi wife anaisimamia .. 2km...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.