Acha ushamba wewe usafiri mzuri ni ndege tu. Achana na hayo mabasi mabovu yenye umri wa miaka 30 na masereva walevi wa milungi. Hakuna usafiri hapo. Panda ndege mpk mwanza then unachuku tax kwenda geita derever tax anaendesha unser your control
Rais jk ameongoza sherehe za meimos kitaifa kule mwanza na pia dk shein ameongoza kitaifa kule zanzibar. Kwakweli ninebak na utata kuhusu hili taifa nisaidieni wana jf
Jaman acheni kuongea uchafu huo yaani timu ya wauza cm kkoo uikinganushe na yanga ta kimataifa. Hao wakacheze ndimu huko kanda ya ziwa washinde wapate angalau cha kujivunia
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.