Katika falsafa za Elimu kuna watu wa aina 3. Gold, silver and stone. Likewise hutumika kutofautisha uwezo wa akili kwa wanafunzi.
Gold> hata bila mwl. Anaweza kujifunza akaelewa vzr.
Silver> anahtaji msaada kidogo wa mwl ili aelewe.
Stoneman>huyu uwepo wa mwl haumsaidii kwa sababu hata ukitoa...
Msiweweseke mimi ndie najua nilivyo. Najua ningesema nasoma PHD nna 26 na nipo kazini mngeanza kubishana. Hv v2 haviwezekani kwa Tanzania tu ila ukitoka nje kdg everythng is possible. Kama mke unaweza mpata hata msibani ijekuwa JF. I dont need your attitude because I have my own.
Ni mwanaume nina 26 yrs. Ninakazi yangu na maisha ya maana kabisa. Nina elimu ya juu sana nipo Morogoro nahitaji mchumba wa kuoa. Tabia haijalishi nitairekebisha mwenyewe nipo vizuri. Umri usizidi miaka 26 hata kama ana mtoto poa tu.
Namba yangu ni.Ukiwa siriazi iombe nitakutumia
Anawasihi watanzania kudumisha amani iliyopo na kuwapuuza CCM kwa matamko wanayoashiria kuvunja amani ya nchi yetu.
Anasema waepuke dhana inayojengwa kwa chuki ya udini ukabila na ukanda kwamba huu ni uvivu wa kufikiri kwa viongozi wa CCM
"Cliaring" ni Chakula gani au Kozi?
Clearing ? Kuwa makini Kiazi ww. Kazi hupati piga kura kwa UKAWA maombi yako yatapokelewa na Mungu. Tofauti na hapo Piga mbizi Bandarini uibukie Ulaya
Mimi ni Degree holder.. katika masomo ya Geography/ History. Nina experience ya miaka mitano. Natafuta shule ya secondary nijitolee kwa miaka miwili. Kwa atakayenihitaji ntampa ushirikiano.
Aende popote tu sisi tutabaki imara Chadema na tutaiondoa. Dr kubwaga manyanga atakuwa kajimaliza na tutamshughulikia hatuna namna nyingine.
Asilazmishe kwanza asinge uzika kwa muda huu.
I'm at Kondoa district secondary department. Looking for teacher to exchange with, should be from Dodoma municipal. If commited air me through 0657 917473
jibu zuri sana hebu tupambane na maisha. Tufanye siasa za akili na kuingiza kipato ila unamuwaza mtu anamaisha yake mazuri tu. Kwa ufupi huyo hajielewi kabisa hawezi mziua zitto kwa meseji zake
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.