Acha ujinga mkuu; unapoongea jaribu kuhusisha akili kabla ya mdomo kuzungumza. Haya ni maisha ya watu kama ww sio mwajiriwa ukae kimya. Waachie wenye ngoma wacheze.
Mkuu wanaume ni wasimamizi wa wanawake, huyo mwanamke ni kumweka sawa tu kitabia kama unampenda lakini....anaweza kubadilika na akafaa kuolewa. Hakuna mtu asiebadilika kama akiwekew misingi mizuri. Kama unampenda utambadilisha na utamuoa.
Mkuu onyesha ukomavu wa akili, hiyo wiki kesho isifike nenda kwa mkeo. Huyo ukikaa nae siku mbili utakula ni sawa na mtu anaetumia muwa kama fimbo ya kutembelea utaula tu.
Kwanini watu wasipewe elimu, lakini pia bunge likapewa kazi ya kuandaa sheria hiyo badala ya kuwa na tabia za kutungia sheria vyumbani. Tanzania tumekosa heshima katika mihimili ya serikali. Huwezi jua thamani ya bunge, mahakama wala serikali.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.