Recent content by Bura awet

  1. B

    JamiiForums Tanzania Tetesi: Mbunge machachari kutikisa siasa za Tanzania na kumwaga manyanga kabla ya Julai 24

    Dingi anadhani kutumia nguvu badala ya akili ndiyo dawa
  2. B

    JamiiForums Tanzania Kwa zuio hili la CHADEMA liwe pia kwa Kumtambulisha Mwenyekiti wa CCM

    Double standards! Polisi wasithubutu kufanya uzembe huo Karatu. Leo wamesema wanachotaka ni kuheshimiana. Bila hivo zitalika kwa wambulu. Wale wana msimamo sio wabantu wana damu ya kizungu!!
  3. B

    JamiiForums Tanzania Hili la Kikwete kwa Baba wa Taifa na kwa Rais Magufuli ni by coincidence au kiburi tu?

    Nakubaliana na wewe mwenye kuleta mada turudi kuwaita viongozi ndugu badala ya waheshimiwa. Ndiyo maana wanajisahau na kujiona kama miungu wadogo. Viongozi ni watumishi wa watu. Kwa nini tunawaita waheshimiwa? Viongozi wengi wa TZ ni wezi na kwa sasa hawastahili kuitwa hivyo. Labda mpaka...
  4. B

    JamiiForums Tanzania Je, CCM wameridhika na "amani na utulivu" wa Dodoma?

    Watanzania inabidi tuanze kufikiri. Hivi tuna wasomi wangapi nchi hii mpaka tunaruhusu mambo mengine yanayofanyika nchi hii kwa jina la hapa kazi tu?
  5. B

    JamiiForums Tanzania BAVICHA kufanya mkutano mkuu wa dharura Dodoma

    Nchi yetu nadhani tunasahau maana ya mipango. Tunaongea sana juu ya michakato lakini ukitazama sana hakuna michakato na mikakati ya kweli. Ni nini kinaanza ni madawati ama madarasa? Kuna madawati ambayo yako nje kwani hakuna madarasa! Why should this happen?????????
  6. B

    JamiiForums Tanzania Lowassa amuambia Magufuli: Huwezi pambana na matajiri, hawa ndio wanaoleta viwanda na ajira

    Tatizo watanzania wengi siyo wasomi ni wabishi tu. Mtu akitoa wazo ni kama anaongea na ukuta wa giza
  7. B

    JamiiForums Tanzania Nimrod Mkono:Nimechukuliwa mali zangu ila nashukuru, TRA wangeweza kunifunga

    Jamani hiyo mzee ana kampuni. Na akifanya kazi ya serikali inabidi alipwe ili aweze kulipa wafanyakazi, kula na kulipa kodi. Ka hakalipwa B saba atawezaje kulipa kodi ya B moja? Unawezaje kusema hakuna uhusiano kati ya deni na kodi? Serikali pia iwe inalipa madeni yake.Sometimes I doubt if we...
  8. B

    JamiiForums Tanzania The EastAfrican: Magufuli’s a dictator, How elites warp reality

    To Sophist and Rwere, Sidhani kama ninyi mnafuatia mazungumzo vizuri. Kinachosemwa na hitimisho la maandishi haya ni haya: Tupigane na ufisadi kweli kweli lakini hii ifanyike kwa haki na kwa kufuata sheria. Pia kutodharau democracy na kuheshimu sauti ya watu wote.
  9. B

    JamiiForums Tanzania VAT na TAX kwa Tanzania ni Sahihi

    Hapa naongelea efficiency na effectiveness badala ya kodi nyingi
  10. B

    JamiiForums Tanzania VAT na TAX kwa Tanzania ni Sahihi

    Pia tabia ya kuwaajiri wastaafu serikalini haina tija iwapo hatuiwekei sera. Wastaafu wanakuwa na faida kubwa iwapo tunawaajiri kama mentors (waonyesha njia) kwa vijana wanaoanza kazi ambao wanapoteza muda mwingi sana maofisini kabla hawajaelewa wanafanya nini. Kwa hi hii kuajiri wastaafu...
  11. B

    JamiiForums Tanzania VAT na TAX kwa Tanzania ni Sahihi

    We need to be more efficient. Hata wafanyakazi wa serikali wasio na tija ni wengi sana bado maofisini
  12. B

    JamiiForums Tanzania VAT na TAX kwa Tanzania ni Sahihi

    Mimi ninasikitishwa sana na haya: 1. Matumizi anbayo siyo muhimu kama kuweka wakuu lukuki wa mikoa na wilaya ambao wanakanyagana bila kazi ya kutosha. Mbona husemi mifano mizuri ya ulaya ktk jambo hili. 2. Magari makubwa sana ya kifahari kwa viongozi ambayo humeza mafuta mengi na kuchafua...
  13. B

    JamiiForums Tanzania Tanzania has started to build its own helicopters

    Ninaogopa kusikia kuwa uvumbuzi wa chopper unachukua muda mfupi kama vile kutengeneza toy. RIP watakaotest hizo chopper
  14. B

    JamiiForums Tanzania Anayejua Rais Magufuli anatupeleka wapi atuambie, naona kama tumepotea

    Yote hayo mazuri anayofanya Raisi anaweza kutenda kwa kufuata katiba. Afanye hivyo na watu wote watafurahi
  15. B

    JamiiForums Tanzania Gavana Prof. Ndulu: Benki wapo sahihi

    Mkiambiwa serikali hovyo mnamfunga mtu
Back
Top Bottom