Recent content by bups

  1. B

    Bunge Tulipuuza Kuchunguza Kupotea kwa Saanane, Tusipuuze Kuchunguza Kupotea kwa Azory na Kanguye

    Ngoja apogee mkeo ndio utajua kiki ni nini? Tunaongelea uhai wa watu sio kuku amepotea
  2. B

    Trilioni 1.5 zinawezekana zilitumika hivi

    Kwa mfumo wa accrual hili linawezekana
  3. B

    Kumbe Bombardier ni maumivu kwa Mtanzania kiasi hiki!? Bunge lagundua...

    Ndugu watanzania wa ngapi wanamudu panda ndege?
  4. B

    Hili la mifuko ya jamii linatosha kuing'oa CCM madarakani

    Jamani mnaongelea December Mimi July mwaka Jana so nimetimiza mwaka na miezi nahangaika tu hapo Ubungo plaza kiukweli hii kitu inatia uchungu kazi hatukuchagua kuacha tumeachisahwa miradi haina hela tunapigwa danadana hadi unasema viongozi wetu wanajali wao kushiba
  5. B

    Najitoa rasmi CCM, yanayoendelea huko ni aibu tupu

    Hahaa kweli bana
  6. B

    Dar: Polisi waua watu wawili wakamatwa, wamekamata risasi zaidi ya 162

    Na mwingine akakimbia na gari sijui walishuka hao wengine?
  7. B

    Sekta binafsi itolewe kwenye mifuko ya hifadhi ya jamii kama NSSF

    Kiukweli hii kitu imefifisha ndoto na mipango ya vijana wengi wanataka tukae kutafuta ajira hadi uzeeni. Mwaka umekatika sijapata hela na ni kuzungushwa tu so sad
  8. B

    Maswali ya alichokisema Roma! Inaonyesha hii ni movie ya kinajeria haina uhalisia

    Umewahi kupita toka mahaba beach hadi kambi ya jeshi?uliona vituo vingapi Vya police? Kilichopo hapo karibu na TAYOWA kina kufulu mlangoni ni mwaka sasa .Pili hebu tuombe Mungu na wewe utekwe japo kwa siku moja tuone utakavyotoka ukiwataja watekaji wako haswa unapokuwa umejua ni system sio...
  9. B

    Maswali tata juu ya msanii Roma na wenzake kutekwa!!

    Amesema maswali tata rejea kichwa cha somo
  10. B

    Utaratibu mpya wa kupata fao la kujitoa NSSF

    Ndugu usiende na Tumaini kubwa utaishia kulia. Mimi Nina miezi tisa sasa hata kunikubalia kufungua madai wamesema nisubiri hadi July utakuwa ni mwaka kamili. Na Mimi ni mja mzito nikaomba kama naweza kupata fao la uzazi nikaambiwa hustaili mana umeacha kuchangia miezi mingi. Kiukweli nimeumia...
Back
Top Bottom