Recent content by BungelaKatiba2014tz

  1. B

    Zitto Kabwe: Mkopo wa Benki ya Dunia kuboresha elimu, Serikali ililenga kuinufaisha CCM kwa kununua vyuo vilivyo chini ya chama hicho

    Katika Mahojiano na Mtangazaji wa Idhaa ya Kishwahili ya BBC Zuhura Yusus kuhusiana na Mkopo wa Benki ya Dunia , ZItto amesema ana ushahidi kuwa mkopo huo unakuja kunufaisha Vyuo vya FDC ambavyo ni mali ya CCM Ni kweli Vyuo hivi ni mali ya CCM?
  2. B

    Tujikumbushe Zitto alipompinga Lissu na kusema kuomba nchi inyimwe misaada ni uhayawani

    Woote, Zitto na Lissu sasa wamekuwa Mahayawani. Hkuna mwenye upeo mkubwa hapo, Wakati Lissu anabwanwaja Zitto alikuwa ana mianya ya kupiga madili, sasa imezibwa nye anabwabwaja. Woooote hao ni Mahayawani
  3. B

    Wazungu wana akili, wameweka mtego, wakifanikiwa hili la mimba mashuleni wanakuja kwenye lengo lao hasa, Ushoga!

    Zamani kila mwezi wanafunzi walikuwa wanakaguliwa na Matron wa Shule, anaegundulika kuwa nayo, off she go.
  4. B

    Nchi za Ulaya, Marekani na asia ziliendelea kiuchumi na kiteknolojia kutokana na kuwafuta kwenye mfumo wapinga maendeleo aina ya Zitto Kabwe

    ogopa sana mtu aliyezaliwa na mchawi. anayoyafanya Zitto hata siyashangai kabisaaaaa.
  5. B

    Joseph Selasini asema tatizo la CHADEMA ukiwa na mawazo tofauti unaitwa 'Snitch', Msaliti, Usalama, unatumika na mwisho, unataka kuhama

    Selasini aliyasema hayo jana baada ya kuhojiwa na Mwandishi wa Mwananchi aliyetaka kujua kuhusu tetesi kuwa anataka kutimkia CCM. Selasini alikuwa akihojiwa kuhusiana na kujiuzulu kwake kukaimu nafasi ya Mnadhimu Mkuu wa Kambi Rasmi ya Upinzani Bungeni. "Unajua Selasini amekaimu nafasi hiyo...
  6. B

    Ujumbe maalum wa tahadhari kwa Maaskofu na waumini wa KKKT

    Kwanini wengi walio kinyume na Mada hii ni BAVICHA badala ya KKKT wenyewe?
  7. B

    ACT-Wazalendo: Tishio la kufutwa, hatutarudi nyuma

    Kumekuwepo na madai ya watu Mitandaoni kuwa kwanini Msajili wa Vyama anawatuhumu wafuasi wa ACT-Wazalendo kuwa ni kosa kuchoma Bendera za CUF wakati CCM waliwahi kufanya hivyo. CCM walifanya hivyo kabla ya Sheria Mpya ya Vyama vya Siasa kutungwa. ACT-Wazlendo wamechoma juzi tu Sheria mpya...
  8. B

    Baada Ya Seif Kuhamia ACT-Wazalendo, Wameanza Kutembeza Bakuli, Nini Maana Yake

    wanakirusha roho CHADEMA, wanataka kuwa chama kikuu cha upinzani
  9. B

    David Silinde alilidanganya Bunge na umma kwa ujumla kuhusu soko la hisa la Dar es Salaam (DSE) kwa mwaka 2018

    Siasa ni mbaya sana. Wabunge wengi wamekuwa ni waongo waongo sana.
Back
Top Bottom