Halaiser
JF-Expert Member
- Apr 3, 2014
- 3,988
- 6,290
Kuna kitu ccm na serikali yake inatafuta kwa nguvu zote toka kwa Watz. Watakipata.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
Jaji mutungi kasahau akichokisomea kichwani kabakia na Elimu ya darasa la nne kama rafiki yake Lipumba kwa kifupi wote kwa sasa ni mbumbumbu hawajui watendalo bali wamejitoa fahamu ili waibe na kupora ruzuku ya CUF wanagawanaNajaribu kupata picha kwamba huyu Msajili pia ni Jaji..
Kama yupo hivi akiwa Msajili wa Vyama vya Siasa, vipi alivyokuwa huko Mahakamani kama Jaji..??
Offcourse mambo mengi sana akiwa kama Msajili inaonekana wazi kabisa kwamba amekuwa anaburuzwa na watawala..
Je huko Mahakamani hali ikoje alikopata kuhudumu kama nako alikuwa anaburuzika katika kutoa HAKI kama anavyoburuzwa hivi sasa?
Mungu epushia mbali.
hapa umekosea siyo kusudio la serikali ni kusudio la msajili wa vyama vya siasa usikurupuke
Usivyo na akili, Msajili wa Vyama vya Siasa anafanya kazi ya nani? Au kwa akili yako Serikali ni nini au ni nani? Punguani kweli wewehapa umekosea siyo kusudio la serikali ni kusudio la msajili wa vyama vya siasa usikurupuke
n
baada ya Maalim kuhamia ACT sasa fitna rasmi zimehamia huko, kwanza fitna inaoata hadhi ya kuitwa fitna ni lazima iwe na hila za kujificha, hii ni waziwazi kwamba sasa CDM itaoumzika kidogo chochochoko zinahamia ACT.
Ili tuedelee tunahitaji siasa safi, kwa mantiki hiyo watanzania tusahau maendeleo, tuna matatizo makubwa ya kisiasa kwa sasa.
Kwa hiyo ikibainika waliochoma bendela na kadi za CUF ni wanachama wa ACT... bhas itakua ni sababu tosha ya kuifutilia mbali act?
Sent from my iPhone using JamiiForums
Msajili sasa ni kama house boy wa Lipumba kila analotumwa na Lipumba anafavyaHatutakubali Msajili Kutumika na WAKOLONI WEUSI.
Hasira za hatma ya kukosa ruzuku akiwa mnufaika mpya mbadala wa maalimuJaji mutungi kasahau akichokisomea kichwani kabakia na Elimu ya darasa la nne kama rafiki yake Lipumba kwa kifupi wote kwa sasa ni mbumbumbu hawajui watendalo bali wamejitoa fahamu ili waibe na kupora ruzuku ya CUF wanagawana
Sina uccm wala uchadema,kwanza wapinzani waoga sana,waongo,ni rahisi kuwanunua kushinda hata juice ya azam.Usiariasi haupimwi na nyie CCM bali hupimwa na watanzania ambao wanagandamizwa na kuonewa na chama chenu!!
Hii nchi haijawahi kuongozwa na chama kingine chochote kile cha siasa, na kila rais toka CCM akija husema aliyemtangulia aliendesha nchi hovyo. Maana yake nini?
Mti hutambuliwa kwa matunda yake!!Sina uccm wala uchadema,kwanza wapinzani waoga sana,waongo,ni rahisi kuwanunua kushinda hata juice ya azam.
Sheria inayowafunga ACT ni ya mwaka.huuMbona mnataka kutufanya sisi majuha!? Hiyo sheria imetungwa mwaka gani kwa ufahamu wako?
Mkuu wakumbushe ata CCM tulichoma kadi za ACT-WAZALENDO apa KIGOMA NA MBEYAKwa hiyo ikibainika waliochoma bendela na kadi za CUF ni wanachama wa ACT... bhas itakua ni sababu tosha ya kuifutilia mbali act?
Sent from my iPhone using JamiiForums
Kama na wewe umesoma critical thinking basi elimu imekufa kabisaNimesoma Huo utetezi, Kwa waliopitia ka module ka critical thinking watakubaliana nami Jamaa kajaza PUMBA tupu.Watu wanachoma kadi na bendera we unaleta story za chama chetu kinapigania wakulima wa korosho mara mbazi mmmmmmh. Hizi ni Illogical arguments.
We think too small, like the frog at the bottom of the well. He thinks the sky is only as big as the top of the well. If he surfaced, he would have an entirely different view.