Recent content by bundikalia

  1. B

    JANUARY MAKAMBA,Kauli yako kwa tozo ya Tsh.1000/=hauko...

    Hivi huyu jamaa alivyoitwa jina na spika kupitisha bajeti alisema ndio au hapana? Umeme ulikatika kwetu sikuweza kujua alikataa au alikubali
  2. B

    malavidavi hadi kwenye dala dala

    Mkuu tupia picha ya hilo tukio hapa tuone
  3. B

    Jeshi la polisi, viongozi wenye fikra dhaifu Tz - Jifunzeni toka Afrika Kusini

    Mkuu safi sana! Umesema kweli tena kweli tupu.
  4. B

    Dodoma: Mbunge 'Sugu' afikishwa Mahakamani na Kushinda Kesi ya Kumuita Waziri Mkuu 'Mpumbavu'

    Asante kwa taarifa nzuri. LISU ukisoma hapa, sina cha kukupa ila nakuombea kwa Mungu uwe na maisha marefu, afya tele, utusaidie kuvuka kwenye hili bonde la uvuli wa mauti
  5. B

    Membe: Wasiomtakia mema Rais Kikwete wananuna ujio wa Rais Obama!

    Hebu funguka kaka, sijakusoma. Elezea vizuri ikoje hii kitu
  6. B

    Chuo cha Mtakatifu Agostino ni majanga

    Sio SAUT tu, udsm, mzumbe watu wanaficha vitabu kwenye namba tofauti yeye mwenyewe ndio anajua kikowapi. Wengine wanachana zile kurasa zenye topic husika. Vyuo noma
  7. B

    DPP kufuta kesi ya Iddi Simba ni dhihaka kwa raia

    Ni uamuzi wa ajabu. Hivi ametoa sababu gani?
  8. B

    Waliounga mkono Pinda kuitwa mpumbavu waondolewe Jamii Forum

    Biblia imeandika wanawake 5 wapumbavu walichukua taa zao bila.... Kwa akili zako za bata hilo ni tusi? As jf member ulitakiwa uanze kwa kusema nn maana ya tusi, nini maana ya mpumbavu. Usikurupuke, kawaambie wakupange upya
  9. B

    Hodi jf!

    Mimi ni mpya humu, nawasalimu wote. Naomba tuwe pamoja
Back
Top Bottom