Asante kwa taarifa nzuri. LISU ukisoma hapa, sina cha kukupa ila nakuombea kwa Mungu uwe na maisha marefu, afya tele, utusaidie kuvuka kwenye hili bonde la uvuli wa mauti
Sio SAUT tu, udsm, mzumbe watu wanaficha vitabu kwenye namba tofauti yeye mwenyewe ndio anajua kikowapi. Wengine wanachana zile kurasa zenye topic husika. Vyuo noma
Biblia imeandika wanawake 5 wapumbavu walichukua taa zao bila.... Kwa akili zako za bata hilo ni tusi? As jf member ulitakiwa uanze kwa kusema nn maana ya tusi, nini maana ya mpumbavu. Usikurupuke, kawaambie wakupange upya
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.