Wana JF naomba mniambia kilimo cha matikiti maji kwa heka moja unaweza ukavuna kiasi gani? Pia naomba kuuliza heka ya matikiti mauzo yake yanaweza kuwa kiasi gani? Msaada jamani.
Hivi mbegu nzuri za vitunguu ni zipi nitajie jina lake. Pia heka moja ya vitunguu hutoa gunia ngapi? Na kwa mkoa wa mara na mwanza gunia la vitunguu huuzwa kwa bei gani?
Tanzania.....tanzania tanzania nakupenda kwa moyo wote..... ila siwapendi viongozi wanao kudharirisha. Ikulu ni mahala pakuheshimiwa sana lakini kwasasa nipango la walanguzi hayo ni maneno gani Ikulu imetuandia ss wenye nchi tuyasome. Jiheshimuni mura.
NMB pazuri kuna allowance kibao tafuteni tu ila nao wezi tu Bank ndipo sehemu yenye hela lakini wanalipa watumishi laki tano take home inauma sana bota uwe mwalimu tena unakuwa huru. Unalipwa laki tano bado haujala short. Poleni wafanyakazi NMB badilini fani.
Naomba sana nifanikiwe kupata ajira kitaa kinachosha sehemu yenyewe bunda pana boa balaa kilimo hakuna viwanda hakuna raia ni wengi hadi tunazidi kazi zilizopo
Biashara matangazo hao vijana wameanza kujua namna yakufanya biashara na hiyo nikutokana na wingi wa boda boda mji mdogo wa bunda wilaya ya kazi. Pia ushauri wangu boda boda punguzeni mwendo kasi pia vaeni vifaa vya vinavyo takiwa kwa usalama kumbuka boda boda haina bodi ukipata ajali hakuna...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.