Wadau nimekutana na hili jambo naomba msaada kujua kama ni utapeli? au ujasiriamali. Kupata pesa kwenye mitandao wasomaji huwa lazima kubofya matangazo ya GooGle. Nimekutana na Blogu moja inaelekeza watu kubofya matangazo ya Google kwa udanganyifu kuwa ni habari, au ni picha. Nakuwekea sampuli...
Naomba kukubaliana na kila mmoja wenu wakuu. Na hasa wewe ndugu Bukwabi. Njia nzuri ni kurudia mtindo wa Kambarage, ingawa mazingira yamebadilika kiasi fulani kadri ambavyo nimesikia. Wakati ule wanasema fedha nyingi sana ilitumika kujenga mtandao wa kitengo cha intelligence. Ofisa wa Usalama...
Hawa wazungu wanaojiita Serengeti Watch nadhani wana ajenda ya kuhujumu uchumi wa Tanzania. Kiiila kitu kinachopendekezwa kurahisisha usafiri kati ya Mwanza na Arusha hawataki.
Mimi napendekeza tuwapuuze Serengeti Watch kwa sababu nadhani wanapinga barabara na reli kati ya Arusha na Mwanza...
DU! Hii discussion nimeipenda sana kwa kweli.
Nakubaliana nawe mkuu. Lugha ya during the past few year ni lugha ya ulaghai.... Wanyooshe maelezo hawa! Na nitashangaa kama janaa wa TRA hawajaona huu uzi maana huu ni uzi wao huu.... Kodi, kodi, kodi....watulipe kosi zetu tufutulie kiwanda cha...
mmmm....una maslahi na HTT wewe! haya majibu ya mkatomkato siyo bure haya. au ndo wewe umepewa hizo bilioni nini?! kata kidogo bas na sie tupunguze njaa.
haha ha ha.... kuna mburula mmoja nafikiri ni modi humu Jf alibadili heading yangu mkuu. figure niliyokuwa nimeweka ni 220,000,000,000/- wapewe 11 + 11 tuone kama hawakuleta jibu 1111
Hiyo ni Venereal Watts. Inatibiwa kwa kuiunguza na gesi ya hydrogen. kama ikisambaa itamsumbua sana wakati wa kuinguza na hiyo gesi. Mpe pole sana alimkubalia mtu mgonjwa kuingia pale sehemu-sehemu.
Excellent! Vodacom Tanzania ni kampuni Tanzu ya Vodafone kupitia tawi lake lililopo Afrika ya kusini--yaani Vodafone ambayo makao yake makuu yapo London, Uingereza. Kama nimekuelewa vizuri hii Kampuni HTT yenye kuuziwa minara Tanzania ambayo ndiyo huyu Vodacom kaiuzia minara ina Makao yake makuu...
Hii nimeipenda. Hapo sasa swali la kujiuliza hizo "second and third generation infrustrure" walizojenga kuleta gharama ya "over 1 billion dollars" ni zipi hasa? Wamejenga Kariba Dam Tanzania? Au wamepewa tenda ya ku-expand Uwanja wa Ndege JNIA? Hii kauli nina mashaka sana nayo kwa kweli...
Huyu Mwandishi wa JamiiForum aliyehariri hii post Kenge kweli huyu. Dola Bilion Moja zinageukaje kuwa Shilingi milioni 220? Hawa waandishi wa Tanzania kenge kweli hawa....
habari yenyewe ni hii: Vodacom has invested over $1 billion in the country in building its second and third generation...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.