Recent content by bullshark

  1. B

    Kuna ukweli wowote kuhusu uwepo wa samaki mtu (Mermaid), Dragons na Vampires?

    ... Nguva(mermaid), dragon, vampire, bigfoot... They are just imagery creatures... Hakuna viumbe hivyo ndugu.
  2. B

    Nini tofauti kati ya Maruhani, Mapepo, Mashetani na Majini?

    ... Kwa nijuavyo mimi Majini ni kwenye maji, yaani bahari, maziwa, mito, mabwawa nk. Huko ndiko majini ambapo samaki na viumbe wengine huishi. Mapepo ni wingi wa upepo. Kuna pepo za kusi na kaskazi Samahani lakini... Hii ni kwa uelewa wangu.
  3. B

    Wakati Rais Magufuli anasema "hela zipo" Tanzania yaiomba Benki ya Dunia kusaidia ujenzi wa SGR

    .. Hivi EPOCA imekufa?! Lets me remind you... Tunaweza kukosoa, kushauri... Etc. But not kutukana au kukashifu. That is an offence. Ndugu wana JF tuwe wastaarabu na wazalendo. Nawapenda. Nasubiri matusi!!
  4. B

    Imani za ajabu utotoni

    Hii ya kereng'ende (dragon fly) imenikumbusha mbaaali sana. Enzi hizo tiliamini kuwa jivu la mdudu huyo mjanja sana kwa kuruka mielekeo tofauti, ukilipaka kwenye fimbo na ukamchapa nayo kabint ukapendako, basi imemaliza mchezo. Basi bwana... Baada ya jitihada zangu za siku kadhaa nilifanikiwa...
  5. B

    January Makamba: Mzee anieleza siri juu ya mzee Nnauye, mzazi wa Nape

    Natabiri... Natabiri.. Naona nyota ya kimondo ikianguka toka mashariki na kuugua kbs na jivu lake kutawanyika juu ya nchi. Naye mfalme toka ncha ya kaskazini atamkata kichwa mfalme kijana ajiinuae dhidi yake. Kizazi chao katika medani ya siasa kitaangamia. Nao watasahailika kbs. Na mbwa...
  6. B

    January Makamba: Mzee anieleza siri juu ya mzee Nnauye, mzazi wa Nape

    Auaye kwa upanga, atakufa kwa jambia (Bullshark 3:11)
  7. B

    January Makamba: Mzee anieleza siri juu ya mzee Nnauye, mzazi wa Nape

    .... Auaye kwanza I upanga, atakufa kwa jambia... (Bullshark 3:11)
  8. B

    Imani za ajabu utotoni

    Kutema mate kiganjani na kuyachapa kwa kidole pale unapotafuta kitu kilichopotea. Kule mate yatakapoelekea basi kitu chako kipo upande huo... Watoto wa siku hizi hawajui hiyo.
  9. B

    Nguvu za Kijeshi Africa 2018: Tanzania yapitwa na Kenya na Uganda

    ... Aah wapi. Watuguse uone... Mambo ya military ni siri sana. Ila lets me assure you that.. TZ tupo vizuri kuliko ujuavyo.
  10. B

    Mume adaiwa kumuua mke kwa kuzaa watoto wa kike

    Dunia ina maajabu... Mimi nilidhani kuwa amazaa nyumbu wa kike... Kumbe ni mtoto wa kike wa binadamu Huyu jamaa naona kwa vile majaji wapya washaapishwa... He will soon ba hanged up.
  11. B

    Idadi ya wanaoomba kuuza figo zao Muhimbili yaongezeka

    .. Wakianza kununua korodani nijulisheni.
  12. B

    Ngozi ya punda ina thamani kubwa China

    Mbayuwayu wapo ndugu. Ila naomba usije ukajaribu hiyo supu ya viota vyao Nytemare.
  13. B

    Ngozi ya punda ina thamani kubwa China

    ... Ndo mana nikasema mapema ndugu yangu... Vingine kwa huku Africa vyako vya kichina huwezi hata kufikiri. Mfano damu ya nyoka aina ya cobra(swila), pumbu za nguruwe, minyoo ya kukaanga.,...nk. Let me tell you one thing. Waafrika hasa wa bongo, tupo very selective kwenye chakula. Hata hao...
  14. B

    Ngozi ya punda ina thamani kubwa China

    ... Kabisa. Wachina wanasema hivi.:..Tunakula chochote kinachotembea isipokuwa gari, chochote kinachoruka isipokuwa ndege(aeroplane), chochote kinachotambaa isipokuwa treni.
Back
Top Bottom