... Kwa nijuavyo mimi
Majini ni kwenye maji, yaani bahari, maziwa, mito, mabwawa nk. Huko ndiko majini ambapo samaki na viumbe wengine huishi.
Mapepo ni wingi wa upepo. Kuna pepo za kusi na kaskazi
Samahani lakini... Hii ni kwa uelewa wangu.
.. Hivi EPOCA imekufa?!
Lets me remind you... Tunaweza kukosoa, kushauri... Etc. But not kutukana au kukashifu. That is an offence. Ndugu wana JF tuwe wastaarabu na wazalendo. Nawapenda. Nasubiri matusi!!
Hii ya kereng'ende (dragon fly) imenikumbusha mbaaali sana. Enzi hizo tiliamini kuwa jivu la mdudu huyo mjanja sana kwa kuruka mielekeo tofauti, ukilipaka kwenye fimbo na ukamchapa nayo kabint ukapendako, basi imemaliza mchezo.
Basi bwana... Baada ya jitihada zangu za siku kadhaa nilifanikiwa...
Natabiri... Natabiri.. Naona nyota ya kimondo ikianguka toka mashariki na kuugua kbs na jivu lake kutawanyika juu ya nchi. Naye mfalme toka ncha ya kaskazini atamkata kichwa mfalme kijana ajiinuae dhidi yake. Kizazi chao katika medani ya siasa kitaangamia. Nao watasahailika kbs. Na mbwa...
Kutema mate kiganjani na kuyachapa kwa kidole pale unapotafuta kitu kilichopotea. Kule mate yatakapoelekea basi kitu chako kipo upande huo... Watoto wa siku hizi hawajui hiyo.
Dunia ina maajabu... Mimi nilidhani kuwa amazaa nyumbu wa kike... Kumbe ni mtoto wa kike wa binadamu
Huyu jamaa naona kwa vile majaji wapya washaapishwa... He will soon ba hanged up.
... Ndo mana nikasema mapema ndugu yangu... Vingine kwa huku Africa vyako vya kichina huwezi hata kufikiri. Mfano damu ya nyoka aina ya cobra(swila), pumbu za nguruwe, minyoo ya kukaanga.,...nk. Let me tell you one thing. Waafrika hasa wa bongo, tupo very selective kwenye chakula. Hata hao...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.