Nini tofauti kati ya Maruhani, Mapepo, Mashetani na Majini?

wa stendi

JF-Expert Member
Jul 7, 2016
24,688
26,795
Salaam wakuu poleni na harakati,

Ni mda kiasi sikuwa hapa jukwaani kutokana na kazi za hapa na pale ila namshukuru Mungu nimerudi salama huko nilikokuwa, kwanza niwape poleni kwa misukosuko ya hapa na pale pamoja na Paschal Mayalla member mwenzetu sijui anaendeleaje mpaka sasa maana mara ya mwisho nilisoma uzi mmoja kuwa amepata ajali.

Twende kwenye mada hivi ni nini tofauti ya majini na mapepo maana huwa mara nyingine waweza kumwona kichaa akasikia watu wanasema yule ana mapepo au yule ana majini hivi hawa viumbe ni sawa kitengo tofauti au ni tofauti kitengo ni wasa.
 
pitia hapa..

ushindwe kuchanganyikiwa mwenyewe!

Majini au mapepo ni viumbe ambavyo havionekani kwa macho, ni viumbe kama malaika isipokuwa majini na mapepo yalifukuzwa mbinguni pamoja na shetani baada ya kuasi, na yalitupwa duniani yakisubiri siku ya mwisho ya hukumu.

Shetani na majini, wanajua kabisa kuwa jehanum ya moto ipo kwa ajili yao, ndiyo maana wanafanya kila mbinu wasiingie peke yao huko jehanum, shetani ni mwongo, laghai anawatumia sana wachawi, waganga wa kienyeji, wasoma nyota kupandikiza majini, kuiba nyota yako ya mafanikio, kuchukua watu misukule nk.

Kuna aina nyingi za majini baadhi yake ni kama:-

1) Murafari - hili ni jini linalozuia mafanikio ya kupata fedha, mafanikio ya elimu nk.
2) Latifu - hili jini linaloleta ufukara, mateso, hata ukipata pesa matumizi yake yanakuwa ni hovyo
3) Jahari - Jini anayetumiwa kuiba mali na kuzuia biashara kustawi
4) Hasinani - jini hili ni la fujo, ulevi wa pombe, bangi na dawa za kulevya
5) Jube - jini hili linasababisha utasa
6) Subiani - jini la ajali, linasababisha wanawake kutokupata siku zao, na kunyonya damu za akina mama siku zao za hedhi ambapo wanapata maumivu makali sana.
7) Sumil - jini hili huangamiza mimba changa
8) Waidadat - jini hili husababisha wanaume kuvaa hereni kusuka nywele na kutoga masikio.
9) Alibadiri - jini la kifo, likikupata kifo hutokea wakati wowote.
10) Anzura - Linawazuia vijana wa kike na kiume kuolewa/kuoa
11) Maimuna - linawakamata wanaume wenye ndoa zao hadi ndoa inavunjika
12) Makata - linasababisha vifo vya mfululizo kwenye familia
13) Faziur - jini la maandishi. Unaletewa barua ukiisoma tayari umelikwaa
14)Subha - jini hili linasababisha mtu kuwa na kiburi sana na kujiinua.
15) Maulan - jini linalofanya watu kuwa kichaa, au mtu ananuka wakati wowote
16) Al-maul - jini hili linamfanya mtu kuwa ombaomba
17) Zuhura au Zohari - Jini la fujo
18) Araba - Jini hili linafanya mtu apende sana ubani
19) Farkh - jini hili linatumwa hasa kwa wakristo kuangalia kama ana kinga (Wokovu)
20) Baradi - jini hili likikupata basi ndoa yako ni lazima itavunjika.
21) Shamsu - jini hili huvaa umbile la binadamu kwa sura yoyote.(sasa hivi mitaani majini haya yapo mengi sana)
22) Abuni - jini wa hasira
23) Kaimu - jini la kutambua nyota za watu
24) Tajuruni - jini la utajiri wa kichawi - ni lazima utoe kafara ya mwanao, mkeo au kufanya tendo la ndoa na mama yako mzazi
25) Al-taliki - jini hili linapoteza watu katika mazingira ya kutatanisha
26) Naluju - linasimamia lugha
27) Janatusi - linatumwa alfajiri kabla ya adhana kuleta usingizi kwa Wakristo wasifanye sala
28) Riyaron - jini hili linamfanya mtu afanye kila kazi peke yake
29) Zaitun - Jini hili linasababisha wasichana kuwa na maringo
30) Ruyati - jini linalosimamia ndoto mbaya
31) Al-rahabu - jini linalosababisha hitilafu ya umeme
32) Hadharaji - jini hili linafanya kazi ya kukata kichwa cha mtu ili wapate damu
33) Anazihaji - jini hili ndilo linachukua roho yako ukifa kwenye dhambi
34) Nghruk - linasababisha maafa
35)Munkara - jini la makaburini
36) Takadhuru - jini linaloleta mali za masharti.
37) Rabindi - jini la Waislamu pekee yao ili wafanye fujo.
38) Balishebe - jini la magonjwa yasiyopona
39) Sajiduri - jini linalokusaidia kupata pesa, kisha zinapotea kwa haraka
40) Rumiran - linasimamia uwongo
41) Lairlihabi - linasimamia hofu, kutojiamini na kukata tamaa
42) Rohani - jini la mateso na fujo
43) Betrah - jini hili linasimamia mapambo, kwa mwanamke huwa anajipamba isivyo kawaida, halikadhalika mwanaume
44)Hanshari - linatumiwa sana na waarabu kulinda maduka yao
45) Walihuni - linazunguka nyumba likilinda biashara
46) Kurasih - jini la kupoteza fahamu
47) Tarik - huondoa amani nyumbani, kazini. Linafanya watu wasielewane
48) Atha - mungu wa kiarabu wa kuabudu sanamu
49) Munakir - linapoteza watu kimiujiza
50) Malik - jini la kumiliki biashara
51) Ghatabu - jini la kulainisha macho wa wanawake. Wanakuwa wanarembua
52) Khatuh - jini la uchawi wa kuchukua kucha, nywele na nguo za ndani
53) Fanken - jini hili linasimamia mtu kuzunguza kiswahili cha pwani
54) Zamzam - jini la marashi na kusimamia mikataba ya imani. Mkristo anaposilimishwa basi hutupiwa jini hili kupofushwa akili yake.
55) Mukitala - linatumwa kuangalia kinga za watu
56) Laufili - jini la uvivu
57) Al-khah - linakula damu iliyoganda
58 Abasaa - jini la hasira wivu na jeuri
59) Aherumi - jini la homa za mara kwa mara
60) Muba - jini la maradhi ya kuambikiza
61) Kamariram - jini hili linatoa kinga kwa majambazi
62) Zubiran - jini la uongo na uzushi
63) Abadi - Jini la wizi, umalaya na ujambazi
64) Muzamili- jini la matambiko ya kiarabu
65) Ruhadi - jini la wizi, umalaya na umasikini
66 Usuran - jini la wizi, umalaya, ujambazi na umaskini
67)Tubuyali - jini hili linamfanya mtu kuiba vitu vya ndani ya nyumba. Haibi nje ya nyumba
68) Zirach - jini la wizi, umalaya, ujambazi na umaskini
69) Ashuran - jini la utasa na maradhi ya akina mama

Kinga ya majini haya ni nyepesi ni KUOKOKA na kusimama katika neno la Mungu. Kama unayo dalili yoyote iliyosababishwa na majini hayo hapo juu na umeokoka, taja jina la hilo jini, ni lazima litaitika, kisha liwashie moto.

Kama hujaokoka usiyarushie mawe au moto yatakuumiza. Mwuone kiongozi yeyote wa kanisa akuongoze sala ya toba, kisha anza kuwasha moto, hakika yatakimbia na kuacha biashara, kazi, ndoa, na watoto wako huru.

kwa hisani ya
MaxShimba post ya mwaka 2011.

 
Utofauti ni lugha tu,Jini ni neno lenye asili ya kiarabu na lugha ya kiswahili limekuja baada ya kutohoa kutoka lugha ya kiarabu.
Kiswahili ni Pepo.
Pepo/Jini ni malaika walioasi mbinguni na wako wanasubiri hukumu ya milele mwisho wa dunia.Isaya 14:1_.
Note:Hakuna jini/pepo mwema wote ni waovu na wanasubiri hukumu ,na mtu atakayeshirikiana na jini kwa namna yeyote basi makao yake naye yatakuwa jehanamu
 
pitia hapa..

ushindwe kuchanganyikiwa mwenyewe!

Majini au mapepo ni viumbe ambavyo havionekani kwa macho, ni viumbe kama malaika isipokuwa majini na mapepo yalifukuzwa mbinguni pamoja na shetani baada ya kuasi, na yalitupwa duniani yakisubiri siku ya mwisho ya hukumu.

Shetani na majini, wanajua kabisa kuwa jehanum ya moto ipo kwa ajili yao, ndiyo maana wanafanya kila mbinu wasiingie peke yao huko jehanum, shetani ni mwongo, laghai anawatumia sana wachawi, waganga wa kienyeji, wasoma nyota kupandikiza majini, kuiba nyota yako ya mafanikio, kuchukua watu misukule nk.

Kuna aina nyingi za majini baadhi yake ni kama:-

1) Murafari - hili ni jini linalozuia mafanikio ya kupata fedha, mafanikio ya elimu nk.
2) Latifu - hili jini linaloleta ufukara, mateso, hata ukipata pesa matumizi yake yanakuwa ni hovyo
3) Jahari - Jini anayetumiwa kuiba mali na kuzuia biashara kustawi
4) Hasinani - jini hili ni la fujo, ulevi wa pombe, bangi na dawa za kulevya
5) Jube - jini hili linasababisha utasa
6) Subiani - jini la ajali, linasababisha wanawake kutokupata siku zao, na kunyonya damu za akina mama siku zao za hedhi ambapo wanapata maumivu makali sana.
7) Sumil - jini hili huangamiza mimba changa
8) Waidadat - jini hili husababisha wanaume kuvaa hereni kusuka nywele na kutoga masikio.
9) Alibadiri - jini la kifo, likikupata kifo hutokea wakati wowote.
10) Anzura - Linawazuia vijana wa kike na kiume kuolewa/kuoa
11) Maimuna - linawakamata wanaume wenye ndoa zao hadi ndoa inavunjika
12) Makata - linasababisha vifo vya mfululizo kwenye familia
13) Faziur - jini la maandishi. Unaletewa barua ukiisoma tayari umelikwaa
14)Subha - jini hili linasababisha mtu kuwa na kiburi sana na kujiinua.
15) Maulan - jini linalofanya watu kuwa kichaa, au mtu ananuka wakati wowote
16) Al-maul - jini hili linamfanya mtu kuwa ombaomba
17) Zuhura au Zohari - Jini la fujo
18) Araba - Jini hili linafanya mtu apende sana ubani
19) Farkh - jini hili linatumwa hasa kwa wakristo kuangalia kama ana kinga (Wokovu)
20) Baradi - jini hili likikupata basi ndoa yako ni lazima itavunjika.
21) Shamsu - jini hili huvaa umbile la binadamu kwa sura yoyote.(sasa hivi mitaani majini haya yapo mengi sana)
22) Abuni - jini wa hasira
23) Kaimu - jini la kutambua nyota za watu
24) Tajuruni - jini la utajiri wa kichawi - ni lazima utoe kafara ya mwanao, mkeo au kufanya tendo la ndoa na mama yako mzazi
25) Al-taliki - jini hili linapoteza watu katika mazingira ya kutatanisha
26) Naluju - linasimamia lugha
27) Janatusi - linatumwa alfajiri kabla ya adhana kuleta usingizi kwa Wakristo wasifanye sala
28) Riyaron - jini hili linamfanya mtu afanye kila kazi peke yake
29) Zaitun - Jini hili linasababisha wasichana kuwa na maringo
30) Ruyati - jini linalosimamia ndoto mbaya
31) Al-rahabu - jini linalosababisha hitilafu ya umeme
32) Hadharaji - jini hili linafanya kazi ya kukata kichwa cha mtu ili wapate damu
33) Anazihaji - jini hili ndilo linachukua roho yako ukifa kwenye dhambi
34) Nghruk - linasababisha maafa
35)Munkara - jini la makaburini
36) Takadhuru - jini linaloleta mali za masharti.
37) Rabindi - jini la Waislamu pekee yao ili wafanye fujo.
38) Balishebe - jini la magonjwa yasiyopona
39) Sajiduri - jini linalokusaidia kupata pesa, kisha zinapotea kwa haraka
40) Rumiran - linasimamia uwongo
41) Lairlihabi - linasimamia hofu, kutojiamini na kukata tamaa
42) Rohani - jini la mateso na fujo
43) Betrah - jini hili linasimamia mapambo, kwa mwanamke huwa anajipamba isivyo kawaida, halikadhalika mwanaume
44)Hanshari - linatumiwa sana na waarabu kulinda maduka yao
45) Walihuni - linazunguka nyumba likilinda biashara
46) Kurasih - jini la kupoteza fahamu
47) Tarik - huondoa amani nyumbani, kazini. Linafanya watu wasielewane
48) Atha - mungu wa kiarabu wa kuabudu sanamu
49) Munakir - linapoteza watu kimiujiza
50) Malik - jini la kumiliki biashara
51) Ghatabu - jini la kulainisha macho wa wanawake. Wanakuwa wanarembua
52) Khatuh - jini la uchawi wa kuchukua kucha, nywele na nguo za ndani
53) Fanken - jini hili linasimamia mtu kuzunguza kiswahili cha pwani
54) Zamzam - jini la marashi na kusimamia mikataba ya imani. Mkristo anaposilimishwa basi hutupiwa jini hili kupofushwa akili yake.
55) Mukitala - linatumwa kuangalia kinga za watu
56) Laufili - jini la uvivu
57) Al-khah - linakula damu iliyoganda
58 Abasaa - jini la hasira wivu na jeuri
59) Aherumi - jini la homa za mara kwa mara
60) Muba - jini la maradhi ya kuambikiza
61) Kamariram - jini hili linatoa kinga kwa majambazi
62) Zubiran - jini la uongo na uzushi
63) Abadi - Jini la wizi, umalaya na ujambazi
64) Muzamili- jini la matambiko ya kiarabu
65) Ruhadi - jini la wizi, umalaya na umasikini
66 Usuran - jini la wizi, umalaya, ujambazi na umaskini
67)Tubuyali - jini hili linamfanya mtu kuiba vitu vya ndani ya nyumba. Haibi nje ya nyumba
68) Zirach - jini la wizi, umalaya, ujambazi na umaskini
69) Ashuran - jini la utasa na maradhi ya akina mama

Kinga ya majini haya ni nyepesi ni KUOKOKA na kusimama katika neno la Mungu. Kama unayo dalili yoyote iliyosababishwa na majini hayo hapo juu na umeokoka, taja jina la hilo jini, ni lazima litaitika, kisha liwashie moto.

Kama hujaokoka usiyarushie mawe au moto yatakuumiza. Mwuone kiongozi yeyote wa kanisa akuongoze sala ya toba, kisha anza kuwasha moto, hakika yatakimbia na kuacha biashara, kazi, ndoa, na watoto wako huru.

kwa hisani ya
MaxShimba post ya mwaka 2011.

Kwa hiyo mkuu unataka kuniambia jini na pepo ni hilo hilo!!
 
pitia hapa..

ushindwe kuchanganyikiwa mwenyewe!

Majini au mapepo ni viumbe ambavyo havionekani kwa macho, ni viumbe kama malaika isipokuwa majini na mapepo yalifukuzwa mbinguni pamoja na shetani baada ya kuasi, na yalitupwa duniani yakisubiri siku ya mwisho ya hukumu.

Shetani na majini, wanajua kabisa kuwa jehanum ya moto ipo kwa ajili yao, ndiyo maana wanafanya kila mbinu wasiingie peke yao huko jehanum, shetani ni mwongo, laghai anawatumia sana wachawi, waganga wa kienyeji, wasoma nyota kupandikiza majini, kuiba nyota yako ya mafanikio, kuchukua watu misukule nk.

Kuna aina nyingi za majini baadhi yake ni kama:-

1) Murafari - hili ni jini linalozuia mafanikio ya kupata fedha, mafanikio ya elimu nk.
2) Latifu - hili jini linaloleta ufukara, mateso, hata ukipata pesa matumizi yake yanakuwa ni hovyo
3) Jahari - Jini anayetumiwa kuiba mali na kuzuia biashara kustawi
4) Hasinani - jini hili ni la fujo, ulevi wa pombe, bangi na dawa za kulevya
5) Jube - jini hili linasababisha utasa
6) Subiani - jini la ajali, linasababisha wanawake kutokupata siku zao, na kunyonya damu za akina mama siku zao za hedhi ambapo wanapata maumivu makali sana.
7) Sumil - jini hili huangamiza mimba changa
8) Waidadat - jini hili husababisha wanaume kuvaa hereni kusuka nywele na kutoga masikio.
9) Alibadiri - jini la kifo, likikupata kifo hutokea wakati wowote.
10) Anzura - Linawazuia vijana wa kike na kiume kuolewa/kuoa
11) Maimuna - linawakamata wanaume wenye ndoa zao hadi ndoa inavunjika
12) Makata - linasababisha vifo vya mfululizo kwenye familia
13) Faziur - jini la maandishi. Unaletewa barua ukiisoma tayari umelikwaa
14)Subha - jini hili linasababisha mtu kuwa na kiburi sana na kujiinua.
15) Maulan - jini linalofanya watu kuwa kichaa, au mtu ananuka wakati wowote
16) Al-maul - jini hili linamfanya mtu kuwa ombaomba
17) Zuhura au Zohari - Jini la fujo
18) Araba - Jini hili linafanya mtu apende sana ubani
19) Farkh - jini hili linatumwa hasa kwa wakristo kuangalia kama ana kinga (Wokovu)
20) Baradi - jini hili likikupata basi ndoa yako ni lazima itavunjika.
21) Shamsu - jini hili huvaa umbile la binadamu kwa sura yoyote.(sasa hivi mitaani majini haya yapo mengi sana)
22) Abuni - jini wa hasira
23) Kaimu - jini la kutambua nyota za watu
24) Tajuruni - jini la utajiri wa kichawi - ni lazima utoe kafara ya mwanao, mkeo au kufanya tendo la ndoa na mama yako mzazi
25) Al-taliki - jini hili linapoteza watu katika mazingira ya kutatanisha
26) Naluju - linasimamia lugha
27) Janatusi - linatumwa alfajiri kabla ya adhana kuleta usingizi kwa Wakristo wasifanye sala
28) Riyaron - jini hili linamfanya mtu afanye kila kazi peke yake
29) Zaitun - Jini hili linasababisha wasichana kuwa na maringo
30) Ruyati - jini linalosimamia ndoto mbaya
31) Al-rahabu - jini linalosababisha hitilafu ya umeme
32) Hadharaji - jini hili linafanya kazi ya kukata kichwa cha mtu ili wapate damu
33) Anazihaji - jini hili ndilo linachukua roho yako ukifa kwenye dhambi
34) Nghruk - linasababisha maafa
35)Munkara - jini la makaburini
36) Takadhuru - jini linaloleta mali za masharti.
37) Rabindi - jini la Waislamu pekee yao ili wafanye fujo.
38) Balishebe - jini la magonjwa yasiyopona
39) Sajiduri - jini linalokusaidia kupata pesa, kisha zinapotea kwa haraka
40) Rumiran - linasimamia uwongo
41) Lairlihabi - linasimamia hofu, kutojiamini na kukata tamaa
42) Rohani - jini la mateso na fujo
43) Betrah - jini hili linasimamia mapambo, kwa mwanamke huwa anajipamba isivyo kawaida, halikadhalika mwanaume
44)Hanshari - linatumiwa sana na waarabu kulinda maduka yao
45) Walihuni - linazunguka nyumba likilinda biashara
46) Kurasih - jini la kupoteza fahamu
47) Tarik - huondoa amani nyumbani, kazini. Linafanya watu wasielewane
48) Atha - mungu wa kiarabu wa kuabudu sanamu
49) Munakir - linapoteza watu kimiujiza
50) Malik - jini la kumiliki biashara
51) Ghatabu - jini la kulainisha macho wa wanawake. Wanakuwa wanarembua
52) Khatuh - jini la uchawi wa kuchukua kucha, nywele na nguo za ndani
53) Fanken - jini hili linasimamia mtu kuzunguza kiswahili cha pwani
54) Zamzam - jini la marashi na kusimamia mikataba ya imani. Mkristo anaposilimishwa basi hutupiwa jini hili kupofushwa akili yake.
55) Mukitala - linatumwa kuangalia kinga za watu
56) Laufili - jini la uvivu
57) Al-khah - linakula damu iliyoganda
58 Abasaa - jini la hasira wivu na jeuri
59) Aherumi - jini la homa za mara kwa mara
60) Muba - jini la maradhi ya kuambikiza
61) Kamariram - jini hili linatoa kinga kwa majambazi
62) Zubiran - jini la uongo na uzushi
63) Abadi - Jini la wizi, umalaya na ujambazi
64) Muzamili- jini la matambiko ya kiarabu
65) Ruhadi - jini la wizi, umalaya na umasikini
66 Usuran - jini la wizi, umalaya, ujambazi na umaskini
67)Tubuyali - jini hili linamfanya mtu kuiba vitu vya ndani ya nyumba. Haibi nje ya nyumba
68) Zirach - jini la wizi, umalaya, ujambazi na umaskini
69) Ashuran - jini la utasa na maradhi ya akina mama

Kinga ya majini haya ni nyepesi ni KUOKOKA na kusimama katika neno la Mungu. Kama unayo dalili yoyote iliyosababishwa na majini hayo hapo juu na umeokoka, taja jina la hilo jini, ni lazima litaitika, kisha liwashie moto.

Kama hujaokoka usiyarushie mawe au moto yatakuumiza. Mwuone kiongozi yeyote wa kanisa akuongoze sala ya toba, kisha anza kuwasha moto, hakika yatakimbia na kuacha biashara, kazi, ndoa, na watoto wako huru.

kwa hisani ya
MaxShimba post ya mwaka 2011.


Na linalo mkaba mtu akiwa anafanya mapenz?
 
Wote ni viumbe vya kufikirika vinavyo patikana kwenye masimulizi mbalimbali. Kiuhalisia havipo
 
Salaam wakuu poleni na harakati,

Ni mda kiasi sikuwa hapa jukwaani kutokana na kazi za hapa na pale ila namshukuru Mungu nimerudi salama huko nilikokuwa, kwanza niwape poleni kwa misukosuko ya hapa na pale pamoja na Paschal Mayalla member mwenzetu sijui anaendeleaje mpaka sasa maana mara ya mwisho nilisoma uzi mmoja kuwa amepata ajali.

Twende kwenye mada hivi ni nini tofauti ya majini na mapepo maana huwa mara nyingine waweza kumwona kichaa akasikia watu wanasema yule ana mapepo au yule ana majini hivi hawa viumbe ni sawa kitengo tofauti au ni tofauti kitengo ni wasa.
Majini ndo mapepo Yale Yale inategemea unayatumia kufanyia nn.
 
H
Utofauti ni lugha tu,Jini ni neno lenye asili ya kiarabu na lugha ya kiswahili limekuja baada ya kutohoa kutoka lugha ya kiarabu.
Kiswahili ni Pepo.
Pepo/Jini ni malaika walioasi mbinguni na wako wanasubiri hukumu ya milele mwisho wa dunia.Isaya 14:1_.
Note:Hakuna jini/pepo mwema wote ni waovu na wanasubiri hukumu ,na mtu atakayeshirikiana na jini kwa namna yeyote basi makao yake naye yatakuwa jehanamu
Ivi huwa yana jinsia?????
 
... Kwa nijuavyo mimi
Majini ni kwenye maji, yaani bahari, maziwa, mito, mabwawa nk. Huko ndiko majini ambapo samaki na viumbe wengine huishi.
Mapepo ni wingi wa upepo. Kuna pepo za kusi na kaskazi
Samahani lakini... Hii ni kwa uelewa wangu.
 
pitia hapa..

Kinga ya majini haya ni nyepesi ni KUOKOKA na kusimama katika neno la Mungu. Kama unayo dalili yoyote iliyosababishwa na majini hayo hapo juu na umeokoka, taja jina la hilo jini, ni lazima litaitika, kisha liwashie moto.
Kumbe hata aliyeokoka anaweza kupatwa na dalili za kumilikiwa na jini? Kama ndo hivyo basi kuokoka siyo dawa.
 
Wanajamvi, mnatakiwa mtambue kuna tofauti kati ya majini na mashetani. Mashetani ni wale malaika waliomkosea Mungu wakafukuzwa kutoka mbinguni wakaja kuishi duniani. Ushuhuda wa haya nayoandika unapatikana kwenye Biblia na kama wewe unayesoma thread hii unayo, ifungue usome mistari nitakayonukuu.

Wapo baadhi ya malaika ambao walijiunga na Luficer wakidhani wangeweza kumpindua Mungu na kushika nafasi yake (japo walikuwa wanajua kabisa kwamba ndiye aliyewaumba). Walidhani kwamba kwa vile tu walikuwa karibu na Mungu na walishaona namna anavyofanya mambo yake, wangempindua kirahisi. Kabla hata hawajajipanga namna ya kufanya uovu wao, Mungu akaona mawazo yao maovu akawaondoa kwa nguvu kule mbinguni wakatupwa hapa duniani. Haya yameandikwa kwenye kitabu cha Isaya, na kitabu cha Ezekiel na kitabu cha Ufunuo wa Yohane japo Lucifer hatajwi kwa jina moja kwa moja. Kwenye Ufunuo anaitwa 'joka kubwa jekundu', kwenye Ezekiel anaitwa 'mfalme wa Tiro na kwenye Isaya anaitwa 'nyota ya alfajiri, mwana wa asubuhi'. Mistari hiyo ni Isa 14:9-17, Eze 28:12-19, na Ufu 12:7-12.

Hao malaika waliotupwa duniani ni roho kwa hiyo hawafi. Ndio wanaoitwa mashetani. Hao mashetani walilala na wanawake wanadamu, na matokeo yake yakazaliwa majini. (Mwa 6:2). Majini ambayo pia yanaitwa mapepo yanakufa kama ambavyo binadamu anavyokufa. Shetani anatumia mapepo/majini kuharibu maisha ya watu kwa njia mbalimbali ikiwa ni pamoja na kuwaletea magonjwa, kuwaletea umasikini, ugomvi. vita na kila uovu unaoujua.

Mpaka sasa kuna wanawake ambao wanatumika kuzaa majini. Majini/mapepo hayo yanaishi humu duniani na yako mengi hata kuliko idadi ya watu. Wanaweza kuingia ndani ya mtu yakamharibia maisha yake. Wapo watu ambao wanafanya maagano na majini ili yawape ulinzi, lakini wote wanaofanya hivyo wakifa ni motoni bila ubishi. Wachawi na waganga wote wanatumia majini kufanya uchawi wao. Majini wana uwezo wa kuona mambo yatakayokuja baadaye na yaliyotokea miaka mingi iliyopita kwa hiyo mganga anaweza akakueleza mambo yote uliyopitia bila wewe kumweleza chochote kupita majini yake ya uganga.

Waombaji waliookoka wanaweza kutumiia Jina la Yesu na Damu ya Yesu na neno la Kristo kumwombea mtu na kuwatoa majini/mapepo na kuwateketeza. Ila kwa shetani wanaweza kumfunga au kumkimbiza lakini sio kumuua.
 
Kichwa kinajieleza. Mwenye ulewa afafanue. Utasikia mtu ana maruhani au ana mapepo au ana mashetani au ana majini. Tofauti yake ni nini?
 
Unclean spirit, evil spirit, demons, devil, nightmare ... 😃😃😃 satan, principalities, wicked people, power, dominion...
 
Back
Top Bottom