Recent content by bullet

  1. bullet

    Nilivyokutana na Mzee Sued Kagasheki katika mazungumzo na Dossa Aziz 1980s

    Dr. Mutahangarwa mhitimu wa kwanza wa udaktari (medical doctor) Tanganyika. Sina uhakika na Zanzibar.
  2. bullet

    Nilivyokutana na Mzee Sued Kagasheki katika mazungumzo na Dossa Aziz 1980s

    Kam Khamis ni mjukuu wa Mzee Sued Kagasheki. Khamis Kagasheki na Abdallah Kagasheki ni watu wawili tofauti. Abdallah Kagasheki ndie aliwahi kuwa Balozi. Huyu tunayemuita Balozi Khamis Kagasheki sina hakika kama alipata hadhi ya ubalozi bali alikuwa mkuu ya Idara fulani kule Geneva kwenye...
  3. bullet

    Nilivyokutana na Mzee Sued Kagasheki katika mazungumzo na Dossa Aziz 1980s

    Kuna mzee mmoja huko Bukoba anaitwa Mzee King, anayo hazina kubwa ya Historia ya wapigania Uhuru kule BuKoba na West Lake Region kwa ujumla kama ilivyojulikana hapo zamani.
  4. bullet

    Ali Hassan Mwinyi : Mzee rukhsa Safari ya Maisha Yangu

    Sijamchagulia, ila nimetoa maoni yangu kuhusu Qualities za Autobiography. Kila kitu kina namna yake ya uandishi.
  5. bullet

    Ali Hassan Mwinyi : Mzee rukhsa Safari ya Maisha Yangu

    Nimekisoma kitabu cha mzee Ruksa. Pamoja na kwamba ni kizuri, kinaeleweka ila kina mpungufu baadhi ya vitu ambavyo ni muhimu sana katika Autobiography. Kwa wale wanaosoma sana vitabu vya historia za watu kama zilivyoandikwa na wao wenyewe atagundua kwamba Mzee Mwinyi hakutenda haki kwenye mambo...
  6. bullet

    Padri akiacha upadri na kuoa, maziko yake yanakuwaje?

    Privatus Karugendo, aliacha upadre baadae akaondolewa hadhi ya upadre kwa tamko rasmi la Baba Mtakatifu (Pope). Hivyo alikuwa ni mlei (muumini wa kawaida). Ndio maana aliweza kufunga ndoa takatifu katika kanisa la Mt. Peter, Oysterbay (Kanisa la Roman Catholic). Kwa hiyo jibu ni rahisi kabisa...
  7. bullet

    Historia ya Jenerali Tumainiel Kiwelu

    Alipokuwa Mkuu wa Mkoa Kagera, siku moja asubuhi sana alifika kwenye shule ya sekondari Rutabo, Kamachumu Muleba, alikuta wanafunzi na walimu wao wapo kweye morning parade. Akasimamisha gari akawaangalia, walipongia darasani, akaondoka bila hata kumsalimia mtu. Siku hiyo ilikuwa kivumbi, maana...
  8. bullet

    Toyota Fortuner "Mjapan mwenye vinasaba vya Marekani"

    Binafsi japo sina hela ya maana ila napenda sana American Cars. Nikiona zile Ford pana pana hivi, mara Escalade au zile Chevs nazipenda sana. Kwa nini hazipo nyingi hapa kwetu Tanzania? Japan ni karibu sana na China na pia magari yao sio ghari sana ila China ni kama wana obsession ya American...
  9. bullet

    Mjadala: Je, ni kweli Magari aina ya Nissan Xtrail ni mabovu?

    Kama unataka engine Oil ya Nissan Extail ambayo haitasumbubua, tafuta Castrol GTX 20W-50. Bei yake ni around 50,000/- kwa litre 5(Unatembea 3000 km before the next service) Kwa Gear box angalia kwenye oil stick imeandikwa matic, ila unaweza kununua nyingine inaitwa Atlantic (ipo kwenye kidebe...
  10. bullet

    Mjadala: Je, ni kweli Magari aina ya Nissan Xtrail ni mabovu?

    Giabox oil inaitwa Matic, imendikwa kwenye oil stick. Ila Matic zipo za ina tofauti inabidi pia uwe specific.
  11. bullet

    Mjadala: Je, ni kweli Magari aina ya Nissan Xtrail ni mabovu?

    Huyo jamaa yako ametafuta spare gani ikakosa? Mimi nimekaa na Nissan Extrail mwaka huu wa tano, tena niliinunua kwa mtu, ila haijawahi kusumbua. Spaire zake zipo nyingi sana, ukitaka za mtumba au za dukani zote zipo. Gari hilo linahitaji umakini kidogo tu, mfano specified engine oil na gear...
  12. bullet

    Engine oil ipi nzuri?

    Kweli kabisa, mafundi wengi hawana ujuzi wa oil gani inatakiwa kwa gari gani. Mimi kawaida huwa oil huwa nanunua mwenyewe(na filter) ndio nampelekea fundi akafanye service! Mambo ya kumuachia gari kwamba nitalipitia au ataniletea, hapana!
  13. bullet

    Mjadala: Je, ni kweli Magari aina ya Nissan Xtrail ni mabovu?

    Mimi ninayo Extrail, mwaka wa nne huu ipo poa kabisa ila baada ya kuijulia. Bahati mbaya sikuinunua mpya bali niliuziwa na wachina fulani wajanja! Nilipoichukua kwa miezi miwili au mitatu ilikuwa poa, baadae ikaanza kuchemsha nikawa sielewi why maana kila kila kitu kipo poa. Baada ya kuhangaika...
  14. bullet

    Kanisa liko sahihi kukataa padre wa Bukoba kugombea ubunge

    Nafikiri Askofu Makarious alikuwa wa ni dhehebu la Orthodox na sio Roman Catholic.
Back
Top Bottom