Recent content by Bull Striker

  1. Bull Striker

    Ni bora nife bila fedha ila sirudii kuoa mke mwenye elimu ya degree na muajiriwa

    Hik Haya mawazo ndo yananifanya nisiondoke mbali na huu Uzi.
  2. Bull Striker

    Ni bora nife bila fedha ila sirudii kuoa mke mwenye elimu ya degree na muajiriwa

    Usemacho ni kweli lakini Katikati ya mipango yetu Mimi nipambane na Nyumba basi.Na pia Mimi mwenyewe Nina Gari yangu.Lakini kweli swala la kuuza Gari bila kunishirikisha huwa niswala linalo nitafuna Sana.Na pia Ile Gari niliagiza Mimi Kwa Account zangu na pia pesa hakutoa zote Japo Asilimia...
  3. Bull Striker

    Ni bora nife bila fedha ila sirudii kuoa mke mwenye elimu ya degree na muajiriwa

    We Acha kufikiria kupitia Kalio... Mwanaume anahitaji kuheshimiwa na mwanamke regardless Hana au anacho.Kwenda kinyume ni hatari Sana Kwa mwanamke huyo.Na nimaandiko.Au kwakuwa umempata low level mindset basi unaona umemaliza shida
  4. Bull Striker

    Ni bora nife bila fedha ila sirudii kuoa mke mwenye elimu ya degree na muajiriwa

    Pasi nashaka wewe ni mhanga kama Mimi... Wakwangu anakazi akanunua Gari lake wakati Mimi napambana na ujenzi. Siku iso eleweka sikuliona lile Gari nilivyo muuliza akanijibu Gari lako au Langu Pia umenioa Mimi ama Mshahara wangu.
  5. Bull Striker

    Nimepoteza mimba 10 kwa tatizo hili

    Basi ngoja nikae pembeni
  6. Bull Striker

    Nimepoteza mimba 10 kwa tatizo hili

    Dkt Colman ndo suluhisho. Anapatikana Hosp Muhimbili ama Private pale Sinitaz Kwa wahindi pale Mikocheni
  7. Bull Striker

    Wafadhili wa nini? - Hayati Rais John Pombe Magufuli

    Haiji kutokea kama huyu Maisha ya Karne hii
  8. Bull Striker

    Mambo arobaini 40 yatakayokuepusha na Kifo cha mapema ndugu mpambanaji mwenzangu

    41.Usitembee na mkewamtu narudia tena usitembe na mke wa mtu. 43.Usijifanye we wamuhimu Sana kwenye Office yoyote iwe ya Uma ama Serikalini.Replacement yako ni chap ukifa ama Kufukuzia. 44.Epuka kutazama video za Ngono zitakuua Akili na Nguvu.Sema No Porn no addicted. 45.Hakikisha unajiwekeza...
  9. Bull Striker

    Papi Kocha na babu Seya! Mbona kimya sana?

    Alimuoa wakati anatoka Jela sio...???
  10. Bull Striker

    Mwemba Burton (Mwijaku) alia kwa uchungu Dkt. Nawanda kubambikiwa kesi ya ulawiti, adai wazazi ndio wanaoumia

    Sijali kama ana Kesi ama lah...ila kale kabinti kanashida kweli maana naskia kuna mtu anatumikia kifungo Jela cha miaka 30 Kwa ajili ya Kesi za hivi. Sasa nawaza zile Mil 10 alizo Rudisha heheh
  11. Bull Striker

    KERO Hivi shughuli za namna hii, Serikali imezibariki?

    Alafu kuna mwanaume amezaa nae huyo
Back
Top Bottom