Baki na mumeo unachotakiwa kuwa nacho ni "SUBRA"
hakuna zaidi, Wanaume ndio sisi kwakweli huyo jamaa anataka Mapenzi tena ya muda mfupi. Sasa ukitaka kusadikisha hilo dai talaka (mfano) halafu uwone jamaa atakuowa yeye, hakika hatokuwa na muda kwako na mumeo ashakuacha..... Hapo sasa itabaki...
Sio ushamba ila ni utaratibu wa mtu mwenyewe alivojiwekea. Je! Ikiwa ni ushamba kuna na wale wanao fungasha cm kwenye viuno kutumia mkanda wa suruali wale nao tuwaweke kundi lipi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.