Nimesoma mpaka machozi yamenidondoka kwa kweli tokea ni zaliwe sijawah kumuona na Kukutana na mtu kama Lowassa Mungu akupe nguvu na hekima baba yetu. Tu nakuombea usiku na Mchana na Mungu yu pamoja nawe hadi Ikulu
Kwa ninavyojua mm na uzoefu wangu wa ndoa nikirudi nyumbani saa moja usiku biashara ya mwanamke kuchat imeisha hapo sasa ndugu wewe unamuacha mpaka usiku wa manane? Ebu jarbu kuwa serous na mke wako ndo maana anakuja anakuchezea mwanamke aliumbwa kwaajili ya mwanaume na syo mwanaume kwaajili ya...
Tosamaganga advance duh mabanzi kwa masister na maandazi kwa pora mtoto Wa mwalimu sadani alikuwa analeta kule vbamdani sema nmemkumbuka sana headmaster wetu charwe r.I.p Charwe sijawah kumuona headmaster kama yule
Mungu akubariki sana mkuu unayo hekima na busara sana sisi ni ndugu wote tuache kutukanana wala kuonesha ubaguzi wowote Mungu katupa aman basi tujaribuni kuitunza hii aman tuliyopewa bura na baraka kuliko nchi yeyote duniani.
Ndugu yangu ukifuata mambo ya siasa utakwazika bure nakushauri wewe unamjua mtu utakayepigua kura tumwombe Mungu atusaidie huu uchaguzi maana watakao umia ni sisi watu wadogo wakubwa na familia zao hata kovu hawatapata maskini ndo huwa wanaumia
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.