Ubahili ni kitendo cha kutoa lakini uwezo wa kutoa upo ambapo umesikini huna kitu igawa unaweza kuwa na nia ya kutoa lakini huna! Hakuna uhusiano maana kutoa au kutotoa ni hurka na tabia.
Hiyo njama iliyopangwa na CCM kama unavyodai ili iweje kwanini hamunyeshi zile Government receipts za Mahakama kuwa mlilipa? Matokeo yake mnaonyesha Pay slip za CRDB? Bank inapokea hela wakati wowote hata sasa ukiweka hizo hela bank itazipokea!
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.