Recent content by Bukumbi2020

  1. B

    Zijue sababu 10 za wanawake walioolewa kuchepuka

    Utafiti wako ni duni sana na umebase mazingira yako tu unayojua tafiti zaidi
  2. B

    GE2020 Askofu Benson Bagonza: Wote Hawaamini

    Acha wewe kasalishe huko mbona mawazo mepesi hivyo hiyo ni democracy
  3. B

    GE2020 Zitto Kabwe apoteza jimbo la Kigoma Mjini

    Hukuwa na hoja mkuu za kukupa kura eti madege yampigie kura ila ulifurahisha sana hahahaha
  4. B

    Kuna uhusiano gani kati ubahili na Umaskini?

    Ubahili ni kitendo cha kutoa lakini uwezo wa kutoa upo ambapo umesikini huna kitu igawa unaweza kuwa na nia ya kutoa lakini huna! Hakuna uhusiano maana kutoa au kutotoa ni hurka na tabia.
  5. B

    Askofu Bagonza nauliza upo upande upi kisiasa?

    Kiongozi wadini kujihusisha na siasa ni mwanzo wa kuwagawa wa umini wako na wewe unaanza kuonekana kama mtu wa dunia zaidi siyo wa dini
  6. B

    TANZIA Dkt. Kinabo ambaye ni daktari bingwa wa moyo afariki dunia leo Dodoma

    Safi Sent using Jamii Forums mobile app
  7. B

    TANZIA Dkt. Kinabo ambaye ni daktari bingwa wa moyo afariki dunia leo Dodoma

    Wanacheza vipi huko kwingine wanakufa walikufa nao walicheza? Sent using Jamii Forums mobile app
  8. B

    Mch. Msigwa: I am not that cheap. Polepole na Gerson Msigwa siyo wasemaji wa familia

    Hiyo njama iliyopangwa na CCM kama unavyodai ili iweje kwanini hamunyeshi zile Government receipts za Mahakama kuwa mlilipa? Matokeo yake mnaonyesha Pay slip za CRDB? Bank inapokea hela wakati wowote hata sasa ukiweka hizo hela bank itazipokea! Sent using Jamii Forums mobile app
  9. B

    Mtoto wa miaka 16 ajiua baada ya picha zake za ngono kusambaa

    Duh Sent using Jamii Forums mobile app
  10. B

    Wazee wa Kigoma wasimama na Zitto na kutoa tamko dhidi ta Spika na Bunge

    Hao ni wazee wa msikitini tu Sent using Jamii Forums mobile app
Back
Top Bottom