Nawakilisha waajiriwa wote sisi amboa hatuko kazini tulipwe michango yetu tumekwamishwa na waajili kutopeleka michango yetu mpaka sasa wengine tunadai ya miaka mitatu nyuma. Tunaomba aliyetoa agizo afuatilie na sisi waajiliwa tutatoa ushirikiano. wengine tuko mtaani hatuna kazi tunategemea hiyo...
Mkuu ulivosema ni sawa ila sio asilimia mia mimi mwenyewe nawapa ushirikiano lkn sasa ni 3 years nawaambia waje hawaji michango deni ni kubwa lazima mtutendee haki. Tumechoka mfano mtu akifa ghafla haki za marehemu mwajiri atazipoteza
Mimi ni mhasibu kampuni fulani huu ni mwaka wa tatu tunakata wafanyakazi na lkn michango bado haijapelekwa nimemuonya boss wangu juu ya hili hataki kunisikiliza nimewapigia Nssf mara kadhaa hawaji tena nawaambia ntawapa ushirikiano hawaji je tufanyeje twende kwa nani mm inaniuma sana maana inanigusa
viva ukawa tusimame kidete kutetea haki yetu ya msingi. Uraisi ni wa Lowasa this time. Ngoja nikae sawa kusimamia haki, mimi sijalala siku nne nalinda kura then wanaleta udanganyifu subiri.
Hata mijini ukawa ndo habari ya mjini kila kona kulingana na ninavyozunguka mijini dar Mbeya Arusha mwanza dodoma tanga morogoro kote ni Lowasa ccm hali yao tete
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.