Rrondo sijui kama we yangekutokea haya ungekuwa na uwezo wa kusema mawazo yako hayo ndugu Leo liko kwa mwingine we unaona ni siasa sijui bahati mbaya liko kwako hutoomba uchunguzi ufanywe?
Kaka hapo umenena Mimi najirani YANGU hapa kila siku jioni anaogoga maji ya moto na asubuhi sasa nakuuliza huyu jamaa anatatizo gani mbona sioni sababu ya kuoga maji ya moto angali ni kijana MDOGO sana
Jaman kufanya mkutano c shida but muhimu ni kuombeleza kwa watu tuliowapoteza, pia MTU kuondoka huwezi zuia maendeleo mengine, mungu hatusaidie tupite wakati huu mgumu
Mkuu hii imekaa njema ila kwa ushauri wakae chini watatue kero kwanza ndo waje kwa wananchi ila kama wataendelea hivi watabaki kusindikiza tu, uroho wa nadaraka ni mbaya sana
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.