Recent content by bugza

  1. bugza

    Kala vizuri na Lodge nimelipia ila Kagoma kunipa Mbususu

    Sijui wanawake hawajui kama jambo hili linakera sana. Kama anaona hayupo tayar ni bora asije kabisa
  2. bugza

    Awamu ya 5 imeongeza mishahara ya Watumishi kwa njia ya kupunguza kodi ya PAYE

    1. Nina hakika wewe sio Mtumishi wa Umma hivyo hauna unacho kifahamu 2. Hakuna mtimishi wa umma aliepongeza kwa " dhati " hicho ulicho kiongea kwasababu watumishi wa wanahitaji nyongeza ya mshahara na si pungozo la kodi 3. Je, unajua nikiasi gani kimeongezeka katika mishahara ya wafanyakazi...
  3. bugza

    Je, unakumbuka nini enzi zako za JKT? Ni mambo gani yalikufurahisha au kukukwaza?

    Tttttttx Sent using Jamii Forums mobile app
  4. bugza

    Picha: Kijana wa Arusha aolewa na mzungu UK

    Haya mambo yanakera sana.
  5. bugza

    BVR: Uwezekano wa kujiandikisha zaidi ya mara moja

    unaweza kujiandikisha zaidi ya mara 100 kama utatumia bvr tofauti tofauti kwasababu wakati wa zoezi la kujiandikisha bvr hazipo connected. ila hauwezi kujiandikisha zaidi ya mara moja katika bvr moja
  6. bugza

    BVR: Uwezekano wa kujiandikisha zaidi ya mara moja

    upo sahihi kabisa zoezi la kujiandikisha likiisha wanafanya data exportation kutoka kwenye bvr kwenda kwenye centra data base
  7. bugza

    BVR: Uwezekano wa kujiandikisha zaidi ya mara moja

    ile ni gps antena kazi yake ni kuonyesha location ya bvr ilipo tu haina kazi nyengine
  8. bugza

    Kuharibika kwa Mimba: Fahamu Sababu, Kinga na Tiba za tatizo hili

    Inaharibika kabla haijafikisha miez miwili.
  9. bugza

    Kuharibika kwa Mimba: Fahamu Sababu, Kinga na Tiba za tatizo hili

    Sijajua mke wangu ana matatizo gani kwani kila anapopata mimba inaharibika hii mara ya 3. Je, nini chanzo cha hili tatizo na nini kifanyike kukabiliana na hili tatizo naombeni msaada wadau.
  10. bugza

    Muombeeni Ben Pol

    hakuna msanii ninayempenda kama huyu dogo lakini nashindwa kuelewa kitu gani kina mkwamisha kama nikweli anatumia hivyo vitu yawezekana ikawa sababu.
Back
Top Bottom