Recent content by buguzo

  1. B

    Serikali ya Rais Magufuli ipo imara na haitishiwi na kelele za bungeni na mitandaoni

    na wasi wasi inawezekana hata vyeti huna maana naona inazero
  2. B

    Rais Magufuli: Mimi sijaribiwi, wasije kunijaribu. Atakayeleta vurugu atashughulikiwa bila huruma!

    Ki ukweli mm niliona ameshakwisha maliza kila kitu lkn hapo anapotaka kumshika mkono kipofu anatafuta makubwa!ngoja tuone coz atafanya watu wa dunia nzima kuanza kumuuangalia yy na atakosa la kufanya mara ya mwisho!huku bunge chali,huku maalim seif huku ukuta khaaaaa inabidi atumie akili na cio...
  3. B

    Naibu Spika awaamuru Wabunge wa Upinzani watoke haraka

    Hahahahahahah!oooh kumbe ulitaka hoja nzuri kuibuliwa kweny bajeti cio???!hahahah!wabunge wa upinzani wamefungiwa kuudhuria bungeni sasa hizo hoja unataka zitolewe na nani na akiwa wap????!nadhani unatatizo kidogo!fikiria upya!
  4. B

    Kamati ya Maadili yapasuka, Wajumbe watoa maoni tofauti

    Hv ww baba yako na mama yako wanafanya kazi ofisi za ccm lumumba eeeh? Inaonekana mpka sasa chupi uliyo vaa uliletewa kweny happ birthday yako ndio maana hujijui na wala hufikirii
  5. B

    Kamati ya Maadili yapasuka, Wajumbe watoa maoni tofauti

    Aiseee una akili sana! U think kama mwanadamu
  6. B

    Basi la mwendokasi lapata ajali mbaya Magomeni Usalama

    Nadhani atatakiwa kulipa gharama ya basi zimaaa
  7. B

    Basi la mwendokasi lapata ajali mbaya Magomeni Usalama

    Kabisaaaaa hata mm nashauri hvy alooo maaana kuna watu mivichwa yao cijui ikoje
  8. B

    Basi la mwendokasi lapata ajali mbaya Magomeni Usalama

    Yaaani mtu anaandika hoja cijui kalewa au l?namuuliza swali yeye alitaka hizo barabara ziwe na upana gan???mbili hv hizo barabara tano kwenda tano kurudi nyumba za watu wagapi wataachwa bila makazi???
  9. B

    Hii Bongo Bado Kabisaaaa

    dah!nahaka kamalaria kwl,bado sanaaaaaaaaaa
  10. B

    nokia e52 inhitjika,kama unayo weka na bei

    kama mtu anayo aseme
  11. B

    Basi la Dar Express laungua moto

    dar hii hatari sasa,fikiria kama lingekuwa linendelea na safari,ilikuwa nikasheshe eti,,,!vp lkn hakuna walioathirika?mtujuze mlioko huko ua wenye habari kamili
  12. B

    Bodi ya mikopo yatangaza rasmi wameachia majina ya wanafunzi na mikopo yao.

    jamani wakiweka tu,muyatuopie jm,tuko mbali bhana cafe
  13. B

    Wanfunzi 33,050 kupewa mikopo kati ya zaidi ya 49,000 walioomba

    hiyo naona ni mipango yao,yakuwanyima kodi za ndugu zao bhana
Back
Top Bottom