NingaR
JF-Expert Member
- Apr 15, 2012
- 2,759
- 590
acha kutu desh wewemajina ninayo. kwa sasa nayatia kapuni
acha kutu desh wewemajina ninayo. kwa sasa nayatia kapuni
majina ninayo. kwa sasa nayatia kapuni
Kama kawaida tayari niko niko mitamboni nasubiria mambo
acha kutu desh wewe
mkuu hebu tupe mambo bac!"
daah kaka jana nimelala saa9 ila mwisho wa siku nimeambulia kitu cha dash...wameboa mbaya
tulieni , mambo mazuri hayataki haraka.
sijui hawa jamaa wanatu beep tuwapigie??
ki mtandao bots ni watu ambao wana share vitu kwa njia ya internet katika website au chanel flan. Mfano watu wanao cheza games online wanaitwa bots
sina hakika sana kama kwenye selection zako za tcu kama hukujaza hata computer engineering!!!! Japo naiman hukuipata!!!!
Angalia nilivyo mjibu Ipycalipse.
& tayari nimesha iondoa