Mimi nashangaa kwa nini suala la kumiomba Mungu linakuwa completed hivi ? Unawezaje kuweka mitambo hayo kanisani ,hivi kusemaje ukiweka midundo ya kutosha ndio inasababisha Mungu ajibu Maomba kwa haraka hivi?
Mkuu unatusanganya ,hapa inategemea unaishi maeneo yapi ,basi kama ni Dar -es - salaam ,sijaona ukiandika matumizi kama maji ya kunywa kwa kutwa nzima ,kwa kawaida kwa binadamu yeyote yule lazima awe na mahitaji yasiyo ya lazima ingawa najua huwa tunatofautiana kiwango cha matumizi,mfano MTU...
Hapa nazungumzia android studio kama programming language ,sizungumzii android studio la hardware ,kama ukiwa na tatizo linaloendana na namna ya kutumia android studio software ,pia namna ya kuimport codes kwenye android studio.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi sio mgeni ,ila ziala za Rais zinaumuhimu mkubwa kwa ajili ya kuamsha ari ya watu kufanya kazi na uwajibikaji mkuu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Wadau nakaribisha tatizo lolote linalotoka kwenye android studio na namna ya kuedit codes za android kwa kutumia software hii,karibu hapa tushare pamoja.
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.