Wadau nakaribisha tatizo lolote linalotoka kwenye android studio na namna ya kuedit codes za android kwa kutumia software hii,karibu hapa tushare pamoja.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndiyo hata TB 5 inafika kikubwa pesa tu.Mkuu simu yangu ina international memory 8GB vipi kuna uwezekano wa kuongeza kidogo ufike 16GB?
Driver using BMW X6
Huwa unafanya kwa bei ganNdiyo hata TB 5 inafika kikubwa pesa tu.
Cheki hii version ya support iko poakuna template niliipata online iko full inatoa notifications kama kawaida ila notification inaingia kmykmy yani haina mlio wala vibration.......source code nnayo ila nimechemka kuweka mlio na vibration kupitia adroidmanifest msaada wa chap?
Wadau nakaribisha tatizo lolote linalotoka kwenye android studio na namna ya kuedit codes za android kwa kutumia software hii,karibu hapa tushare pamoja.
Sent using Jamii Forums mobile app