Master P,ulipatia Sana kwa magufuli,nimejikuta nikiwa mfuasi wako na huwaga najitahd Sana kukuelewa na huwaga nasoma keenly and btn lines maandiko yako,barikiwa paskali
Kwani Kati ya anaerogwa na anaeroga yupi anaepaswa kumkimbia mwenzie,pumbavu zenu mazee ndo mafisadi na mafataki,nyie mkafie tu huko mnatuchafulia dunia
I got u,unamaanisha boss wa tiss humuwajibishi kwa majungu au kukataa ujinga wa kipumbavu wa wenye mamlaka,awajibishwe akizingua haswa,na siyo akiwajibishwa apewe ubalozi,mkuu wa idara akizingua unakula kichwa,,,,,!!assalam alleykum
Mamaangu anahusikaje hapa ukizingatia Hana hata account jf???au unataka Leo nikalale kwny kitanda Cha baba yako halaf asbh unione naingia bafuni nikiwa nimefunga khanga ya mamaako kiunoni????acha ujinga kenge wewe
Je,unadhani wanaomtetea rais ktk hili hawasukumwi na njaa zao na kujipendekeza kwao??je unadhani wanamtetea rais kwa dhati au maisha magum na ukosef wa ajira vinawasukuma kiasi Cha kutaka dhambi itetewe na itakaswe hadharani??unadhan Ni wazalendo wa kweli au tayari wanapanga namna ya kujiingiza...
Kuteseka labor Ward siyo sabab ya kutuendesha endesha Kama mizoga,hapa hakwamishwi na mtu,anajikwamisha mwenyewe,na kuhusu bandari akiforce vinaenda kuumana,halaf tusiache mambo ya hovyo yapite bila kuhoj et kisa yanatendwa na mwanamke,hii Ni nchi siyo familia ya mtu
Wewe nae unaonekana Kama tapeli alozoea kugonga hela za kuuza boda boda bila hata mikataba au makubaliano,international exposure ikikosekana kwa mtu ndo itapelekea asiwe na capability ya kurise hoja muhimu Kama ukomo wa mkataba???mnazidisha promo kuliko hata utendaji wake,vijana tumekubaliana...
Ingetokea nimesafiri nyuma ya muda na kukutana na Mimi mdogo ningemshauri asioe,tunakaa na mi mwanamke kumbe inatalaka tayari bila mume kujua,mm lakwangu nimeligundu,na nimeificha halijui,haya makitu hayajui nn yanahtaji in life,wanaume stukeni,wake zetu wanatalaka mkononi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.