Hii topic inajadiliwa kila mwezi humu hamchoki tu? You might as well add kwanini waislam wenye asili ya Asia wanaongoza kwa ukwasi maana wamatumbi hampo humo. Lugumi kila mtu anajua mishe zake.
Kama waislam wanahela zaidi kwanini kila siku wanalialia kuonewa? cc Mohamed Said
Hospital na...
Miccm ipo allergic na open spaces. Cocobeach imejengwa, biafra imejengwa. Ukienda nchi zingine hata Nairobi tu unakuta open spaces katikati ya miji ila bongo open space yeyote ile wanaweka fremu.
Nyerere alisoma kweli na kuelimika. Alizungukwa na wasomi na alipenda kujiongezea maarifa maisha yake yote.
Hangaya ana elimu ya hapa na pale na kazungukwa na watu ambao haijulikani nao walisoma wapi wala walisomea nini kama yeye mwenyewe. Hangaya, Angela, Abdul, Waziri Salum, mtoto wa...
Nani anatoa na kuchukua uhuru?
EU kapewa mamlaka na nani ya kumtoa kiongozi wa nchi nyingine?
Simkubali Samuya ila hizi ni ndoto za alinacha. Kama nilivyosema Samuya haendi the hague atamaliza muda wake basi hata hili nakwambia Samuya hatolewi na yeyote. Huo ndo uhalisia, endeleeni kujilisha...
Gari LHD ziwe banned kabisa nchini kama ilivyo nchi nyingine nyingi tu unless linapita tu kwenda nje. Ni hatari kwa matumizi yako na watumiaji wengine wa barabara. Hii ni public safety issue sio matakwa binafsi. Ila sababu hii nchi haina sheria na ujinga bado umetamalaki hawaoni hilo.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.