Recent content by Bufa

  1. Bufa

    JamiiForums Tanzania Rachel Dangwa yuko 'kwenye Mikono Salama'

    I agree. Kwanza Dar inanuka
  2. Bufa

    JamiiForums Tanzania Ni kweli kuwa Moro wamegundua machimbo ya dhahabu?

    Dhahabu ni adimu lakini inapatikana sehemu nyingi, si Morogoro au TZ tu, bali duniani kote. Hata kwenye eneo la nyumbani kwako, ukikusanya udongo wa kutosha na kuuchenjua, unaweza kupata dhahabu kiasi. Changamoto kubwa ni mbili. Kwanza, je, hiyo dhahabu unayoipata ina faida kiuchumi...
  3. Bufa

    JamiiForums Tanzania Rachel Dangwa yuko 'kwenye Mikono Salama'

    Umesikia mwabukusi kasema Mbeya ni Kijiji kikubwa? Kila siku tunasema Mbeya sio jiji.
  4. Bufa

    JamiiForums Tanzania Mnawezaje kuhandle situation ya mwanamke kununa ndani ya familia

    Mpandishe cheo awe mke mkubwa.
  5. Bufa

    JamiiForums Tanzania Aliingilia Msafara wa Mwenge na hicho ndicho Polisi waliamua kumfanyia. Je, ni haki?

    Ndo maana miCCM inawatumia kama NDOM na kuwatupa.
  6. Bufa

    JamiiForums Tanzania MUNGU ni mmoja tu, hana mtoto, hakuzaa wala hakizaliwa wala hafanani na yeyote yule

    Kama hatuna haki tunamjadili wa nini? Kwanini mnatumia sana nguvu kumtetea na kutulazimisha tumkubali wakati hatuna haki anafanya anachokitaka? Hizi story zenu huwa hazimake sense kabisa.
  7. Bufa

    JamiiForums Tanzania Kipi kilikufanya uamini Mungu yupo au hayupo?

    Kumbe bado hujapona
  8. Bufa

    JamiiForums Tanzania Kipi kilikufanya uamini Mungu yupo au hayupo?

    “God is an ever-receding pocket of scientific ignorance that's getting smaller and smaller as time moves on.” ― Neil deGrasse Tyson "Mungu ni eneo linalozidi kupungua la ujinga wa kisayansi ambalo linazidi kuwa dogo na dogo kadiri muda unavyosonga."
  9. Bufa

    JamiiForums Tanzania MUNGU ni mmoja tu, hana mtoto, hakuzaa wala hakizaliwa wala hafanani na yeyote yule

    Kwahiyo Mungu hakuwa na uwezo wa kuzuia uwepo wa dhambi na 'shetani'? Kama alikua nao kwanini hakufanya hivyo in the first place? Kama hakuwa nao ina maana nguvu zake zipo limited tofauti na story zenu za kusadikika.
  10. Bufa

    JamiiForums Tanzania MUNGU ni mmoja tu, hana mtoto, hakuzaa wala hakizaliwa wala hafanani na yeyote yule

    Lol. Hata binadamu timamu hawezi kuwa insecure and senseless kiasi hiki.
  11. Bufa

    JamiiForums Tanzania MUNGU ni mmoja tu, hana mtoto, hakuzaa wala hakizaliwa wala hafanani na yeyote yule

    Kwanini hakuzuia dhambi isiingie? Kwanini asimteketeze sasa anasuburi watu wake wapate dhambi ili nao awachome? Wewe unaweza acha mwanao afanye kosa unaloweza kumzuia ili umchape bakora milele?
  12. Bufa

    JamiiForums Tanzania MUNGU ni mmoja tu, hana mtoto, hakuzaa wala hakizaliwa wala hafanani na yeyote yule

    Kwanini Mungu asijitetee mwenyewe? Kuishi milele sounds terrible na kuwachoma watu milele ni ukatili. Mungu wenu atakua katili sana akiwa hivyo. Wewe huwezi hata kumchapa mwanao ila Mungu wenu anawachoma milele huku anafurahia show.
  13. Bufa

    JamiiForums Tanzania Je, unayafahamu maneno haya? Ni lugha gani?

    Kuna mtu nilimwambia suruali inamserenduka akacheka sana, I thought nimeongeza kiswahili cha kawaida kumbe lah.
  14. Bufa

    JamiiForums Tanzania Je, unayafahamu maneno haya? Ni lugha gani?

    Naujua vizuri sana. Ulikua maskani kwa nje tu 😅 kitambo sana
Back
Top Bottom