Recent content by Bufa

  1. Bufa

    JamiiForums Tanzania Ukipita ofisi hizi wapatie watumishi chochote

    Washibe hicho hicho kiapo.
  2. Bufa

    JamiiForums Tanzania Watu kufurahia kifo cha Mume wa rais wao kinaleta taswira gani kwenye taifa?

    Kifo ni kifo tu alisema mwenyewe.
  3. Bufa

    JamiiForums Tanzania Lema ana malengo gani na CHADEMA? Matendo yake yanatia wasiwasi

    Mpinzani wa kweli ni TL tu, I can bet a house on him. Wengine wote hawajafikiwa bei tu au hawaitajika. Wakifikiwa bei wanawaacha mchana kweupe.
  4. Bufa

    JamiiForums Tanzania DOKEZO Nimeshinda Sh 27M kwenye kubet, Kampuni inataka kunipa Sh 3M, Gaming Board hainisaidii

    Toka 2024 hadi leo bado unafuatilia hela yako? Gamingboard na hiyo kampuni wameshirikiana kukupiga hela yako.
  5. Bufa

    JamiiForums Tanzania Ukipita ofisi hizi wapatie watumishi chochote

    Tatizo wote ni mbogamboga.
  6. Bufa

    JamiiForums Tanzania Kwanini Konyagi za sasa hazileweshi kama zamani

    nyagi nyingi feki.
  7. Bufa

    JamiiForums Tanzania sikuomba kuzaliwa, kwanini nihukumiwe na moto wa milele

    Story za kusadikika hizo.
  8. Bufa

    JamiiForums Tanzania TANZIA Mume wa Rais Samia, Hafidh Ameir, afariki Dunia

  9. Bufa

    JamiiForums Tanzania Yanayofichwa ni haya: Wabongo walioletwa kutoka S.Africa wengi ni vichaa na mateja

    Ni ngumu sana kuwalaumu wasouth kwa aina hii ya watu.
  10. Bufa

    JamiiForums Tanzania Mtanzania Khalifa Siwa Afariki New York, Ubalozi Watafuta Ndugu Zake

    That makes sense.
  11. Bufa

    JamiiForums Tanzania Mtanzania Khalifa Siwa Afariki New York, Ubalozi Watafuta Ndugu Zake

    Database itasaidia nini kama mtu hataki kuwa registered? Mpaka unaona huyo mtu hana ndugu wala jamaa ujue ndo maisha aliyoamua kuishi hata kanzudata ingekuwepo asingejisajili.
  12. Bufa

    JamiiForums Tanzania Hawa hawawezi kushika madaraka ya Makamu wa Rais wa JMT kwa sbb zifuatazo

    Maccm wote wana upeo duni. VP ni nafasi ya kiboya sana. Unakuwa pale kama pambo tu. Ukipewa hiyo nafasi ujue wanakuua kisiasa.
  13. Bufa

    JamiiForums Tanzania Tetesi: Ndani ya masaa 48 Dr. Nchimbi Kung'atuka umakamu wa Rais kwa kujiuzulu

    Watu mpo jikoni.
  14. Bufa

    JamiiForums Tanzania Wanahakati wa siasa bongo jau sana

    Unapiga kwenye mshono, mkuu 😁😁😁
  15. Bufa

    JamiiForums Tanzania Mwanaume anaetetea wanawake kwenye kila jambo, ukiwa serious ukamtongoza anaweza kukubaliki

    We sema tu unatamani wanaume wenzio acha kuzunguka.
Back
Top Bottom