coaches kubadili plans inayofanya kazi games za msingi kuweka players wao kunaharibu games siku zote. they never learn. leo rogers kaanza wakati games zote huwa anaingia. Jana France Tchou Kaanza Kone Kaanza Bench Wakati Alikua Poa Games Zote
coaches kubadili plans inayofanya kazi games za msingi kuweka players wao kunaharibu games siku zote. they never learn. leo rogers kaanza wakati games zote huwa anaingia. Jana France Tchou Kaanza Kone Kaanza Bench Wakati Alikua Poa Games Zote
Hizi story zenu za kusadikika zisizo na uthibitisho wa aina yeyote ule ni ujinga. Mimi nimewahi kwenda mbinguni na kurudi. Huwezi bisha maana hukuwepo na sina chochote kile kama kithibiti. Ukiwa zwazwa utaamini. That's how crazy your story sounds.
Wewe sio mwana apolo wa kwanza na sio lazima mtu awe ashawahi kuwa na hiyo kazi ili kutoa opinion yake. Watanzania wangapi wamewahi kuwa marais ila kila siku Samia anakosolewa na watu ambao hata u monitor shule ya msingi hawajawahi shika.
Muwe mnashirikisha akili zenu enyi wamatumbi.
Biashara gani yenye guarantee ili kila mtu afanye hiyo awe tajiri?
Toa majina matatu tu ya watu waliofanyiwa umafia na kuuwawa Geita au Chunya? Sio Mererani. Hii lazima iwe credible source sio story zenu za vijiweni za hearsay.
Kama uchawi unafanya kazi kwanini wasichimbe dar hadi waende...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.