Recent content by Bufa

  1. Bufa

    Ufanyike uchunguzi wa kina na wa sirisiri kwa viongozi wanaokufa ghafla

    Kifo ni kifo alisema Hangaya. Pili, miviongozi ipo kwenye vietee muda wote na kiyoyozi hawana muda wa kutembea hata kilomita 1 kwa siku kwanini heart attack isiwamalize? Heart attack has always been a silent killer.
  2. Bufa

    Vijana tumechoka ahadi, tunataka matokeo, Sio maonyesho!

    Mlipewa waziri wa vijana mtoa misemo, hajawasaidia kitu?
  3. Bufa

    Israel alichowafanya viongozi wa Iran ni kufuru, hii ni picha ya viongozi wakubwa kabla ya vita na sasa

    Secret service ya Iran inafeli sana waje bongo tuwape TEETH kuimarisha intelligence yao.
  4. Bufa

    KERO Makato ya Mkopo kwenye Mshahara wangu yananitesa sana. Nilikopa Milioni 10 ili nifanye biashara ya madini ila haijafanikiwa

    Ulikua unafanya nini exactly kwenye sekta ya madini? Unachimba, dealer/broker, unauza vitendea kazi au? Japo mtu inabidi uanzie mahali ulipo ila hata 100M ni hela ndogo kuanza nayo kwenye hii sekta.
  5. Bufa

    Vita dhidi ya ushoga: Waziri Gwajima amechagua silaha kali au butu?

    I agree, mkuu. Chanzo cha haya yote ni huko majumbani. Serikali inabebeshwa mzigo wa vitu vinavyotokea kwa uzembe wa wazazi huko majumbani. Wazazi/walezi wakifanya kazi yao haya yote yatapungua kama sio kuisha kabisa.
  6. Bufa

    SAFI SANA, Trump amejishusha na kukubali kusitisha mashambulizi Iran

    Vizuri. Hakuna faida yeyote ya hizi vita.
  7. Bufa

    Vita dhidi ya ushoga: Waziri Gwajima amechagua silaha kali au butu?

    Kama kuna watoto wengi mashoga tatizo ni huko majumbani mwenu. Mlezi na mlinzi wa kwanza wa mtoto ni mzazi/mlezi, sio jukumu la serikali kuchunga mnaishije huko majumbani kwenu. Leeni watoto wenu vizuri problem solved. Mkiendelea kuwaharibu watoto majumbani mwenu msilaumu serikali hilo ni jukumu...
  8. Bufa

    Marubani wawili wafariki baada ya ndege ya kugongana na gari

    "gari hilo lilikuwa limepewa ruhusa ya kuvuka barabara ya ndege wakati tukio hilo lilipotokea." hapo ATC lazima kiwarambe. Uzembe wa hali ya juu umegharimu maisha ya watu.
  9. Bufa

    Tangu Vanessa Mdee aache muziki, hakuna mwanamuziki wa kike yeyote aliyeziba pengo lake

    Hits 10! Hizo hits unazijua wewe tu 😂 😂 😂 Vanessa na mdogo wake hawafikishi hits 5 combined. Watu walipenda swag zake not necessarily nyimbo zake. She's a good 'people', no doubt. That's about it.
  10. Bufa

    Je, Dkt. Dorothy Gwajima ataiweza vita dhidi ya ushoga?

    Nimesema wewe mchina toa tamko sio China. Tamko lako is just as good as matamko ya China hayana tija yeyote.
  11. Bufa

    Tangu Vanessa Mdee aache muziki, hakuna mwanamuziki wa kike yeyote aliyeziba pengo lake

    Umeulizwa taja hits 5 za huyo msanii wako hadi sasa kimya. She was ok. She wasn't all that.
Back
Top Bottom