Dhahabu ni adimu lakini inapatikana sehemu nyingi, si Morogoro au TZ tu, bali duniani kote. Hata kwenye eneo la nyumbani kwako, ukikusanya udongo wa kutosha na kuuchenjua, unaweza kupata dhahabu kiasi.
Changamoto kubwa ni mbili. Kwanza, je, hiyo dhahabu unayoipata ina faida kiuchumi...