Recent content by Bufa

  1. Bufa

    JamiiForums Tanzania Kwa nini Hapa Tanzania Matajiri Wengi Wakubwa Karibu Wote ni Waislamu? Je Dini ya Wakristo Inawanyonya Waumini Wake?

    Hii topic inajadiliwa kila mwezi humu hamchoki tu? You might as well add kwanini waislam wenye asili ya Asia wanaongoza kwa ukwasi maana wamatumbi hampo humo. Lugumi kila mtu anajua mishe zake. Kama waislam wanahela zaidi kwanini kila siku wanalialia kuonewa? cc Mohamed Said Hospital na...
  2. Bufa

    JamiiForums Tanzania KERO Bado siamini CCM imetoa eneo la Biafra kwa mfanyabiashara wa showroom wakati lilikuwa tija zaidi kijamii

    Miccm ipo allergic na open spaces. Cocobeach imejengwa, biafra imejengwa. Ukienda nchi zingine hata Nairobi tu unakuta open spaces katikati ya miji ila bongo open space yeyote ile wanaweka fremu.
  3. Bufa

    JamiiForums Tanzania Nchi yangu Tanzania haina tena THINK TANKS wa muelekeo wa kiuchumi, ni bora liende!

    Nyerere alisoma kweli na kuelimika. Alizungukwa na wasomi na alipenda kujiongezea maarifa maisha yake yote. Hangaya ana elimu ya hapa na pale na kazungukwa na watu ambao haijulikani nao walisoma wapi wala walisomea nini kama yeye mwenyewe. Hangaya, Angela, Abdul, Waziri Salum, mtoto wa...
  4. Bufa

    JamiiForums Tanzania Ashatu Kijaji, akiwasili Bungeni jijini Dodoma leo Mei 15, 2026 na kupokelewa na Chaaba kutoka jamii ya Hadzabe

    Maigizo ni mengi kuliko kazi zenyewe. Nchi ya kipumbavu sana hii.
  5. Bufa

    JamiiForums Tanzania Inasemekana huyu mwamba ni tapeli wa kutisha, kuna yeyote anamfahamu?

    Mtapeliwaje kiboya dunia ya leo!
  6. Bufa

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Wafadhili waanza kung'ata: EU wapiga kura na kuzuia Euro Milioni 156 kwa Tanzania

    Na wewe na akili zako Samuya atatolewa by force au kupelekwa the hague?
  7. Bufa

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Wafadhili waanza kung'ata: EU wapiga kura na kuzuia Euro Milioni 156 kwa Tanzania

    Hakika. Watu wanapenda kuamini kila kitu ili kujifurahisha. I'd be the happiest akitolewa ila haiwezekani.
  8. Bufa

    JamiiForums Tanzania Nadhani The Velvet Lounge na Sudan Hotel Temeke, ni mifano hai ya Sodoma na Gomora!

    Mad Max ndo wapi huko nikawakataze waache dhambi?
  9. Bufa

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Wafadhili waanza kung'ata: EU wapiga kura na kuzuia Euro Milioni 156 kwa Tanzania

    Nani anatoa na kuchukua uhuru? EU kapewa mamlaka na nani ya kumtoa kiongozi wa nchi nyingine? Simkubali Samuya ila hizi ni ndoto za alinacha. Kama nilivyosema Samuya haendi the hague atamaliza muda wake basi hata hili nakwambia Samuya hatolewi na yeyote. Huo ndo uhalisia, endeleeni kujilisha...
  10. Bufa

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Wafadhili waanza kung'ata: EU wapiga kura na kuzuia Euro Milioni 156 kwa Tanzania

    Mizungu inazidi sasa.
  11. Bufa

    JamiiForums Tanzania Kwa waliowahi kuendesha gari la LHD, ni risk kiasi gani hapa Dar?

    Haha haina noma, mkuu.
  12. Bufa

    JamiiForums Tanzania Kwa waliowahi kuendesha gari la LHD, ni risk kiasi gani hapa Dar?

    Gari LHD ziwe banned kabisa nchini kama ilivyo nchi nyingine nyingi tu unless linapita tu kwenda nje. Ni hatari kwa matumizi yako na watumiaji wengine wa barabara. Hii ni public safety issue sio matakwa binafsi. Ila sababu hii nchi haina sheria na ujinga bado umetamalaki hawaoni hilo.
  13. Bufa

    JamiiForums Tanzania Kwa waliowahi kuendesha gari la LHD, ni risk kiasi gani hapa Dar?

    Duuu futa hii.
Back
Top Bottom