Recent content by Bufa

  1. Bufa

    JamiiForums Tanzania Kwanini watu wengi tunaendelea kunywa pombe licha ya kuona madhara yake kwa wengine?

    Kila kitu fanya responsibly. That's it. Hakuna faida ya kuwa the healthiest man in the graveyard.
  2. Bufa

    JamiiForums Tanzania Dawa ya Uhakika ya Kupunguza Uzito Bajeti Ipo, Sitaki Msaada wa Bure

    Tafuta Ozempic. Nje watu wengi wanatumia ozempic hivi sasa ila ukiacha bila kubadili lifestyle unene wote unarudi, the choice is yours. Uwe on Ozempic maisha yote au utumie for a little while then ubadili lifestyly. Kupanga ni kuchagua.
  3. Bufa

    JamiiForums Tanzania Wakiristo huu muda wa siku kuanza saa 6 usiku wameutoa wapi?

    Wewe fuata what makes you happy. Hata airport nenda muda unaotafsiri wewe. Wakisema njoo kesho 9pm tafsiri unavyojua wewe kisha nenda. Kupanga ni kuchagua. Kuna watu leo ni mwaka wa elfu1 na kitu; kuna wengine wapo mbele. Yote ni sawa.
  4. Bufa

    JamiiForums Tanzania Picha: Abdul (mtoto wa Samia) yupo Moscow. Kaenda kwa shughuli gani? Kama nani?

    I can't fault her for this. Wazazi walio wengi wangefanya the same.
  5. Bufa

    JamiiForums Tanzania Huyu dogo Hana Miaka 14. Wadanganyeni Wengine!

    Sasa hapo kosa la hawa madogo ni lipi? Ndo maana nasema kuwashambulia hawa madogo personally wakati they have nothing to do with it ni sawa na mtu kukutukana wewe kwa ujinga wa ccm.
  6. Bufa

    JamiiForums Tanzania Huyu dogo Hana Miaka 14. Wadanganyeni Wengine!

    Nani alitoa hizo sifa?
  7. Bufa

    JamiiForums Tanzania Huyu dogo Hana Miaka 14. Wadanganyeni Wengine!

    Waache hawa madogo. Hakuna faida kwenu au kwao. Madogo wanapambania maisha na nchi yao. Nyie pambaneni na uchawa wa maccm walioupelekea huko.
  8. Bufa

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Full Time | Senegal 1-1 Tanzania | TotalEnergies AFCON U-17 | Senegal Mabigwa baada ya mikwaju ya penati 4-2

    Madogo wamejitahidi sana. Siwezi watukana
  9. Bufa

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Full Time | Senegal 1-1 Tanzania | TotalEnergies AFCON U-17 | Senegal Mabigwa baada ya mikwaju ya penati 4-2

    Madogo wapo vizuri. Huu mpira unavutia way better than Taifa Stars.
  10. Bufa

    JamiiForums Tanzania Mafuta yanaenda kupanda tena kuanzia kesho

    Top 5 Producers Nigeria: The largest producer in Africa, outputting over 1.5 million barrels per day (bpd) and holding the second-largest proven reserves on the continent. Libya: Holds Africa's largest proven oil reserves (over 46 billion barrels) and produces upwards of 1.3 million bpd...
  11. Bufa

    JamiiForums Tanzania Hii nchi ya Ghana mambo yake kama haipo Africa vile

    Serikali ya bongo inadhani hii ni eiai. Nchi ina miviongozi mipumbavu sana hii.
  12. Bufa

    JamiiForums Tanzania CIA HUWA HAWABISHIWI. UKISHINDANA NAO BASI KABURI LITAKUHUSU

    Word. Watu wanaamini CIA wanajua hadi wakijamba yet matukio kibao yanatokea in the heart of city centers yaliyokuwa planned muda mrefu na hao CIA hawana habari hata kidogo.
  13. Bufa

    JamiiForums Tanzania CIA HUWA HAWABISHIWI. UKISHINDANA NAO BASI KABURI LITAKUHUSU

    Wabongo mnapenda kujipa umuhimu msio kuwa nao. US ipoteze resources zake kupata taarifa za bongo kwa umuhimu gani TZ iliyonayo? After all, taarifa zote walizojadili maseneta zipo kila kona yeyote yule anaweza kuzipata. Mkishasoma tuvitabu twa ujasusi twa Yericko Nyerere page mbili tu na nyie...
  14. Bufa

    JamiiForums Tanzania Katika historia ya mwafrika hii part naichukia sana na inaumiza

    Unadhani ilianzaje?
Back
Top Bottom