Kifo ni kifo alisema Hangaya.
Pili, miviongozi ipo kwenye vietee muda wote na kiyoyozi hawana muda wa kutembea hata kilomita 1 kwa siku kwanini heart attack isiwamalize? Heart attack has always been a silent killer.
Ulikua unafanya nini exactly kwenye sekta ya madini? Unachimba, dealer/broker, unauza vitendea kazi au?
Japo mtu inabidi uanzie mahali ulipo ila hata 100M ni hela ndogo kuanza nayo kwenye hii sekta.
I agree, mkuu.
Chanzo cha haya yote ni huko majumbani. Serikali inabebeshwa mzigo wa vitu vinavyotokea kwa uzembe wa wazazi huko majumbani. Wazazi/walezi wakifanya kazi yao haya yote yatapungua kama sio kuisha kabisa.
Kama kuna watoto wengi mashoga tatizo ni huko majumbani mwenu. Mlezi na mlinzi wa kwanza wa mtoto ni mzazi/mlezi, sio jukumu la serikali kuchunga mnaishije huko majumbani kwenu. Leeni watoto wenu vizuri problem solved. Mkiendelea kuwaharibu watoto majumbani mwenu msilaumu serikali hilo ni jukumu...
"gari hilo lilikuwa limepewa ruhusa ya kuvuka barabara ya ndege wakati tukio hilo lilipotokea." hapo ATC lazima kiwarambe. Uzembe wa hali ya juu umegharimu maisha ya watu.
Hits 10! Hizo hits unazijua wewe tu 😂 😂 😂
Vanessa na mdogo wake hawafikishi hits 5 combined.
Watu walipenda swag zake not necessarily nyimbo zake. She's a good 'people', no doubt. That's about it.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.