Recent content by Bufa

  1. Bufa

    JamiiForums Tanzania 2026 FIFA World Cup - Special Thread

    coaches kubadili plans inayofanya kazi games za msingi kuweka players wao kunaharibu games siku zote. they never learn. leo rogers kaanza wakati games zote huwa anaingia. Jana France Tchou Kaanza Kone Kaanza Bench Wakati Alikua Poa Games Zote
  2. Bufa

    JamiiForums Tanzania FT: England 1-2 Argentina | World Cup 2026 | Mercedes-Benz Stadium | 15 Julai, 2026 | Nusu Fainali

    coaches kubadili plans inayofanya kazi games za msingi kuweka players wao kunaharibu games siku zote. they never learn. leo rogers kaanza wakati games zote huwa anaingia. Jana France Tchou Kaanza Kone Kaanza Bench Wakati Alikua Poa Games Zote
  3. Bufa

    JamiiForums Tanzania 2026 FIFA World Cup - Special Thread

    vichaka vyote vinafyekwa hakuna kwa kujificha 😁
  4. Bufa

    JamiiForums Tanzania FT: England 1-2 Argentina | World Cup 2026 | Mercedes-Benz Stadium | 15 Julai, 2026 | Nusu Fainali

    vichaka vyote vinafyekwa hakuna kwa kujificha
  5. Bufa

    JamiiForums Tanzania Hivi ni sawa kuzaa watoto kwa matarajio ya watakuja kukusaidia baadaye?

    Ujinga na umaskini:
  6. Bufa

    JamiiForums Tanzania Tanzania ungewekwa utaratibu kuhakikisha Watoto wote wanakuwa na jina la ukoo la Kitanzania

    Yani tuache kuitwa John Peter Paul au Hassan Mohammed Hussein tuitwe majina yenu ya ajabu ajabu? Mtajuaje sisi ni miarabu au mizungu meusi 😁
  7. Bufa

    JamiiForums Tanzania 2026 FIFA World Cup - Special Thread

    I agree.
  8. Bufa

    JamiiForums Tanzania 2026 FIFA World Cup - Special Thread

    Barcola na Tchou ni wachezaji hewa. Kocha alijichanganya kuwaacha nje Doue na Kone. France chupi inaloa wakisikia tu Spain.
  9. Bufa

    JamiiForums Tanzania 2026 FIFA World Cup - Special Thread

    France analoa kila anapokutana na Spain.
  10. Bufa

    JamiiForums Tanzania Watu wengi sana wanatamani biashara ya madini wanapowaona matajiri lakini wanafichwa mengi, hii ni biashara katili sana

    Hizi story zenu za kusadikika zisizo na uthibitisho wa aina yeyote ule ni ujinga. Mimi nimewahi kwenda mbinguni na kurudi. Huwezi bisha maana hukuwepo na sina chochote kile kama kithibiti. Ukiwa zwazwa utaamini. That's how crazy your story sounds.
  11. Bufa

    JamiiForums Tanzania Watu wengi sana wanatamani biashara ya madini wanapowaona matajiri lakini wanafichwa mengi, hii ni biashara katili sana

    Wabongo wamezoea kufanya biashara za uchuuzi tu biashara yeyote nje ya uchuuzi na kilimo wanaona ni ndumba.
  12. Bufa

    JamiiForums Tanzania Watu wengi sana wanatamani biashara ya madini wanapowaona matajiri lakini wanafichwa mengi, hii ni biashara katili sana

    Wewe sio mwana apolo wa kwanza na sio lazima mtu awe ashawahi kuwa na hiyo kazi ili kutoa opinion yake. Watanzania wangapi wamewahi kuwa marais ila kila siku Samia anakosolewa na watu ambao hata u monitor shule ya msingi hawajawahi shika. Muwe mnashirikisha akili zenu enyi wamatumbi.
  13. Bufa

    JamiiForums Tanzania Watu wengi sana wanatamani biashara ya madini wanapowaona matajiri lakini wanafichwa mengi, hii ni biashara katili sana

    Biashara gani yenye guarantee ili kila mtu afanye hiyo awe tajiri? Toa majina matatu tu ya watu waliofanyiwa umafia na kuuwawa Geita au Chunya? Sio Mererani. Hii lazima iwe credible source sio story zenu za vijiweni za hearsay. Kama uchawi unafanya kazi kwanini wasichimbe dar hadi waende...
  14. Bufa

    JamiiForums Tanzania Watu wengi sana wanatamani biashara ya madini wanapowaona matajiri lakini wanafichwa mengi, hii ni biashara katili sana

    Madini ndo inakupa pesa haraka? Kafanye nawewe upate hizo pesa za haraka uje usimulie hapa. Wamatumbi mnapenda sana kuamini ujinga.
Back
Top Bottom