Recent content by buckreef

  1. B

    UFISADI: $350 million stolen from Tanzanians in Vodacom scandal

    Tatizo la Watanzania tunapenda sana kujadili habari za kimajungu majungu. Hii habari ni fake na haina ukweli. Akili ya kuamiwa chaganya na ya kwako
  2. B

    Ufisadi wa bilion 230 za mabehewa 'feki' mazito yaibuka, sasa Waziri Mwakyembe kitanzini

    Soma vizuri taarifa y Sitta, hii ripoti lkuwa mezani kwa Mwakyembe tokea mwezi wa 12 na hakuifanyia kazi mpaka alipoondolewa, unafikiri kwanini?
  3. B

    Mtanzania kwenda kuuza fegi S.A ni aibu na hafai kuitwa diaspora

    Ukiwa mshamba na mawazo yako yanakuwa ya kishamba kama haya. Na hao wageni wanaoishi hapo Dar na kufanya biashara ndogo ndogo utasema nini? Ni bora huyo kijana alikuwa anafanya kazi halali kuliko hao mafisadi hapo Dar ambao wanaiba hata uji wa mgonjwa. Ulitaka huyo kijana afanye nini SA...
  4. B

    Lowassa atumia zaidi ya Sh. milioni 500 ili ashinde Tuzo ya Mwanasiasa mwenye Mafanikio katika Jamii

    Mkuu, Acheni hizi tabia za kusingizia watu kila siku. Umeandika wamehongwa milioni 300 ili Lowassa awe mshindi. Lowassa hajashinda unaanza kusema kaangukia pua. Ogepeni hata Mungu wenu. Zito naye hajashinda, mmeumbuka.
  5. B

    Lowassa atumia zaidi ya Sh. milioni 500 ili ashinde Tuzo ya Mwanasiasa mwenye Mafanikio katika Jamii

    Lizaboni, Naona umeumbuka sana kwa uongo wako huu. Umeogopa hata kuleta matokeo.
  6. B

    Tamko la mali na madeni ya Zitto Kabwe wa chama cha ACT Wazalendo

    Umeambiwa kufikia taree 30/06/2015 Fomu hizi zitakuwa kwenyetovuti ya chama ndani ya muda mfupi ujao ili kila mtanzaina aone. Kila Kiongoziwa Chama ambaye Miiko ya Uongozi inamtaja anapaswa kuwa amejaza fomu hizi nakuziwasilisha kwa Katibu wa Kamati ya Uadilifu katika ifikapo tarehe 30...
  7. B

    Kinana: Kampeni za kuwania kuteuliwa na CCM ruksa mwezi Juni

    MwanaDiwani, Asante kwa taaifa. Hivi utaratibu gani utatumika kwenye kura za maoni za udiwani na ubunge mwaka huu? Ni waachama wote kama 2010 au ccm inarudi kwenye utaratibu kabla ya 2010?
  8. B

    Ukinyonga na unafiki wa Sitta na Mwakyembe wadhihirika

    Mwakyembe atajwa kashfa TRL. Na Waandishi wetu 9th March 2015 Waziri wa uchukuzi, Dk. Harrison Mwakyembe. Kuna kila dalili kwamba uhamisho wa Waziri Dk. Harrison Mwakyembe kutoka Wizara ya Uchukuzi kwenda Afrika Mashariki, akibadilishana nafasi na Samuel Sitta, ni...
  9. B

    Josephine kugombea ubunge jimbo la Kawe

    Watakutana na Mwakyembe ambaye amekimbia kwao Kyela, sasa anjiandaa kugombea jimbo la Kawe.
  10. B

    Unajua kwanini Mwakyembe alikaa kimya?

    Mwakyembe dili yake ya bandarini na kiwanja cha bilioni moja alichonunua Bahari beach tayari wabunge kama akina Mdee wanajua. Aliogopa kulipuliwa bungeni. Pia kuhusika kwa marafiki zake Werema na Mwambalaswa kulimfanya awe bubu. Mwanzoni alijaribu kushauri bunge litii amri ya mahakama.
  11. B

    Kilango Malecela na sakata la Tegeta Escrow

    Nimeshangaa sana kuona wale waliojitangaza sana kuwa ni wapambanaji imara wa ufisadi, ghafla kukaa kimya kama ndege aliyenyeshewa na mvua. Wamekumbwa na ugonjwa gani hawa wapambanaji wetu? Kama na wao walifaidi pesa za kwenye mifuko ya Rambo kule STANBIC basi wajiandale kunyolewa.
  12. B

    Revealing: Hawa ni baadhi ya wanufaika wa Escrow kupitia kwa Rugemalira (Clue 2)

    Kuna watu walipewa cash wakiwemo watu wa PM. Takukuru wana list ya watu wote hata wale waliolipwa nje ya nchi. Inasemekana kuna viongozi wawili wa Upinzani. Angalia hata hizo funds to various persons.
  13. B

    Dr. Mwakyembe ahusishwa na kupokea rushwa bandarini kupitisha mkataba wa kinyonyaji

    Kanunua kupitia Yono Auction Mart. Wenzake wamemfuatilia na wana data zote. Imebidi akae kimya vinginevyo ungemsikia akisema anawapeleka Jamhuri mahakamani.
  14. B

    Dr. Mwakyembe ahusishwa na kupokea rushwa bandarini kupitisha mkataba wa kinyonyaji

    Mwakyembe kanunua kiwanja cha mzungu kule Bahari beach kwa shilingi bilioni moja. Majirani kule wote wanajua na hata nyie mnaweza kwenda kuchungulia ni ploti namba 160 na 162 karibu kabisa na hoteli ya Bahari beach.
  15. B

    Sisi wana wa jimbo la Kyela tuna sababu ya safari hii ya kipindi cha uchaguzi kumkataa H.Mwakyembe

    Nategemea ulipoongea naye alikuambia pia zile pesa alizochota kwenda kununua kiwanja cha bilioni moja kule bahari beach. Nenda pale karibu na Bahari beach kiwanja ploti namba 160 na 162 na waulize ni viwanja vya nani? Mwakyembe kapata wapi pesa bilioni moja kununua kiwanja? Jimbo lake zii yeye...
Back
Top Bottom