Recent content by bububu1

  1. bububu1

    Nini cha kufanya ukipata maambukizi ya covid 19

    Mimi harufu sisikii kabisaa Sent using Jamii Forums mobile app
  2. bububu1

    Wakati Masheikh wa uamsho wakiozea Jela, Mchungaji Mwamposa ambaye ana tuhuma ya kuua watu 20 yuko nje

    kweli watu wanadhiki mbaya shida nyingi wamekufa kimawazo. Mafuta yanawezaje kuwa mtatuzi wa shida zako. Sent using Jamii Forums mobile app
  3. bububu1

    Moshi: Watu 20 wapoteza maisha kwa kukanyagana kwenye Ibada ya Mwamposa; Polisi wathibitisha kumshikilia

    Kwa kweli imani si ya mchezo. Hizi ndio Kama za Babu wa loliondo na kikombe.m chake cha jero. Sent using Jamii Forums mobile app
  4. bububu1

    Diva wa Clouds FM: Mimi sio tasa, nikitaka kuzaa na mwenza wangu tutaenda Marekani for IVF

    Waja kwanini mnamponda sana?? Hamuoni Kama mnatwanga maji kwenye kinu Sent using Jamii Forums mobile app
  5. bububu1

    Kiwanja kinauzwa msongola Kigamboni.

    Msongola ipo ilala mkuu.
  6. bububu1

    Kiwanja kinauzwa msongola Kigamboni.

    Sorry maana yangu ni futi 50 Kwa 50
  7. bububu1

    Kiwanja kinauzwa msongola Kigamboni.

    Hapana mkuu
  8. bububu1

    Kiwanja kinauzwa msongola Kigamboni.

    Ndio mkuu
  9. bububu1

    Kiwanja kinauzwa msongola Kigamboni.

    Kiwanja kinauzwa msongola Dar es salaam, kipo sehemu nzuri, kwenye huduma zote kama maji,umeme nk. gari inafika mpaka kiwanja kilipo na bei yake ni nzuri million 3.5 ukubwa miguu 50 Kwa 50 pande zote Kwa mwenye kuhitaji tafadhali wasiliana na mimi Kwa no:0682562162
  10. bububu1

    Tuliowahi kupata pesa na kufilisika/kufulia, tujikumbushe hapa

    Pesa Yake matumizi usijiulize zilienda wapi? Ulitumia na ulitatua shida zako za nyuma, pia waswahili wanasema ukipata Tumia na ukikosa jutia.
  11. bububu1

    Dkt. Louis Shika: Mgeni mualikwa mahafali ya chuo cha afya Kahama Shinyanga, atangaza neema

    Lakini hajawahi kuzungumzia mambo ya siasa usijaribu kumgombanisha na nguvu ya umma yake
  12. bububu1

    Jamani huyu sio Dokta Shika ni feki msibabaike naye ,Dk Shika original namfahamu.

    Ila wanafana sana kweli duniani watu wawili wawili
  13. bububu1

    Ni kweli wapo watu hawafanyi kabisa mpaka ndoa. Is it a myth au wapo kweli?

    Kwa upande wangu labda awe na bikra Yake kinyume na hapo.. Na shake well before use. Sio nikurupuke tu. Huo mkenge wa kuuziwa mbuzi kwenye gunia sitaki kusikia wala kujaribu kufanya
Back
Top Bottom