Recent content by BUBE

  1. BUBE

    Kuna haja kwa Kanisa Katoliki kuchukua Jukumu la kulinda wachungaji wake

    lakini pia, mbona wahanga wa hivi karibuni wote ni wageni -Malawi na ZAMBIA?
  2. BUBE

    Makambako: Katibu wa Baraza la Walei auawa ndani ya eneo la Kanisa Katoliki, kichwa chatenganishwa na kiwiliwili

    Binafsi naona kuna shida, ama mapadri wanawindwa na watu nje ya kanisa, ama wao kwa wao, ama yumkini wanamahusiano yasiyo ya afya na baadhi ya walei, au au au!! Lakini kingine, ni kwamba mwaka huu, mapadri wawili, mmoja Dar na mwingine juzi ameuawa Iringa wote ni kutoka nje ya nchi! Je kuna nini...
  3. BUBE

    Hizi kampuni za global na universities abroad wapo chini ya nani?

    MKUU HABARI - kama hutajari naomba tuwasiliane
  4. BUBE

    Bulb/ mbegu za zafarani

    Naomba kujua wapi naweza kupata mbegu. Niko Mkuranga PWANI
  5. BUBE

    Kompyuta Ofisi ya DPP zenye kesi za Uhujumu Uchumi zaibwa

    NA BAKAPU NA BAKAPU YENYEWE IWEKWE KWENYE CLOUD -LABDA WA-CORRUPT THE WHOLE SYSTEM IKIWEMO NA WEZI. ITASHANGAZA KAMA OFISI YA DPP HAINA CCTV CAMERA PIA
  6. BUBE

    GE2015 Jimbo La Bukoba mjini mmefanya makosa makubwa kumuondoa Sued Kagasheki

    Kama haya yote alikuwa anatoa kwenye mfuko wake mwenyewe, basi hafai hata kidogo. Uwepo wa viongozi wa namna hii unaifanya serikali inayokusanya kodi zetu ilale saaana na kuwafanya wachache kuiibia serikali. Kazi ya mbunge sio kugawa haya mavitu, ni kuwawakilisha raia na kuisimamia serikali...
  7. BUBE

    Endelea kucheka

    witnessj - Nitaku PM inawezekana labda japo maeneo hayo sijakwenda
  8. BUBE

    Endelea kucheka

    Sijui nchi gani hiyo
  9. BUBE

    Tanzanians arrested in anti-terror operation in Kenya

    When will Tanzania be known as "EXPORT OF KNOWLEDGE AND SKILLS" and not perpetrator or terrorist acts. In circumstance where a person has been deported, I would have imagined that s/he will be under surveillance 24/7/
  10. BUBE

    Dr. Mwakyembe afunguka kuhusu Richmond na dhamira yake kugombea Ubunge tena - Oktoba 23, 2015

    jamani ka-richmond kamoja tuuu. Kwa nini tusianze yale mengi na hasa la juzi hapa la excrow. Hilo tuu, kisha wakamatwe wale 11 wa mwembeyanga badala ya kumwandama mmoja tuu
  11. BUBE

    Mwaka huu, sijui!?

    . Kuna mengi ya kuhojiana pamoja na uwezo wetu na hasa wataalam wetu kufikiri na kutumia fedha za walipakodi vizuri
  12. BUBE

    Mwaka huu, sijui!?

    Ambulance za nini wakati tumesambaza pikipiki za miguu mitatu kusaidia huduma hiyo
Back
Top Bottom