Binafsi naona kuna shida, ama mapadri wanawindwa na watu nje ya kanisa, ama wao kwa wao, ama yumkini wanamahusiano yasiyo ya afya na baadhi ya walei, au au au!! Lakini kingine, ni kwamba mwaka huu, mapadri wawili, mmoja Dar na mwingine juzi ameuawa Iringa wote ni kutoka nje ya nchi! Je kuna nini...
NA BAKAPU
NA BAKAPU YENYEWE IWEKWE KWENYE CLOUD -LABDA WA-CORRUPT THE WHOLE SYSTEM IKIWEMO NA WEZI. ITASHANGAZA KAMA OFISI YA DPP HAINA CCTV CAMERA PIA
Kama haya yote alikuwa anatoa kwenye mfuko wake mwenyewe, basi hafai hata kidogo. Uwepo wa viongozi wa namna hii unaifanya serikali inayokusanya kodi zetu ilale saaana na kuwafanya wachache kuiibia serikali. Kazi ya mbunge sio kugawa haya mavitu, ni kuwawakilisha raia na kuisimamia serikali...
When will Tanzania be known as "EXPORT OF KNOWLEDGE AND SKILLS" and not perpetrator or terrorist acts. In circumstance where a person has been deported, I would have imagined that s/he will be under surveillance 24/7/
jamani ka-richmond kamoja tuuu. Kwa nini tusianze yale mengi na hasa la juzi hapa la excrow. Hilo tuu, kisha wakamatwe wale 11 wa mwembeyanga badala ya kumwandama mmoja tuu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.