Recent content by brussels

  1. B

    Muongozo wa kununua vifaa vinavyotumia processor za intel

    Mkuu naomba unifahamishe unapoamua kununua RAM au processor ili uireplace ile ya mwanzo ,unanunua tu yeyote au kuna vitu vya kuzingatia? ukizingatia pia zina kuwa na muonekano na size tofautitofauti kdogo sasa je mafundi huwa wanazifix vipi katika kifaa chako?
  2. B

    Muongozo wa kununua vifaa vinavyotumia processor za intel

    Hii ipo kwenye laptop mkuu .na nashukuru kwa elimu yako
  3. B

    Muongozo wa kununua vifaa vinavyotumia processor za intel

    Ahsante mkuu VP huwa kuna uwezekano wa kubadili processor na kuweka ambayo iko more powerful? Kama inawezekana vp gharama zake zikoje?
  4. B

    Muongozo wa kununua vifaa vinavyotumia processor za intel

    Mkuu naomba unijulishe hii processor iko kundi gani na pia vipi inaweza stahimili game nzito(maana mi ni mpenzi wa gaming) PROCESSOR : AMD A4 - 3300 APU with Radeon(tm) HD Graphics 1.9 Ghz RAM : 4.00 GB (2.24 GB usable) SYSTEM TYPE : 32-bit operating system, x64-based processor
  5. B

    St. Joseph College of Health and Allied Science

    Mkuu hebu Isome vzur joining mi naona kama tarehe 23 ndo masomo yanaanza
  6. B

    St. Joseph College of Health and Allied Science

    Wakuu umeme unasumbua ila ni kweli mimi wa first round nimeshatumiwa na kuna jamma (mapunda b )alini PM nimesha Forwadia kwny email yake sasa hv
  7. B

    St. Joseph universty college of health and allied science

    Wakuu wa st joseph book campus angalien emails zenu jamaa washatuma joining instructions
  8. B

    TCU na Kozi za Udakitari

    Dah saf sana
  9. B

    TCU na Kozi za Udakitari

    Duuuh BRN Norma Vp Yule wa b+ b+b+ alifanikiwa kupata chuo?
  10. B

    TCU na Kozi za Udakitari

    Huyo dogo alimaliza mwaka gani kaka
  11. B

    Selection vyuo vikuu: Fomu ya kujiunga, taarifa za vyuo na kozi

    Hebu naomba wadau tuendelee na mada husika achaneni na huyo kikoozi
  12. B

    Selection vyuo vikuu: Fomu ya kujiunga, taarifa za vyuo na kozi

    Acha upuuzi wako ,usidhani sifa unatukera sasa
  13. B

    Selection vyuo vikuu: Fomu ya kujiunga, taarifa za vyuo na kozi

    Ahsante mkuu tuendelee kuwasikia na wadau wengine
Back
Top Bottom